Familia yamwachia Mungu kifo cha Meneja Ewura
Aliyekuwa Meneja wa Biashara ya Petroli wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (Ewura), Julius Gashaza anazikwa leo katika Kijiji cha Mulukulazo, Ngara mkoani Kagera huku familia yake ikisema haina cha kusema kuhusu kifo hicho, bali inamwachia Mungu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
MASWALI 5 KIFO CHA MENEJA EWURA
Na Haruni Sanchawa
JAMBO limezua jambo! Maswali matano ya msingi yameibuka kufuatia kifo cha aliyekuwa Meneja Biashara ya Petroli wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (Ewura), Julius Gashaza kilichotokea hotelini katika mazingira ya kutatanisha muda mfupi baada ya kuwasili jijini Dar akitoka Dodoma ambako alihojiwa na Kamati ya Bunge ya Bajeti, Amani limeyanasa. Meneja Biashara ya Petroli wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati...
11 years ago
Mwananchi20 May
Kifo cha meneja wa Ewura utata mtupu
>Wakati kukiwa na utata wa kifo cha Meneja wa Biashara ya Petroli wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (Ewura), imebainika kuwa tofauti ya takwimu kati ya mamlaka hiyo na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), iliyotolewa kwenye Kamati ya Bunge ya Bajeti ni Sh25 bilioni.
11 years ago
Mwananchi21 May
Polisi Dar yaunda jopo kuchunguza kifo cha bosi Ewura
Aliyekuwa Meneja wa Biashara ya Petroli wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (Ewura), Julius Gashaza alijinyonga kwa tai. Taarifa iliyotolewa jana Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Temeke, Engelbert Kiondo imesema.
10 years ago
GPL
FAMILIA YAWEKA WAZI CHANZO CHA KIFO CHA SECKY
Marehemu Lusekelo Samson Mwandenga 'Secky' enzi za uhai wake. Familia ya Marehemu Lusekelo Samson Mwandenga 'Secky' imeweka wazi chanzo cha kifo cha marehemu baada ya kuzagaa habari mitandaoni kuhusu chanzo cha kifo chake. Familia hiyo imeeleza kuwa marehemu aliumizwa na kiti cha kioo akiwa kambeba mtoto wake nyumbani kwake kisha akapelekwa hospitali na baadaye kufariki dunia akiwa hospitali. Enzi za uhai wake, marehemu alikuwa...
11 years ago
Uhuru Newspaper01 Jul
Meneja EWURA alijinyonga-Polisi
NA MWANDISHI WETU
JESHI la Polisi limesema hakuna anayetiliwa shaka kuhusiana na kifo cha aliyekuwa Meneja Udhibiti wa Biashara ya Petroli wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA), Julius Gashaza kwani alijinyonga.
Gashaza alikutwa amekufa kwa kile kilichodaiwa kujinyonga kwa kutumia tai katika nyumba ya kulala wageni ya Mwanga, eneo la Yombo Vituka, mjini Dar es Salaam.
Meneja huyo alikuwa amefariki dunia siku moja baada ya kurejea kutoka Dodoma kikazi Mei 18, mwaka huu.
Kamanda wa...
11 years ago
Mwananchi23 May
Simanzi zatawala mazishi ya meneja wa Ewura
Simanzi, majonzi na kila aina ya huzuni vilitawala makaburini pamoja na minong’ono ya hapa na pale kuhusu mazingira ya kifo cha aliyekuwa meneja wa biashara ya petroli wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (Ewura), Julius Gashaza.
11 years ago
GPLEWURA YAMLILIA MENEJA WAO JULIUS GASHAZA
Jeneza lenye mwili wa marehemu Julius N. Gashanza.
Mke wa marehemu Gashanza, Mama Baraka (mwenye miwani) akiwa na simanzi nzito.…
10 years ago
GPL
KIFO CHA MFALME ABDULLAH: NI UKUMBUSHO TOSHA MALI SI LOLOTE MBELE YA MUNGU!
Aliyebebwa na kisha kulazwa hapa ni Mfalme Abdullah wa Saudia. Aliswaliwa na kuzikwa huko Riyadh mapema wiki hii.
Kuna mengi tunajifunza kwa kifo cha Mfalme huyu wa Duniani, Allah ampe kheri na jazaa huko akhera , ameen. Mfalme ambaye alikua na utajiri usomithilika, alikua na nguvu za kusema kile nataka hiki sitaki, alikua na uwezo mkubwa, lakini yote haya ulifika muda ikawa ni mwisho wake. Mwisho wa maamuzi. Hata akivuliwa...
11 years ago
GPL21 May
VIDEO: EWURA YAMLILIA MENEJA WAO JULIUS GASHAZA
MWILI wa Meneja Biashara wa Petroli wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (Ewura), Julius Gashaza umeagwa siku ya jana nyumbani kwake Yombo, Vituka jijini Dar es Salaam. Marehemu alikutwa amekufa hotelini katika mazingira ya kutatanisha muda mfupi baada ya kuwasili jijini Dar es Salaam akitoka Dodoma ambako alikuwa akihojiwa na Kamati ya Bunge la Bajeti akimwakilisha Mkurugenzi Mkuu wa Ewura, Felix Ngamlagosi. ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania