Simanzi zatawala mazishi ya meneja wa Ewura
Simanzi, majonzi na kila aina ya huzuni vilitawala makaburini pamoja na minong’ono ya hapa na pale kuhusu mazingira ya kifo cha aliyekuwa meneja wa biashara ya petroli wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (Ewura), Julius Gashaza.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi27 Sep
Simanzi zatawala mapokezi mwili wa Celina Kombani
11 years ago
Uhuru Newspaper01 Jul
Meneja EWURA alijinyonga-Polisi
NA MWANDISHI WETU
JESHI la Polisi limesema hakuna anayetiliwa shaka kuhusiana na kifo cha aliyekuwa Meneja Udhibiti wa Biashara ya Petroli wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA), Julius Gashaza kwani alijinyonga.
Gashaza alikutwa amekufa kwa kile kilichodaiwa kujinyonga kwa kutumia tai katika nyumba ya kulala wageni ya Mwanga, eneo la Yombo Vituka, mjini Dar es Salaam.
Meneja huyo alikuwa amefariki dunia siku moja baada ya kurejea kutoka Dodoma kikazi Mei 18, mwaka huu.
Kamanda wa...
10 years ago
Habarileo03 Mar
Vilio, simanzi mazishi ya Komba
RAIS Jakaya Kikwete jana ameongoza mamia ya wakazi wa Dar es Salaam waliojitokeza kuaga mwili wa Mbunge wa Mbinga Magharibi, Kapteni John Komba aliyefariki Jumamosi jioni katika Hospitali ya TMJ ikielezwa kuwa kaondoka kama moto wa kiberiti.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*r6sbmstWSOG-IQGMd52DN5*i6J3J6wtcKVA9peCQ1m3PH7hJPJpSv-l2EnoRzN7l6V1avSXST*pZ9mqy1RjRFP/ngaluma.jpg)
SIMANZI MAZISHI YA AMINA NGALUMA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*x4RtjZ2BFUBdFBjMCTvWE7Z3eVZBAZkpLAa4PPpGrWA0ReWL1dudZA82N7ZgvZOmSJdLkKHVOw6a8BOaWlRlT7AiRJOHb36/meneja.jpg?width=650)
MASWALI 5 KIFO CHA MENEJA EWURA
11 years ago
Mwananchi20 May
Kifo cha meneja wa Ewura utata mtupu
11 years ago
GPLEWURA YAMLILIA MENEJA WAO JULIUS GASHAZA
10 years ago
Mwananchi11 Feb
Ni simanzi na vilio mazishi ya wanafamilia sita Dar
11 years ago
Mwananchi22 May
Familia yamwachia Mungu kifo cha Meneja Ewura