Shija Amshirikisha Kajala
Muigizaji na muongozaji wa filamu, Deogratious Shija amekuja na filamu mpya ya ‘Love and Pain’ ambayo imetoka wiki iliyopita akimshirikisha Kajala Masanja.
Shija ameeleza kuwa filamu hiyo inahusu mapenzi na imekuja ili kuvunja kimya chake cha mudda mrefu kitu ambacho kinafanya mashabiki wake kujua kuwa ameishiwa kisanaa.
Shija amesema katika filamu hiyo amewashirikisha wakali kama Hemmed PHD, Kajala na Yvone Bigilwa.
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo512 Nov
Runtown wa Nigeria amshirikisha Dj Khaled kwenye Album yake mpya
![runtown n dj khaled](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/runtown-n-dj-khaled-300x194.jpg)
Mwimbaji wa ‘Gallardo’, Runtown kutoka Nigeria ameingia kwenye orodha ya wasanii wa nchi hiyo waliofanikiwa kufanya kazi na masataa wa Marekani.
Runtown ambaye hivi karibuni alikuja nchini kwenye finali za Bongo Star Search, na ambaye ameshafanya kazi na baadhi ya wasanii wa Tanzania akiwemo Chege, amemshirikisha Dj maarufu wa Marekani, DJ Khaled ambaye pia ni producer kwenye album yake mpya ‘Ghetto University’ itakayotoka Nov.23.
Runtown ameshare cover pamoja na orodha ya nyimbo za album...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Cmufrv6JsXU/default.jpg)
9 years ago
Bongo516 Oct
Rapper wa S.A Cassper Nyovest amshirikisha rapper wa U.S.A The Game kwenye album yake mpya, ‘Refiloe’
11 years ago
Bongo Movies19 Jul
Baada ya Kajala kudai Wema ni mnafiki,Wema aamua kujibu mapigo. 'Amlipua' vibaya Kajala
Ikiwa ni siku chache zimepita baada ya mwigizaji Kajala kudai kuwa mrembo Wema Sepeteu ni Mnafiki, hatimaye Mwanadada Wema Sepetu , amemlipua aliyekuwa shosti wake, Kajala Masanja ‘K’ ambaye wiki iliyopita alimwita mnafiki, habari ambayo ilisambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii.
Katika habari hiyo, Kajala alikaririwa akisema kwamba licha ya watu wengi kuamini wamepatana, hakuna ukweli kwani rafiki yake huyo ni mnafiki kufuatia kutomthamini na kutokuwa karibu naye kama zamani...
11 years ago
IPPmedia28 May
Dr William Shija
IPPmedia
IPPmedia
The Parliament has been urged to formulate specific laws that will help legislators to oversee government budget expenditures and the imposing of punishment against civil servants abusing public funds. This was said on Monday by the Secretary General of ...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ZkPDw4ctz54/VDRqYDeT6WI/AAAAAAAGol8/XXFPOhdTgTU/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
DR WILLIAM SHIJA R.I.P
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZkPDw4ctz54/VDRqYDeT6WI/AAAAAAAGol8/XXFPOhdTgTU/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
10 years ago
TheCitizen16 Nov
Tanzania’s Shija injured
10 years ago
GPLMAPACHA WA SHIJA WAIBUKA!
10 years ago
Michuzi10 Oct