Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AUNT LULU AANZA MWAKA KWA KUPIMA ‘NGOMA’

Na Gladness Mallya
ZIKIWA zimepita siku chache tangu mwaka wa 2015 uanze, mwanadada mwenye umbo matata Bongo, Lulu Semagongo ‘Anti Lulu’ amekiri kuuanza vizuri baada ya kupima ngoma.Akipiga  stori na gazeti hili, Anti Lulu alisema anafurahi kwa kuwa ameuanza mwaka vizuri baada ya kwenda kupima Ukimwi akiongozana na mama yake na kujikuta yupo salama. Mwanadada mwenye umbo matata Bongo, Lulu Semagongo ‘Anti...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ADAIWA KUBANJUKA NA AUNT, AJITOSA KWA LULU - 7

Marehemu Steven Kanumba, enzi za uhai wake. JUMAMOSI iliyopita tuliishia pale nguli wa sinema za Kibongo, hayati Steven Kanumba alipoanzisha uhusiano wa kimapenzi na mrembo aliyetwaa taji la Miss Kinondoni, Sylvia Shally.
SASA ENDELEA... Walipendana sana, kama ilivyokuwa kwa wapenzi wake waliotangulia, vyombo vya habari vilianza kuwafuatilia lakini wenyewe hawakujali. Walipendana sana. Kwa kipindi cha mwaka mmoja waliishi kama...

 

10 years ago

GPL

DUDE, ESTER WALAZIMISHWA KUPIMA NGOMA

Deogratius Mongela na Chande Abdallah NOMA! Waigizaji wa filamu za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ na Ester Kiama ambao wanaripotiwa kama wapenzi, hivi karibuni walilazimishwa kwenda kupima afya, ikiwa ni sharti lililotolewa na mke wa muigizaji huyo ili aweze kurejea nyumbani baada ya kuondoka kwa wazazi wake.  ...Soma zaidi===>http://goo.gl/gBMm2q ...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Ommy Dimpoz aanza ziara yake ya kufunga mwaka Kenya kwa kishindo

ommy-1

Ommy Dimpoz yuko nchini Kenya ambako weekend iliyopita ameanza ziara yake ya kufunga mwaka nchini humo, kwa kufanya show ya kwanza ambayo imekuwa ‘soldout’.

ommy-1

Omary Nyembo aka Mr PKP alitumbuiza siku ya Jumamosi (Nov 28) kwenye county ya Turkana karibu na mpaka wa Sudan, ambako anasema wasanii ambao hupata nafasi ya kuitwa kutumbiza huko ni wale ambao wamehit sana.

Kwenye Ziara hiyo Dimpoz anatarajia kufanya jumla ya show 7.

ommy-6

Hizi ni picha za show ya Turkana

ommy-5

ommy-2

ommy-3

ommy-4

Jiunge na Bongo5.com...

 

11 years ago

GPL

MIAKA 2 YA NDOA; AUNT EZEKIEL AANZA KUSAKA MTOTO

MWIGIZAJI nguli katika tasnia ya filamu Bongo, Aunt Ezekiel (pichani) anadaiwa kuanza kusaka mtoto ikiwa ni miaka miwili tangu afunge ndoa na Sunday Dimonte. Muigizaji nguli wa tasnia ya filamu Bongo, Aunt Ezekiel akipozi. Kwa mujibu wa rafiki wa karibu wa Aunt, siku si nyingi staa huyo atakwenda kuweka makazi ya muda kwa mumewe Dubai hadi atakapopata ujauzito. Akizungumza na Amani hivi karibuni, rafiki huyo ambaye aliomba jina...

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu Atoboa Sababu ya Kutofanya ‘Movie’kwa Mwaka Mzima

Staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael,’Lulu’amefunguka sababu ya kutofanya filamu kwa mwaka mzima kuwa alikuwa bize na shughuli zingine ikiwemo masomo.

Akizungumza na Clouds Fm,alisema kuwa mwaka jana wote alikuwa ‘host’ kwenye mashindano ya kutafuta vipaji vya uigizaji (Tanzania Movie Talents) ambayo ilifanyika karibu mikoa yote,pia alikuwa bize na masomo katika chuo cha  Magogoni akichukua kozi ya Public Administration.

‘’Mwaka jana wote sikufanya filamu kabisa kutokana na kuwa bize...

 

10 years ago

GPL

AUNT LULU HOI KITANDANI

Na Hamida Hassan
Staa wa Filamu za Kibongo, Lulu Semagongo ‘Aunt Lulu’ yupo hoi kitandani baada ya kusumbuliwa na jino la juu ambalo anahofia kulitoa. Staa wa Filamu za Kibongo, Lulu Semagongo ‘Aunt Lulu’. Akizungumza na Amani, Aunt Lulu alisema kuwa anajiona amekonda kwa maumivu ya jino tu na kutokana na vitisho anavyovipata kutoka kwa marafiki zake anaogopa kwenda kuling’oa. “Yaani...

 

9 years ago

Global Publishers

Aunt Lulu, huko ni kujirahisi kulikopitiliza!

1LULU Mathias Semagongo ndilo jina lake halisi, lakini watu wa burudani wanamfahamu zaidi kama Aunt Lulu. Ni binti mmoja mdogo aliyezaliwa mwaka 1987.
Historia yake inaonesha ni binti aliyekuwa na kipaji, kwani katika umri mdogo, tayari alikuwa mtangazaji wa kipindi cha watoto kilichokuwa kikiendeshwa na redio ya kwanza binafsi nchini, Radio One, kilichoitwa Watoto Show.

Binafsi nilimfahamu kuanzia mwaka 2006, alipokuwa mmoja kati ya washiriki wa shindano lililosisimua enzi hizo, la kusaka...

 

10 years ago

Bongo Movies

Aunt Lulu Awashangaa Wanawake Wanaomkosoa

Mtangazaji na muigizaji wa filamu hapa Bongo, Lulu Mathias ‘Aunty Lulu’ amewashangaa wanawake  wote  ambao  wamekuwa wakimtukana kila anapoweka picha zenye mikao ya kihasara kwenye mtandao ya kijamii na kusema endapo wataendelea atawachukulia mabwana zao.

Akizungumza na Tanuru la Filamu, Aunt Lulu alisema kwamba wanawake ndiyo wanaongoza kumtukana kila akiweka  picha za kuonyesha  jinsi  Mungu alivyolia kumuumba  na kumpa  mapaja yenye ushawishi  kwa kila anayeyaangalia awe wa kike ama...

 

10 years ago

GPL

AUNT LULU APIGWA TENA NA BWANA’KE

Stori: Gladness Mallya
MWANADADA mwenye umbo tata Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunt Lulu’ amedaiwa kubondwa tena na mpenzi wake aitwaye Amani, kisa kikitajwa kuwa ni wivu wa kimapenzi. Mwanadada mwenye umbo tata Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunt Lulu’. Chanzo cha habari ambacho ni jirani na msanii huyo kimeeleza kuwa, Aunt Lulu alichezea kipigo hicho hivi karibuni akiwa nyumbani kwao Mbezi Salasala jijini Dar...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani