KINANA AANZA ZIARA WILAYA YA NYAMAGANA KWA JOGGING
![](http://1.bp.blogspot.com/-MmYJspYSolg/VY46CxDzuvI/AAAAAAAAf3o/Mqp0M9inyRE/s72-c/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana pamoja na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wameongoza makundi ya vijana kutoka Shirikisho la Vyuo Vikuu pamoja na Machinga wa mjini Mwanza kukimbia mchakamchaka (jogging) kwa umabali wa kilomita 8,kuanzia Barabara ya Stesheni,kupitia barabara ya Posta,Kenyatta, Karuta,Lumumba maeneo ya Soko Kuu mpaka Stendi ya zamani Tanganyika.
Viongozi mbali mbali walishiriki mchakamchaka huo akiwemo Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Magessa Mulongo,Mbunge...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Au1Jazj4Wh0/VDZwwxnq06I/AAAAAAAASJs/HIy9ZjPzGY0/s72-c/1.jpg)
KINANA AANZA ZIARA WILAYA YA MUFINDI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Au1Jazj4Wh0/VDZwwxnq06I/AAAAAAAASJs/HIy9ZjPzGY0/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jc3zc7vFG4I/VDZxIha-vHI/AAAAAAAASK0/P--As_adY7w/s1600/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CSCpuSebE34/VDZxLOpUZRI/AAAAAAAASK8/t0AN8xCsPyk/s1600/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GwibmMriUmI/VDZxMSs0iCI/AAAAAAAASLE/TJ6rskQX8O0/s1600/5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3cEny86YBZo/VDZxQYg1raI/AAAAAAAASLU/UbeodeHLABk/s1600/7.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-74Nzs9OMs_g/VDZxTBx4BoI/AAAAAAAASLc/pgu34zaFhlI/s1600/8.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I3dypOdGvF3VfiKWF6JloGpwBW6yqu1gus2kBlOICkPG0wJQGXo6YnKhvJ51mDKtctldHOl9JNtjfjAZ4HjCSKwDlYU9IThG/5.jpg?width=650)
KATIBU MKUU WA CCM, NDUGU KINANA AANZA ZIARA YAKE WILAYA YA WETE MKOA WA KASKAZINI PEMBA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-oruY9sAcGy0/VMaSMx8dc8I/AAAAAAACymk/_THbG5ofl4w/s72-c/5.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AANZA ZIARA YAKE LEO WILAYA YA WETE MKOA WA KASKAZINI PEMBA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-oruY9sAcGy0/VMaSMx8dc8I/AAAAAAACymk/_THbG5ofl4w/s1600/5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mHzAYpCk5vc/VMaSOEcn-LI/AAAAAAACym0/ue8pOCpiqm4/s1600/7.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SWXdzvDqQaKCQ39745Il*cIYcUwIdwTODCqI08k*m4sziXcK9O3R28weO2SS3f*-Zk0nH583VP4HlKgJiM3Zez7r1iak3IlW/1.KinanaakihutubiaNyehunge.jpg)
KINANA ATUA MWANZA, AANZA ZIARA KWA KISHINDO
10 years ago
Dewji Blog28 Jun
Ziara ya Kinana katika jimbo la Nyamagana
![](http://4.bp.blogspot.com/-b6IqNdZiSKI/VY9y_KDPeJI/AAAAAAAAf7Y/-lmq5eswCX0/s640/2.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na wananchi kutoka wilaya ya Nyamagana wanaounda makundi ya Machinga,Bodaboda, na Mama Lishe kwenye uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza.
![](http://4.bp.blogspot.com/-fww6ubGfakc/VY9zAW49xmI/AAAAAAAAf7k/UORgLf2EWUY/s640/22.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na makundi ya Mama Lishe ,Machinga na Boda boda katika kikao kilichofanyika kwenye uwanja wa CCM Kirumba.
