Kinana aanza ziara mkoa wa Mwanza, akutana uso kwa uso na mgombea Urais Ngeleja
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akilakiwa kwafuraha na Mbunge wa Jimbo la Sengerema, ambaye pia ni mmoja wa wana CCM waliochukua fomu ya kuomba kuwania urais ndani ya chama hicho, William Ngeleja alipowasili katika Kata ya Nyamadoke, Jimbo la Buchosa,, wilayani Sengerema, kuanza ziara rasmi katika majimbo yote ya Mkoa wa Mwanza leo.
Komredi Kinana ambaye katika ziara hiyo ameambatana na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, ameanza ziara mkoani Mwanza, baada ya kumaliza ziara...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo10 Jun
Kinana uso kwa uso na mawaziri wawili
KATIBU Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana ameahidi kukutana na mawaziri watatu kupata ufumbuzi wa mambo mbalimbali, ikiwemo suala la bei ya kahawa pamoja na uingizaji wa nyavu za uvuvi zisizofaa.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-WTz9XKtzpiI/Uz7-Z1LK2dI/AAAAAAAFYnM/4sSj0WgUoSI/s72-c/IMG_4507.jpg)
ankal uso kwa uso na wazee wa kazi jijini london leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-WTz9XKtzpiI/Uz7-Z1LK2dI/AAAAAAAFYnM/4sSj0WgUoSI/s1600/IMG_4507.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-H8H6GfVlCgM/Uz7-cnvggKI/AAAAAAAFYnU/OqrsKaRFM8Q/s1600/IMG_4513.jpg)
10 years ago
MichuziMuwania kuteuliwa ubunge Tabora uso kwa uso na Mh Aden Rage
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4TETQG4tBiM/U8rqnC9ghAI/AAAAAAAF3zg/fCwtIzhDE5k/s72-c/SH100835.jpg)
Msondo, Sikinde uso kwa uso Iddi Mosi TCC Club
![](http://2.bp.blogspot.com/-4TETQG4tBiM/U8rqnC9ghAI/AAAAAAAF3zg/fCwtIzhDE5k/s1600/SH100835.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-IqQLziTISnk/U8rqnKLDEYI/AAAAAAAF3zc/lKN9ty_gKWs/s1600/images+(1).jpg)
10 years ago
VijimamboMuwania kuteuliwa ubunge Tabora uso kwa uso na Mh Aden Rageh
hii walikutana uso kwa uso walipofika ofisi za CCM wilaya kuchukua fomu za kuwania kuteuliwa na chama hicho kugombea ubunge wa wa Tabora mjini. Wote wawili katika kuonesha siasa si chuki wala ugomvi walilakiana na kusalimiana kwa uzuri kabisa.
11 years ago
GPLRAIS KIKWETE USO KWA USO NA PINTO MWENYEKITI WA TASWA
11 years ago
Dewji Blog28 Apr
Rais Kikwete uso kwa uso na Pinto Mwenyekiti wa Taswa
Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), ambaye pia ni mmiliki wa magazeti ya Jambo Leo na Staa Spoti, Juma Pinto wakati wa hafla ya maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Ikulu, Dar es Salaam juzi..PICHA NA KAMANDA WA MATUKIO BLOG
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ufe4VEJMSt4/Uz07yNqgJjI/AAAAAAAFYH0/lHK1sguq0VI/s72-c/f4.jpg)
Ankal uso kwa uso na frida fashion jijini London
![](http://4.bp.blogspot.com/-ufe4VEJMSt4/Uz07yNqgJjI/AAAAAAAFYH0/lHK1sguq0VI/s1600/f4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-cRxz4TuG4S0/Uz071RWRt5I/AAAAAAAFYIE/s28Mw4ED5cQ/s1600/f1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tRBKxIuL_bY/Uz072vfAt2I/AAAAAAAFYIM/FOXjkGD5Hrs/s1600/f3.jpg)