Picha: Ommy Dimpoz aanza ziara yake ya kufunga mwaka Kenya kwa kishindo
Ommy Dimpoz yuko nchini Kenya ambako weekend iliyopita ameanza ziara yake ya kufunga mwaka nchini humo, kwa kufanya show ya kwanza ambayo imekuwa ‘soldout’.
Omary Nyembo aka Mr PKP alitumbuiza siku ya Jumamosi (Nov 28) kwenye county ya Turkana karibu na mpaka wa Sudan, ambako anasema wasanii ambao hupata nafasi ya kuitwa kutumbiza huko ni wale ambao wamehit sana.
Kwenye Ziara hiyo Dimpoz anatarajia kufanya jumla ya show 7.
Hizi ni picha za show ya Turkana
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM10 Feb
Picha za Ommy Dimpoz na Wema Sepetu wakiwa kimahaba zilipigwa usiku ‘mnene’,Dimpoz adai hakuwa na fahamu.
Zile picha za mahaba zilizosambaa kwenye mitandao zikimuonyesha Staa wa Bongo Fleva,Ommy Dimpoz na Wema Sepetu wakiwa kitandani zimezidi kuzua utata baada ya Ommy kusema hakujua alipigwa saa ngapi kwani hakuwa na fahamu bali aulizwe Wema.
Ommy amezungumza na Uheard na Soudy Brown alisema kuwa hana maelezo zaidi ya kuzungumza zaidi ya kusema kuwa hajui ni muda upi zilipigwa picha hizo.
Wiki hii picha hizo zilisambaa mitandaoni na kuzua maswali kuwa Ommy Dimpoz ameamua kujiweka kwa Wema baada ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SWXdzvDqQaKCQ39745Il*cIYcUwIdwTODCqI08k*m4sziXcK9O3R28weO2SS3f*-Zk0nH583VP4HlKgJiM3Zez7r1iak3IlW/1.KinanaakihutubiaNyehunge.jpg)
KINANA ATUA MWANZA, AANZA ZIARA KWA KISHINDO
10 years ago
Bongo Movies08 Feb
PICHA:Penzi la Wema Sepetu na Ommy Dimpoz lazidi kuchanua, Watupia picha wakiwa kitandani!!
Baada ya kuwa ni wazi sasa kuwa wawili hao wapo kwenye Le Project flani Amazing..sasa wameamua kutupia picha kwenye kurasa zao za mitandaoni wakiwa kitandani.
Alianza Ommy na badae akafuta Wema ambae aliweka picha hizo jana usiku na kuwatakia followers wake usiku mwema.
Penzi la watu hawa linaendelea kuzua mvutano mkali kati ya wale ambao wanaona sawa na wale ambao wanaona kama sio sawa, wanaosema sawa wanasema,baada ya watu kuachana kila mmoja ana haki ya kula maisha na anaempenda hivyo...
10 years ago
Bongo Movies06 Feb
Picha za Wema na Ommy Dimpoz Zawa Gumzo Mtandaoni!!!
Siku ya jana kwenye kurasa mbalimbali za watu maarufu kwenye mtandao wa INSTAGRAM walibandika picha hizi za mwanadada Wema Sepetu akiwa na Ommy Dimpoz wakiwa katika mapozi tofauti tofauti.
Kila zilipowekwa, wengi wa bonyeza kitufe cha kuzipenda na wengine waliandika maoni yao huku wengi wakiwasifia kwa jinsi walivyopendeza, na wengine walienda mbali zaidi kuwa wamependezana hivyo ingependeza hii iwe ni Le PROJECT mupyaaa.
Ila baadhi ya watu walibuka na kuponda bila sababu kibaya zaidi ni...
10 years ago
Bongo Movies06 Feb
Picha za Wema na Ommy Dimpoz Zawavutia Wengi Mtandaoni!!!
Siku ya jana kwenye kurasa mbalimbali za watu maarufu kwenye mtandao wa INSTAGRAM walibandika picha hizi za mwanadada Wema Sepetu akiwa na Ommy Dimpoz wakiwa katika mapozi tofauti tofauti.
Kila zilipowekwa, wengi wa bonyeza kitufe cha kuzipenda na wengine waliandika maoni yao huku wengi wakiwasifia kwa jinsi walivyopendeza, na wengine walienda mbali zaidi kuwa wamependezana hivyo ingependeza hii iwe ni Le PROJECT mupyaaa.
Ila baadhi ya watu walibuka na kuponda bila sababu kibaya zaidi ni...
10 years ago
Bongo509 Feb
Picha: Wema Sepetu na Ommy Dimpoz kunani kwani?
10 years ago
CloudsFM13 Mar
SIRI ZA PICHA ZA OMMY DIMPOZ NA WEMA SEPETU ZAVUJA
![](http://api.ning.com/files/d*xx8iAX09X1BwwEx7Q1l1OL0b927qBJvRfqGZQBjL6nMw8yp0xzCzcXA5brRmKIEGcQ0QqJHHjGk3vsjs7j403xq655l2MD/wdddddddddd.jpg)
![](http://api.ning.com/files/d*xx8iAX09WLAU69FkQw3iFOLo5Eh8J5RYUStr403glzVy5Qv9pUt*GLkz0L0nmrlZP2QL8Ehw7qGaFVebHLAmqQs4qUvWUr/weee.jpg)
![](http://api.ning.com/files/d*xx8iAX09U0SvlqjX12*AoZXk7HM9al7agJzdXiKqZq5efDHyONKWYv*GbBIE8My1CyPMlyszJblr-Vd-6GUGS0fOYhuGSb/wwwwwwwwwwwwwwww.png)
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Ommy Dimpoz afanikisha uzinduzi wa video yake
Ommy Dimpoz akiongea jambo wakati wa sherehe za uzinduzi wa video ya wimbo huo.
Mrembo aliyewahi kushiriki kwenye Big Brother Africa enzi hizo Abby akimpa kampani Ommy Dimpoz kwa kucheza kwenye uzinduzi huo.
Vanessa Mdee akiwa kwenye pozi mara baada ya kuwasili ukumbini hapo.
Wasanii wa Bongo Fleva Joh Makini na Ben Pol wakiwasili ukumbini hapo.
Baadhi ya warembo waliojitokeza kushuhudia uzinduzi huo wakiwa katika pozi.
Christian Bella akiimba kwenye uzinduzi huo
Mtangazaji wa Clouds...
9 years ago
Bongo519 Dec
Picha: Uzinduzi wa video mpya ya Ommy Dimpoz ‘Achia Body’
![Aika akizumza na Ommy](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Aika-akizumza-na-Ommy-300x194.jpg)
Ommy Dimpoz amezindua video ya wimbo mpya ‘Achia Body’ Jumamosi hii kwenye hoteli ya Akemi jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na mastaa kibao na wadau wengine.
Ommy Dimpoz
Akizungumza na Bongo5, Ommy alisema ukimya wake ulitokana na kuwa busy na show nyingi za nje.
“Huu mwaka ulikuwa na mambo mengi sana lakini nashukuru Mungu hayo mambo yamesababisha nijiandae vizuri zaidi,” alisema. “Nilikuwa na show nyingi za nje. Lakini hii kazi ni nzuri na watu wataifurahia sana. Kwahiyo kuifanyia...