Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Meya Mwanza, Naibu wafanya ziara ya kushtukiza Hospitali Ya Wilaya Nyamagana

 

Mstahiki Meya wa jiji la Mwanza na Naibu wake wamefanya ziara ya kushtukiza katika hospitali ya wilaya ya Nyamagana kuangalia suala la utoaji huduma za afya kwa wagonjwa wanaofika hospitalini hapo.

Ziara hiyo imefanyika siku chache baada ya James Bwire diwani wa kata ya Mahina kuchaguliwa kuwa Mstahiki Meya wa jiji la Mwanza akilenga kuunga mkono kauli ya Rais John Magufuli ya Hapa Kazi Tu.

 Hospitali ya wilaya ya Nyamagana inayohudumia takribani wagonjwa 300 kwa siku ikiwa ni tegemeo kwa...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Waziri wa Afya na Naibu wake wafanya ziara za kushtukiza katika hospitali ya Mwananyamala na Amana

IMG_8379

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamis Kigwangala akiwasili katika Hospitali ya rufaa ya Amana iliyopo Ilala, Dar es Salaam alipofanya ziara ya kushtukiza baada ya sherehe za kuapishwa.(Picha zote na Zainul Mzige wa Modewjiblog).

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu amefanya ziara ya kushtukiza katika hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala ikiwa ni masaa machache tangu kutoka kuapishwa na...

 

9 years ago

Dewji Blog

Naibu Waziri Dkt. Kigwangalla afanya ziara ya kushtukiza leo katika hospitali za rufaa mikoa ya Lindi na Mtwara

IMG_9315

Kaimu Muuguzi Mkuu wa Hospitali ya Sokoine ya Mkoa wa Lindi, Damasiana Msalla akimuongoza Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla kuelekea kwenye wodi za hospitali wakati wa ziara ya kushtukiza aliyofanya mkoa wa Lindi.(Picha zote na Zainul Mzige wa Modewjiblog)

IMG_9342

Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Sokoine ya Mkoa wa Lindi, Dkt. Evaristo Kasanga akimkaribisha Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi...

 

9 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI WA WIZARA YA AFYA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WATOTO NA WAZEE AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA KATIKA HOSPITALI YA AMANA JIJINI DAR LEO.

Naibu waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Khamis Kigwangala akielekea katika hospitali ya Amana leo jijini Dar es Salaa mara baada ya kuapishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Joseph Magufuli.        Naibu waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na            Watoto, Dkt.  Khamis Kigwangala akizungumza na wauguzi aliowakuta katika          hospitali ya Amana leo alipotembelea katika hospitali hiyo jijini...

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA AANZA ZIARA WILAYA YA NYAMAGANA KWA JOGGING


 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana pamoja na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wameongoza makundi ya vijana kutoka Shirikisho la Vyuo Vikuu pamoja na Machinga wa mjini Mwanza kukimbia mchakamchaka (jogging) kwa umabali wa kilomita 8,kuanzia Barabara ya Stesheni,kupitia barabara ya Posta,Kenyatta, Karuta,Lumumba maeneo ya Soko Kuu mpaka Stendi ya zamani Tanganyika.
Viongozi mbali mbali walishiriki mchakamchaka huo akiwemo Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Magessa Mulongo,Mbunge...

 

9 years ago

Global Publishers

Kigwangalla Afanya Ziara ya Kushtukiza Hospitali za Rufaa Lindi na Mtwara‏

IMG_9315

Kaimu Muuguzi Mkuu wa Hospitali ya Sokoine ya Mkoa wa Lindi, Damasiana Msalla akimuongoza Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla kuelekea kwenye wodi za hospitali wakati wa ziara ya kushtukiza aliyofanya mkoa wa Lindi.

IMG_9342

Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Sokoine ya Mkoa wa Lindi, Dkt. Evaristo Kasanga akimkaribisha Dkt. Hamisi Kigwangalla alipotembelea wodi za hospitali hiyo wakati wa ziara ya kushtukiza aliyofanya leo mkoa wa Lindi.Katikati...

 

10 years ago

Dewji Blog

Ziara ya kushtukiza ya Naibu waziri wa Maji Amos Makala jijini Dar

01

Naibu Waziri wa Maji Waziri Amos Makala akifuatana na wajumbe wa Bodi na Menejimenti, watendaji wa DAWASCO, waandishi wa habari na wananchi wa Boko wakati wa Ziara yake ya kushtukiza katika eneo la Boko jijini Dar es salaam ikiwa ni moja ya maeneo yenye matatizo ya maji ambayo yanasababisha wananchi wengi kukosa huduma hiyo muhimu katika masiha yao.

Na Eleuteri Mangi- MAELEZO

Naibu Waziri wa Maji Amos Makala ameiagiza Bodi na Menejimenti ya Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka ya jiji la Dar...

 

9 years ago

StarTV

Mkuu wa Mkoa fanya ziara ya kushtukiza Hospital Ya Wilaya Ya Ulanga

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dokta Rajabu Rutengwe amefanya ziara ya kushtukiza katika hospitali ya Wilaya ya Ulanga na kukuta malalamiko kutoka kwa wananchi juu ya upungufu wa dawa na vifaa tiba hatua inavyokwamisha upatikanaji wa huduma bora kwenye hospitali hiyo.

Wananchi hao wamesema kwa muda mrefu hospitalihiyo imekuwa ikikabiliwa na upungufu mkubwa wa dawa kitendo kinachowaathiri kwani hulazimika kuingia kwenye maduka ya mitaani kwa ajili ya kutafuta dawa ambazo zinakosekana hospitalini...

 

9 years ago

Michuzi

WAZIRI WA AFYA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA MWANANYAMALA JIJINI DAR LEO

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh.Ummy Mwalimu akimjulia hali mmoja wa watoto waliolazwa kwenye wadi ya Watoto, Hospitali ya Mwananyamala Jijini Dar es salaam, wakati alipofanya ziara ya kushtukiza ili kujionea hali ilivyo Hospitalini hapo.Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh.Ummy Mwalimu akimsalimia mmoja wa mama aliyelazwa kwenye wodi ya kina mama wajawazito, Hospitali ya Mwananyamala Jijini Dar es salaam leo. Kulia ni Katibu Mkuu wa...

 

9 years ago

StarTV

Naibu waziri Jafo abaini changamoto kadhaa Wilayani Bahi katika  ziara ya kushtukiza

Naibu waziri wa ofisi ya Rais, Tamisemi, utumishi na utawala bora Selemani Jafo jana amefanya ziara ya kushitukiza katika halmashauri ya wilaya ya bahi  na kukutana na changamoto mbalimbali zinazoikabili wilaya hiyo.

Changamoto hizo ni pamoja na kutokuwepo kwa mashine ya exray  na Ultra sound katika kituo cha zahanati ya wilaya hiyo na mfumo mbovu wa ukusanyaji mapato jambo linalosababisha mapato mengi kupotea.

Naibu waziri ofisi ya Raisi, Tamisemi,utumishi na utawala bora  Suleiman Jafo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani