Eti Wema, Aunt wapatana!
Waigizaji wa filamu wenye majina makubwa Bongo, Wema Sepetu na Aunt Ezekiel katika pozi.
Na MWANDISHI WETU
KITUKO! Katika hali isiyotarajiwa, waigizaji wa filamu wenye majina makubwa Bongo, Wema Sepetu na Aunt Ezekiel wamepatana ghafla baada ya ugomvi wao wa muda mrefu.
Katika akaunti zao za mitandao ya kijamii, wawili hao walitupia picha wakiwa pamoja na furaha tele, baada ya hafla ya kukabidhiwa tuzo kwa wasanii zinazojulikana kama Nzumari Awards 2015, zilizofanyika Mombasa nchini Kenya,...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e4QG9g3mWCfDzaHWKULPs4TRs6WtaBFrJgBzTTHwrvnsUtx0daYpJeCzPpBE7oC3WIshtlLuOvFaCcqg7sbBRvXdfHi*AGYz/wema.gif?width=650)
WEMA, PENNY WAPATANA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JKksqYJJ9YhWdP-cr7wfUhw39Twj-dI*ziLlgKjytgOccaWavNOZtrNCVlUzgGUOSrJCEwUHH1peJg3TkxBDmxLetzMSJJrO/wema.jpg)
WEMA, KAJALA WAPATANA
11 years ago
GPLETI AUNT LULU ALIA KUKOSA BWANA!
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dm99ly9wi67PonSbx*DYFukE2T5*Ne-uG2skLm3A7RrYEsNE1xOVCXOnpHkdn4LI2EQBrWiaNVfnDaDjBY0cIi659h02SsGq/auntezekiel4.jpg?width=650)
ETI KISA KWENDA UKAWA; WASANII WAMPONDA AUNT
10 years ago
Bongo Movies04 May
Eti Wema Mrembo Kuliko Zari!
Imebainika kuwa maneno ‘gold digger’ katika ulimwengu wa fursa yanamaanisha kuwa ni mtu anayeona fursa na kuzitumia katika ‘kufaiti’ kupata mafanikio (utajiri) kwenye maisha.
Ndivyo alivyo mwandani wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ ambaye humwambii kitu linapokuja suala la kuona fursa na kuzifanyia kazi.
Pamoja na sifa hiyo iliyomfanya Zari kuwa mmoja wa mastaa matajiri Afrika Mashariki lakini kwa mujibu wa mashabiki waliomuona ‘laivu’...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/L5FNdOkpk1bXl8LCRQL8tYGx5Kpes8RL2nAcphrqMBvVI1CcA33nzMuXsM886p1uvglOvMnUTBwbys2DNpxdyvXwQ9m6ONnT/wema.jpg)
PENNY, WEMA ETI WANA PROJECT
10 years ago
Bongo Movies18 Mar
Ubuyu: Wema Azua Timbwili Eti Kisa Ally Kiba!
Mrembo na Staa wa Bongo Movie, Wema Sepetu ‘Madam’ anadaiwa kusababisha timbwili la aina yake hivi karibuni, akidaiwa kuwa kwenye harakati za kutaka kukaa karibu na staa wa Bongo Fleva , Ally Kiba.
Kwa mujibu wa gazeti la Risasi Mchanganyiko, tukio hilo la aina yake lilitokea hivi karibuni kwenye Ukumbi wa Triple A, jijini Arusha ambapo Wema alienda kwenye sherehe ya mmoja wa rafiki zake huku yeye akipewa ‘taito’ ya mgeni rasmi.
Chanzo cha gazeti hilo kilidokeza kuwa hivi karibuni, Kiba...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0gGC4ZQuxjNGbqPiQugHzHSJUfiL0nzBDtIfD2m5KnigxtKzQovbLZ3pMFAaNvZKp3TT5BGkkWnmrspm-qQdg5zUZVYpwYUs/auntycopy.jpg?width=650)
AUNT: SITAMZIKA WEMA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nGTcCv7erQKtZpfuL7-se8J4ZvLVVrurmmVag8UQCciD1vrZ4A7hM74-Ly7Cm2Znpvl9p4Zgnr8fneW1OREy-zhzKdeo1CV3/wema.jpg?width=650)
UCHAFU WA WEMA, AUNT