Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shija Amshirikisha Kajala

Muigizaji na muongozaji wa filamu, Deogratious Shija amekuja na filamu mpya ya ‘Love and Pain’ ambayo imetoka wiki iliyopita akimshirikisha Kajala Masanja.

Shija ameeleza kuwa filamu hiyo inahusu mapenzi na imekuja ili kuvunja kimya chake cha mudda mrefu kitu ambacho kinafanya mashabiki wake kujua kuwa ameishiwa kisanaa.

Shija amesema katika  filamu hiyo amewashirikisha wakali kama Hemmed PHD, Kajala na Yvone Bigilwa.

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Runtown wa Nigeria amshirikisha Dj Khaled kwenye Album yake mpya

runtown n dj khaled

Mwimbaji wa ‘Gallardo’, Runtown kutoka Nigeria ameingia kwenye orodha ya wasanii wa nchi hiyo waliofanikiwa kufanya kazi na masataa wa Marekani.

runtown n dj khaled

Runtown ambaye hivi karibuni alikuja nchini kwenye finali za Bongo Star Search, na ambaye ameshafanya kazi na baadhi ya wasanii wa Tanzania akiwemo Chege, amemshirikisha Dj maarufu wa Marekani, DJ Khaled ambaye pia ni producer kwenye album yake mpya ‘Ghetto University’ itakayotoka Nov.23.

Runtown album-2

Runtown ameshare cover pamoja na orodha ya nyimbo za album...

 

9 years ago

Bongo5

Rapper wa S.A Cassper Nyovest amshirikisha rapper wa U.S.A The Game kwenye album yake mpya, ‘Refiloe’

Rapper wa Afrika Kusini ametoa orodha ya nyimbo zitakazokuwemo kwenye album yake mpya ‘Refiloe’ anayotarajia kuitoa hivi karibuni, na miongoni mwa nyimbo 14 zinazoikamilisha album hiyo imo collabo na rapper wa Marekani, The Game. Wimbo namba 14 kwenye album hiyo ya pili ya Cassper uitwao ‘Cooking in da Kitchen’ ndio aliomshirikisha The Game. Cassper ametoa […]

 

11 years ago

Bongo Movies

Baada ya Kajala kudai Wema ni mnafiki,Wema aamua kujibu mapigo. 'Amlipua' vibaya Kajala


Ikiwa ni siku chache zimepita baada ya mwigizaji  Kajala kudai kuwa mrembo Wema Sepeteu ni Mnafiki, hatimaye Mwanadada Wema Sepetu , amemlipua aliyekuwa shosti wake, Kajala Masanja ‘K’ ambaye wiki iliyopita alimwita mnafiki, habari  ambayo  ilisambaa  katika  mitandao  mbalimbali  ya  kijamii.

Katika habari hiyo, Kajala alikaririwa akisema kwamba licha ya watu wengi kuamini wamepatana, hakuna ukweli kwani rafiki yake huyo ni mnafiki kufuatia kutomthamini na kutokuwa karibu naye kama zamani...

 

11 years ago

IPPmedia

Dr William Shija


IPPmedia
Dr William Shija
IPPmedia
The Parliament has been urged to formulate specific laws that will help legislators to oversee government budget expenditures and the imposing of punishment against civil servants abusing public funds. This was said on Monday by the Secretary General of ...

 

10 years ago

Michuzi

DR WILLIAM SHIJA R.I.P

I am saddened by   the untimely  death  of  Dr  William  Shija  , Baba, a  friend and  above  all  a  diplomat.I  had  known  Dr  William  Shija. Since  his  appointment  as  the  secretary  General in  London, by  then I  was   a sitting  journalist  covering   the  British  houses  of  Parliament and  the  West  Minister  Village,  clicked instantly  and  I had the honour to being   the  first  journalist  to  interview  him  since  he was  the  The  first  ethnic  Minority  person  to ...

 

10 years ago

TheCitizen

Tanzania’s Shija injured

The East and Central Africa light-middleweight kick-boxing title bout between Tanzanian Emmanuel Shija and Ugandan Moses Golola was declared no contest after the former was seriously injured in the first round.

 

10 years ago

GPL

MAPACHA WA SHIJA WAIBUKA!

Mapacha wa waliopata umaarufu kupitia kwa mwigizaji, Deogratius Shija, Christina Mroni na Regina Mroni wakiwa kwenye pozi.
Mwandishi wetu
Vunja ukimya! Baada ya kupotea kwa muda mrefu kwenye sanaa ya filamu Bongo, mapacha wa waliopata umaarufu kupitia kwa mwigizaji, Deogratius Shija, Christina Mroni na Regina Mroni, wameibuka na kueleza sababu iliyowapoteza kuwa walikuwa wanalea. Akizungumza na Ijumaa Wikienda, mmoja wa...

 

10 years ago

Michuzi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani