Ubuyu: Wema Azua Timbwili Eti Kisa Ally Kiba!
Mrembo na Staa wa Bongo Movie, Wema Sepetu ‘Madam’ anadaiwa kusababisha timbwili la aina yake hivi karibuni, akidaiwa kuwa kwenye harakati za kutaka kukaa karibu na staa wa Bongo Fleva , Ally Kiba.
Kwa mujibu wa gazeti la Risasi Mchanganyiko, tukio hilo la aina yake lilitokea hivi karibuni kwenye Ukumbi wa Triple A, jijini Arusha ambapo Wema alienda kwenye sherehe ya mmoja wa rafiki zake huku yeye akipewa ‘taito’ ya mgeni rasmi.
Chanzo cha gazeti hilo kilidokeza kuwa hivi karibuni, Kiba...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/O3p1FaWf5Ad6JMhXqtNY68QvJZldrKqCqzkV8Dfmze21JOE6SePNOKDbeQkrtRSfDuyulL-lfNJvGBml54WDBC-ZEVsdxtj-/d.jpg?width=650)
WEMA AZUA TIMBWILI KISA ALI KIBA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/79FAz6LP6Hist607QABydkvwa*imv8lmCNxE20Zlg4DxM*bHlyyBbo2LLMFpWNqOJTohUFw*v*q8SbmVYDwIVjFHIHpjAFYa/wema.jpg?width=650)
WEMA AZUA TIMBWILI GLOBAL, AJIITA YEYE NI CHIZI KULIKO MACHIZI WOOTE!
10 years ago
Bongo Movies06 May
Ubuyu:Wema, Aunt Kimenuka Kisa Zari
Gazeti la Risasi la leo limeripoti kuwa Mataa wa bongo movies ambao ni mashosti wa kufa na kuzikana, Wema Isaac Sepetu na Aunt Ezekiel Grayson wanadaiwa kugombana baada ya Aunt ‘kuposti’ kwenye ukurasa wake wa Instagram tangazo lililohusiana na pati ya mwandani wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ iliyofanyika Mlimani City jijini Dar wikiendi iliyopita.
Kwa mujibu wa mtu wa karibu wa mastaa hao wa sinema za Kibongo, baada ya Aunt kuposti...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vM7iDEJ0TmkXEFdGRX18IYZmoaf8JZbs2vOPWlJo8vzpDHJa62nW7cdtLz1fE7AXiIw7RkZq7OEUq1-yr*cGIomElbXxl9**/chuchu.jpg)
CHUCHU AZUA TIMBWILI BARABARANI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/szrS1FfaDDIROTjCzOXSHnH*d*0825RSE8eWQ0tSn13ByZzam27XuxWuB0pcF5wOiWKlA3tJf7Prwu3qAe8dg5PQTBsFH7VX/timbwili.jpg)
AISHA BUI AZUA TIMBWILI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t08dki1KeXwnaTOk7dxGGC8qOm8YtbjgDaUfjtZzC4u6YV04XiDlnYDL7EXPCzoGuW6CHIGnK0UkH8zybNzgXttM4zR9ydkY/maisha.jpg?width=650)
ATAKA KUMUUA BABA YAKE, AZUA TIMBWILI
9 years ago
Mtanzania21 Oct
Abdu Kiba: Ally Kiba kaniokoa
NA SHARIFA MMASI
MSANII wa Bongo Fleva nchini, Abdu Kiba, amedai kufanya kazi ya muziki na ndugu wa damu moja, kumemsaidia kutambulika haraka kwenye soko la muziki ndani na nje ya nchi.
Abdu Kiba anayeendelea kutamba na wimbo mpya wa ‘Ayaya’ aliomshirikisha Hellen Magashi ‘Rubby’, amesema ni fahari kwake kwa kuwa kazi yake ya muziki imepokelewa kwa urahisi.
“Kuna faida kubwa sana ya kufanya kazi na ndugu hasa anapokuwa na mashabiki wengi kama ilivyo kwa kaka yangu, Ally Kiba.
“Umaarufu wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5YgG3jVtvJ8sVPsLYdOZFGVD-vowUKB6Ix7cfpAH-o6gxxrQ2-3KLWihz2rAOgkFxq06oUNKz7ChkJRtOikN6sCi/DIDA.jpg?width=650)
DIDA AZUA TIMBWILI BAADA YA KUNG'ANG'ANIWA NA MWANAMKE MWENZAKE
10 years ago
Bongo Movies09 Mar
Ubuyu:Mama Wema Amzaba Vibao Askari!
Mama wa Staa wa Bongo Movies,Wema Sepetu anadaiwa kumzaba vibao askari wa kampuni binafsi.
Kwa mujibu wa shuhuda watukio zima, tukio hilo lililovuta hisia za watu wengi lilijiri kwenye Bandari ya Dar es Salaam, majira ya mchana Ijumaa iliyopita. Awali ya yote shuhuda huyo alihojiwa kama s kama anamjua vizuri mama Wema ambapo alithibitisha kuwa ni yeye huku akisapotiwa na wenzake waliokuwa wakisikika kwenye simu.
“Nani asiyemjua mama wa staa mkubwa kama Wema? Tena kafuatana na Wema...