Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ETI AUNT LULU ALIA KUKOSA BWANA!

Na Hamida Hassan MKALI wa sinema za Kibongo, Lulu Semagongo ‘Aunt Lulu’ amefunguka kuwa anasikitika kukosa bwana aliyeahidiwa na marehemu Amina Ngaluma. Muigizaji wa sinema za Kibongo, Lulu Semagongo ‘Aunt Lulu ’. Akizungumza na paparazi wetu, Aunt Lulu alisema kabla marehemu Amina hajapatwa na mauti nchini Thailand, alimuahidi kumtafutia bwana nchini humo lakini mauti yalimkuta kabla hajamtimizia ahadi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

AUNT LULU APIGWA TENA NA BWANA’KE

Stori: Gladness Mallya
MWANADADA mwenye umbo tata Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunt Lulu’ amedaiwa kubondwa tena na mpenzi wake aitwaye Amani, kisa kikitajwa kuwa ni wivu wa kimapenzi. Mwanadada mwenye umbo tata Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunt Lulu’. Chanzo cha habari ambacho ni jirani na msanii huyo kimeeleza kuwa, Aunt Lulu alichezea kipigo hicho hivi karibuni akiwa nyumbani kwao Mbezi Salasala jijini Dar...

 

11 years ago

GPL

NISHA: MH! ETI NINA MIMBA, WATU BWANA

Stori: Gladness Mallya MWANADADA kutoka kiwanda cha filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amepangua madai kuwa ni mjamzito na kudai ni maneno ya ya watu licha ya kwamba ukikiangalia kwa makini kitumbo chake unaweza kuhisi kuna kitu ndani. Mwanadada kutoka kiwanda cha filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ Akizungumzia madai hayo na kwamba ndicho kinachomfanya asijichanganye na wenzake kama kawaida, Nisha alisema...

 

9 years ago

Global Publishers

Eti Wema, Aunt wapatana!

IMG-20151214-WA0004Waigizaji wa filamu wenye majina makubwa Bongo, Wema Sepetu na Aunt Ezekiel katika pozi.

Na MWANDISHI WETU
KITUKO! Katika hali isiyotarajiwa, waigizaji wa filamu wenye majina makubwa Bongo, Wema Sepetu na Aunt Ezekiel wamepatana ghafla baada ya ugomvi wao wa muda mrefu.

Katika akaunti zao za mitandao ya kijamii, wawili hao walitupia picha wakiwa pamoja na furaha tele, baada ya hafla ya kukabidhiwa tuzo kwa wasanii zinazojulikana kama Nzumari Awards 2015, zilizofanyika Mombasa nchini Kenya,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ndesamburo alia na mabaraza kukosa nguvu

MBUNGE wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo, (CHADEMA) amesema mabaraza ya manispaa kushindwa kuwawajibisha watendaji wazembe kimekuwa chanzo cha kuendelea kuwepo kwa ufisadi kwenye halmashauri nyingi nchini. Ndesamburo aliyasema hayo juzi...

 

9 years ago

GPL

ETI KISA KWENDA UKAWA; WASANII WAMPONDA AUNT

Staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel Grayson Kisa na mkasa! Kama hujasikia ni kwamba, staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel Grayson amejikuta akila za uso kutoka kwa mastaa wenzake mara tu baada ya kutangaza kuwa yeye ni Timu ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) akimuunga mkono mgombea wake wa urais, Edward Ngoyai Lowassa.  ....Soma zaidi====>http://bit.ly/1Nvo3RG ...

 

9 years ago

GPL

ETI LULU ALILIA KUZAA

Imelda Mtema MAKUBWA! Akiwa angali na umri wa miaka 20, staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amenyanyua kinywa chake na kutamka kuwa anataka kuzaa kwa gharama yoyote kwani anatamani sana mtoto....Soma zaidi===>http://goo.gl/HJHhal

 

10 years ago

Bongo Movies

Aunt Ezekiel Alia Mimba Kumkosesha 'Madili'

Staa mrembo wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel, amesema kwamba anatamani kujifungua, kwani amechoshwa na mimba yake, kwa sababu imemfanya ashindwe kupata kazi ya kucheza filamu nyingine.

Akizungumza na gazeti la Mtanzania jana, msanii huyo alisema kuwa mialiko ya kucheza filamu imekata na sasa haingizi kipato chochote, badala yake pesa inatoka, hali ambayo inamfanya atamani ajifungue ili aondokane na adha hiyo.

“Siyo siri nimechoshwa na hii mimba, natamani hata leo nijifungue, kwani sipati tena...

 

10 years ago

Vijimambo

MAMA AMKATAA BWANA’KE LULU

Mama mzazi wa staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’, Lucresia Karugila.
Stori: Imelda Mtema/AmaniKufuatia kauli yake ya hivi karibuni kuwa nyumba anayomiliki ilitokana na mchango wa bwana’ke (hakumtaja jina), mama mzazi wa staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’, Lucresia Karugila ameibuka na kumkataa mwanaume huyo.Kwa mujibu wa Lulu, nyumba hiyo iliyopo Kimara jijini Dar ameijenga kwa kusaidiana na bwana’ke kwa mtindo wa pasu kwa pasu (kuchangia nusu kwa...

 

9 years ago

Bongo Movies

Mobeto: Lulu Kanipora Bwana!

MAPENZI ya mjini utata mtupu! Ni kauli inayostahili kutumika baada ya mwanamitindo maarufu Bongo, Hamisa Hassan Mobeto kumwaga chozi akidai kuporwa bwana’ke aliyekuwa akimpa jeuri mjini (jina tunalo) huku zigo la lawama likimwangukia staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’.

CHANZO KINASEMAJE?
Habari kutoka kwa chanzo makini zilieleza kwamba, kwa sasa kuna bifu jipya linalotokota mjini likihusisha sakata la Lulu kumpiku Mobeto kwa bwana’ke aliyekuwa akimgharamia kiasi cha kuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani