AUNT LULU AANZA MWAKA KWA KUPIMA ‘NGOMA’
![](http://api.ning.com:80/files/jbaar29oQX7NRVZY3VyH6MuvzeFzBmHY7e0W0KueFE0gl*5d8cjAOAa3E4u-MBqlQ4k-YnmLsZeoBncFhqu473geqITybAxY/Lulu.jpg)
Na Gladness Mallya ZIKIWA zimepita siku chache tangu mwaka wa 2015 uanze, mwanadada mwenye umbo matata Bongo, Lulu Semagongo ‘Anti Lulu’ amekiri kuuanza vizuri baada ya kupima ngoma.Akipiga stori na gazeti hili, Anti Lulu alisema anafurahi kwa kuwa ameuanza mwaka vizuri baada ya kwenda kupima Ukimwi akiongozana na mama yake na kujikuta yupo salama. Mwanadada mwenye umbo matata Bongo, Lulu Semagongo ‘Anti...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLADAIWA KUBANJUKA NA AUNT, AJITOSA KWA LULU - 7
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pwNUcGVK-dVfU-IS-sxaEnhDiiM17JrFXAiNyvL7XfO2GYf1Z5AMD2csRyKgdqPbu68VKg1m4es*8aekGld1K3qvGC94vv*f/Dude.gif?width=650)
DUDE, ESTER WALAZIMISHWA KUPIMA NGOMA
9 years ago
Bongo530 Nov
Picha: Ommy Dimpoz aanza ziara yake ya kufunga mwaka Kenya kwa kishindo
![ommy-1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/ommy-1-300x194.jpg)
Ommy Dimpoz yuko nchini Kenya ambako weekend iliyopita ameanza ziara yake ya kufunga mwaka nchini humo, kwa kufanya show ya kwanza ambayo imekuwa ‘soldout’.
Omary Nyembo aka Mr PKP alitumbuiza siku ya Jumamosi (Nov 28) kwenye county ya Turkana karibu na mpaka wa Sudan, ambako anasema wasanii ambao hupata nafasi ya kuitwa kutumbiza huko ni wale ambao wamehit sana.
Kwenye Ziara hiyo Dimpoz anatarajia kufanya jumla ya show 7.
Hizi ni picha za show ya Turkana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q9JKAyO9-k6ls9PoaplVWPmXTzPceZHrt9*OCzMvvYBJ82gw0mJc1HsoV4BiqgqlVNgTwC-gNGzdVcKQqG0E3bnN--iLuaF6/AUNT.jpg?width=650)
MIAKA 2 YA NDOA; AUNT EZEKIEL AANZA KUSAKA MTOTO
10 years ago
Bongo Movies12 Jun
Lulu Atoboa Sababu ya Kutofanya ‘Movie’kwa Mwaka Mzima
Staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael,’Lulu’amefunguka sababu ya kutofanya filamu kwa mwaka mzima kuwa alikuwa bize na shughuli zingine ikiwemo masomo.
Akizungumza na Clouds Fm,alisema kuwa mwaka jana wote alikuwa ‘host’ kwenye mashindano ya kutafuta vipaji vya uigizaji (Tanzania Movie Talents) ambayo ilifanyika karibu mikoa yote,pia alikuwa bize na masomo katika chuo cha Magogoni akichukua kozi ya Public Administration.
‘’Mwaka jana wote sikufanya filamu kabisa kutokana na kuwa bize...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmFIhqID0FoxLxd*pHFiAlgqlsYRauOFDDFs-ZH-Fkt24SHqaRTnr8yNldhr*cEctXXMj*sTewEqUfyzwZQn6C1cbUQFjJZp/AuntLulu.jpg?width=650)
AUNT LULU HOI KITANDANI
9 years ago
Global Publishers18 Dec
Aunt Lulu, huko ni kujirahisi kulikopitiliza!
LULU Mathias Semagongo ndilo jina lake halisi, lakini watu wa burudani wanamfahamu zaidi kama Aunt Lulu. Ni binti mmoja mdogo aliyezaliwa mwaka 1987.
Historia yake inaonesha ni binti aliyekuwa na kipaji, kwani katika umri mdogo, tayari alikuwa mtangazaji wa kipindi cha watoto kilichokuwa kikiendeshwa na redio ya kwanza binafsi nchini, Radio One, kilichoitwa Watoto Show.
Binafsi nilimfahamu kuanzia mwaka 2006, alipokuwa mmoja kati ya washiriki wa shindano lililosisimua enzi hizo, la kusaka...
10 years ago
Bongo Movies07 Jul
Aunt Lulu Awashangaa Wanawake Wanaomkosoa
Mtangazaji na muigizaji wa filamu hapa Bongo, Lulu Mathias ‘Aunty Lulu’ amewashangaa wanawake wote ambao wamekuwa wakimtukana kila anapoweka picha zenye mikao ya kihasara kwenye mtandao ya kijamii na kusema endapo wataendelea atawachukulia mabwana zao.
Akizungumza na Tanuru la Filamu, Aunt Lulu alisema kwamba wanawake ndiyo wanaongoza kumtukana kila akiweka picha za kuonyesha jinsi Mungu alivyolia kumuumba na kumpa mapaja yenye ushawishi kwa kila anayeyaangalia awe wa kike ama...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UxG8FbEp4za7-rcy2WqNQL3NtuCreaencEjsJDnYwEwKpG1Td2zQx4W4WqK-88Dej8FiVhRJP05iYhyNVUy1lpwhFHM9DpQ4/auntlulu.gif)
AUNT LULU APIGWA TENA NA BWANA’KE