KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NA UJUMBE WAKE AANZA ZIARA NDANI YA JIMBO LA MISUNGWI AKITOKEA SENGEREMA MKOANI MWANZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-NhZCfQ9hyZs/VYkSRxGtCzI/AAAAAAAC7UY/uyBp0iQt0Co/s72-c/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana na Msafara wake wakiingia kwenye kivuko cha Mv Misungwi katika feri ya Busisi mara baada ya kumaliza ziara yake wilaya ya Sengerema mapema leo asubuhi kuelekea wilaya ya Misungwi tayari kwa kuendelea na ziara yake ndani ya jiji la Mwanza
Mbunge wa Jimbo la Sengerema,Mh.William Ngeleja (wa pili kulia) kwa pamoja na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana wakitazama kivuko cha Mv Sengerema iliyokuwa ikielekea katika feri ya Kigongo walipokuwa ndani ya Mv...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RIryMEqSt_U/VYmn786lRLI/AAAAAAAC7Xg/H67iMyved_U/s72-c/2.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AMALIZA ZIARA YAKE JIMBO LA MISUNGWI,KESHO KUVAMIA JIMBO LA KWIMBA MKOANI MWANZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-RIryMEqSt_U/VYmn786lRLI/AAAAAAAC7Xg/H67iMyved_U/s640/2.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana,Leo aliendelea na ziara yake katika jimbo la Misungwi linaloongozwa na Mh. Charles Kitwanga ambaye pia ni naibu Waziri wa Nishati na Madini akitembelea maeneo...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jXbbjf7xD3A/VYwtWjegBNI/AAAAAAAAfq4/BZSFEHF07u4/s72-c/39.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NDANI YA JIMBO LA SUMVE MKOANI MWANZA LEO.
![](http://3.bp.blogspot.com/-jXbbjf7xD3A/VYwtWjegBNI/AAAAAAAAfq4/BZSFEHF07u4/s640/39.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JEvGpc3wI5M/VYxENjYfeTI/AAAAAAAC7fs/lh2Zj1C2zIw/s640/14.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WMpXyf4kvZg/VYrcFjwTRLI/AAAAAAAC7Zo/qZf441uB8YU/s72-c/7.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NDANI YA JIMBO LA KWIMBA MKOANI MWANZA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-WMpXyf4kvZg/VYrcFjwTRLI/AAAAAAAC7Zo/qZf441uB8YU/s640/7.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zmbaugUYgZQ/VYrcFNl0ZjI/AAAAAAAC7Zc/cJ-kKe-27Ug/s640/6.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mccMvvGGeQE/VRjBK_v9axI/AAAAAAAC2i0/osgbfI6ysXQ/s72-c/21.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NA UJUMBE WAKE NDANI YA JIMBO LA MWANGA,LEO KUWASILI ROMBO
![](http://4.bp.blogspot.com/-mccMvvGGeQE/VRjBK_v9axI/AAAAAAAC2i0/osgbfI6ysXQ/s1600/21.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-AxJUDlOed8U/VRh3dZ6bqEI/AAAAAAAC2hU/Cb1WTsPamgQ/s1600/23.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZXFrfcD_0PE/VRh0NbVJCjI/AAAAAAAC2gc/rpiRELtT6hI/s1600/17.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jxHSDI8-qCo/VPoCzPwd4wI/AAAAAAAHIKE/-ZAR3R45nfs/s72-c/1.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NA UJUMBE WAKE AENDELEA NA ZIARA YAKE JIMBO LA KONGWA MKOANI DODOMA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-jxHSDI8-qCo/VPoCzPwd4wI/AAAAAAAHIKE/-ZAR3R45nfs/s1600/1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UTxa6oNfQqE/VRXIkY9jf6I/AAAAAAAC2Zo/bJV0b_-xs7A/s72-c/4.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NA UJUMBE WAKE JIMBO LA SAME MASHARIKI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-UTxa6oNfQqE/VRXIkY9jf6I/AAAAAAAC2Zo/bJV0b_-xs7A/s1600/4.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dVfHEcDtdgo/VYcG92bdOQI/AAAAAAAC7Pc/uFmBV5CRqYM/s72-c/3.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AANZA ZIARA MKOANI MWANZA,AMALIZANA NA KAGERA NA GEITA
![](http://4.bp.blogspot.com/-dVfHEcDtdgo/VYcG92bdOQI/AAAAAAAC7Pc/uFmBV5CRqYM/s640/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-72m7NoLRz4k/VYcG-3DZIqI/AAAAAAAC7Pk/tlguuKE4Qw8/s640/4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qfhMajC7n7E/VYcG2bLrT6I/AAAAAAAC7OY/XmXw9PC7INU/s640/14.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-rF_OtEccg3M/VYcG4VnBIEI/AAAAAAAC7Os/pOkGodRkSao/s640/15.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-96qlwBLSyVI/VHdOT1WBMwI/AAAAAAAAUDY/Pxpziivbj7Y/s72-c/1.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA NA UJUMBE WAKE NDANI YA WILAYA YA TANDAHIMBA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-96qlwBLSyVI/VHdOT1WBMwI/AAAAAAAAUDY/Pxpziivbj7Y/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-O-b7TiIKy3I/VHdQLfDp1DI/AAAAAAAAUEo/ixrWymmF0pI/s1600/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-E3obQaKXWmY/VG4k3twIM7I/AAAAAAAATk0/D0HiYCHyjGk/s72-c/012.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA NA UJUMBE WAKE YAENDELEA MKOANI LINDI
![](http://4.bp.blogspot.com/-E3obQaKXWmY/VG4k3twIM7I/AAAAAAAATk0/D0HiYCHyjGk/s1600/012.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akifungua maji kama ishara ya kuzindua huduma za maji kwa wakazi wa kijiji cha Mpigamiti, mradi huo utahudumia vijiji vingine viwili vya Namakololo na Mitawa ambapo wakazi zaidi ya 6000 watafaidika na mradi huo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-uuO0o9f7lIs/VG4eK22IL3I/AAAAAAAATjY/Bx6D1DLhyE8/s1600/013.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-g-D3X9whrkY/VG4fUfK4JHI/AAAAAAAATjw/mhrN0cfcY-c/s1600/016.jpg)