![](http://2.bp.blogspot.com/-GE_xqb02TSI/VY9zA0KEh_I/AAAAAAAAf7w/bS0tV9YBfI8/s640/17.jpg)
Baadhi ya Mama lishe waliohudhulia kikao na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ur-8Pgzj8f0/VY9zhKkG_II/AAAAAAAAf8E/H-pLQ0FEsyw/s640/18.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana...
9 years ago
StarTV16 Dec
Meya Mwanza, Naibu wafanya ziara ya kushtukiza Hospitali Ya Wilaya Nyamagana
Mstahiki Meya wa jiji la Mwanza na Naibu wake wamefanya ziara ya kushtukiza katika hospitali ya wilaya ya Nyamagana kuangalia suala la utoaji huduma za afya kwa wagonjwa wanaofika hospitalini hapo.
Ziara hiyo imefanyika siku chache baada ya James Bwire diwani wa kata ya Mahina kuchaguliwa kuwa Mstahiki Meya wa jiji la Mwanza akilenga kuunga mkono kauli ya Rais John Magufuli ya Hapa Kazi Tu.
Hospitali ya wilaya ya Nyamagana inayohudumia takribani wagonjwa 300 kwa siku ikiwa ni tegemeo kwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Jo-oMK86zjY/VW_9RAjMLuI/AAAAAAAAc7k/0EWMeOtUHOk/s72-c/1.jpg)
KINANA AANZA ZIARA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Jo-oMK86zjY/VW_9RAjMLuI/AAAAAAAAc7k/0EWMeOtUHOk/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HlMJozsA_vA/VW_9TgdgsCI/AAAAAAAAc7s/Kx6TRvT3bXc/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-NV9sUo2cYXk/VW_9iVAMoxI/AAAAAAAAc8E/1evqpM9CTc8/s640/5.jpg)
10 years ago
Dewji Blog21 Jun
Kinana aanza ziara mkoa wa Mwanza, akutana uso kwa uso na mgombea Urais Ngeleja
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akilakiwa kwafuraha na Mbunge wa Jimbo la Sengerema, ambaye pia ni mmoja wa wana CCM waliochukua fomu ya kuomba kuwania urais ndani ya chama hicho, William Ngeleja alipowasili katika Kata ya Nyamadoke, Jimbo la Buchosa,, wilayani Sengerema, kuanza ziara rasmi katika majimbo yote ya Mkoa wa Mwanza leo.
Komredi Kinana ambaye katika ziara hiyo ameambatana na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, ameanza ziara mkoani Mwanza, baada ya kumaliza ziara...
10 years ago
Dewji Blog04 Jun
Kinana aanza rasmi ziara
![](http://4.bp.blogspot.com/-Jo-oMK86zjY/VW_9RAjMLuI/AAAAAAAAc7k/0EWMeOtUHOk/s640/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana akiteremka kwenye basi kuwasalimia wanachama na wapenzi wa Chama Cha Mapinduzi wa mkoa wa Morogoro akiwa njiani kuelekea mkoani Kagera.
![](http://1.bp.blogspot.com/-HlMJozsA_vA/VW_9TgdgsCI/AAAAAAAAc7s/Kx6TRvT3bXc/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-w7x4ONy4scs/VW_9dFVlFvI/AAAAAAAAc70/q_9ACV8Dg4k/s640/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-BEnECaPbcwg/VW_9hc3QDoI/AAAAAAAAc78/_PZMcsNFHLg/s640/4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-NV9sUo2cYXk/VW_9iVAMoxI/AAAAAAAAc8E/1evqpM9CTc8/s640/5.jpg)
Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwasalimia wakazi wa mkoa wa Morogoro waliojitokeza kuwasalimu wakati wa safari ya kuelekea Kagera.
![](http://4.bp.blogspot.com/-A0ptPvhdD-0/VW_9i-lPGnI/AAAAAAAAc8I/J0cFu6tRR9o/s640/6.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wakazi waliojitokeza kwenye kituo cha mabasi mjini Morogoro maarufu kama Msamvu ambapo aliwaambia...