KINANA ATUA MWANZA, AANZA ZIARA KWA KISHINDO
![](http://api.ning.com:80/files/SWXdzvDqQaKCQ39745Il*cIYcUwIdwTODCqI08k*m4sziXcK9O3R28weO2SS3f*-Zk0nH583VP4HlKgJiM3Zez7r1iak3IlW/1.KinanaakihutubiaNyehunge.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia maelfu ya wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kata ya Nyehunge akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na Uhai wa Chama katika jimbo la Buchosa, wilayani Sengerema, mkoani Mwanza jana, Juni 21, 2015.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog21 Jun
Kinana aanza ziara mkoa wa Mwanza, akutana uso kwa uso na mgombea Urais Ngeleja
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akilakiwa kwafuraha na Mbunge wa Jimbo la Sengerema, ambaye pia ni mmoja wa wana CCM waliochukua fomu ya kuomba kuwania urais ndani ya chama hicho, William Ngeleja alipowasili katika Kata ya Nyamadoke, Jimbo la Buchosa,, wilayani Sengerema, kuanza ziara rasmi katika majimbo yote ya Mkoa wa Mwanza leo.
Komredi Kinana ambaye katika ziara hiyo ameambatana na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, ameanza ziara mkoani Mwanza, baada ya kumaliza ziara...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dVfHEcDtdgo/VYcG92bdOQI/AAAAAAAC7Pc/uFmBV5CRqYM/s72-c/3.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AANZA ZIARA MKOANI MWANZA,AMALIZANA NA KAGERA NA GEITA
![](http://4.bp.blogspot.com/-dVfHEcDtdgo/VYcG92bdOQI/AAAAAAAC7Pc/uFmBV5CRqYM/s640/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-72m7NoLRz4k/VYcG-3DZIqI/AAAAAAAC7Pk/tlguuKE4Qw8/s640/4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qfhMajC7n7E/VYcG2bLrT6I/AAAAAAAC7OY/XmXw9PC7INU/s640/14.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-rF_OtEccg3M/VYcG4VnBIEI/AAAAAAAC7Os/pOkGodRkSao/s640/15.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-NMi-i9YMItg/VV9d9qw4D_I/AAAAAAAHZQI/hcWPmzrbEgU/s72-c/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
DIAMOND PLATINUMZ ATUA JIJINI MWANZA KWA KISHINDO LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-NMi-i9YMItg/VV9d9qw4D_I/AAAAAAAHZQI/hcWPmzrbEgU/s640/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CDDDWp5EwkA/VV9d7n2EGPI/AAAAAAAHZPk/cAn2MPcEp_M/s640/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_geLF9fMR0U/VV9d8p2fADI/AAAAAAAHZQE/gxhUzRSLGQ0/s640/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yQPNJvYFfpY/VV9d8uKNaVI/AAAAAAAHZPw/I8Kta5SAT5o/s640/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NhZCfQ9hyZs/VYkSRxGtCzI/AAAAAAAC7UY/uyBp0iQt0Co/s72-c/1.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NA UJUMBE WAKE AANZA ZIARA NDANI YA JIMBO LA MISUNGWI AKITOKEA SENGEREMA MKOANI MWANZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-NhZCfQ9hyZs/VYkSRxGtCzI/AAAAAAAC7UY/uyBp0iQt0Co/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-V6NY38tTrmc/VYkSSlqx3zI/AAAAAAAC7Ug/mNNGkhVV4Co/s640/2.jpg)
9 years ago
Bongo530 Nov
Picha: Ommy Dimpoz aanza ziara yake ya kufunga mwaka Kenya kwa kishindo
![ommy-1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/ommy-1-300x194.jpg)
Ommy Dimpoz yuko nchini Kenya ambako weekend iliyopita ameanza ziara yake ya kufunga mwaka nchini humo, kwa kufanya show ya kwanza ambayo imekuwa ‘soldout’.
Omary Nyembo aka Mr PKP alitumbuiza siku ya Jumamosi (Nov 28) kwenye county ya Turkana karibu na mpaka wa Sudan, ambako anasema wasanii ambao hupata nafasi ya kuitwa kutumbiza huko ni wale ambao wamehit sana.
Kwenye Ziara hiyo Dimpoz anatarajia kufanya jumla ya show 7.
Hizi ni picha za show ya Turkana
10 years ago
Dewji Blog13 Oct
Kinana ahitimisha ziara kwa kishindo Iringa
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akihutubia huku mkono wake ukiwa umefungwa POP, katika mkutano wa hadhara katika viwanja vya Mwembetogwa, mjini Iringa jana kuhitimisha ziara ya siku sita mkoani Iringa ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM pamoja na kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akihutubia katika mkutano na wa hadhara katika viwanja vya Mwembetogwa, mjini Iringa leo wa...
10 years ago
Dewji Blog23 Nov
Kinana ahitimisha ziara kwa kishindo Lindi
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akihutubia katika mkutano wa hadhara mjini Lindi jana, kuhitimisha ziara ya siku 8 katika Mkoa wa Lindi ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 pamoja na kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG)
10 years ago
GPLKINANA AHITIMISHA ZIARA KWA KISHINDO IRINGA
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-MmYJspYSolg/VY46CxDzuvI/AAAAAAAAf3o/Mqp0M9inyRE/s72-c/1.jpg)
KINANA AANZA ZIARA WILAYA YA NYAMAGANA KWA JOGGING
![](http://1.bp.blogspot.com/-MmYJspYSolg/VY46CxDzuvI/AAAAAAAAf3o/Mqp0M9inyRE/s640/1.jpg)
Viongozi mbali mbali walishiriki mchakamchaka huo akiwemo Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Magessa Mulongo,Mbunge...