Meneja EWURA alijinyonga-Polisi
NA MWANDISHI WETU
JESHI la Polisi limesema hakuna anayetiliwa shaka kuhusiana na kifo cha aliyekuwa Meneja Udhibiti wa Biashara ya Petroli wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA), Julius Gashaza kwani alijinyonga.
Gashaza alikutwa amekufa kwa kile kilichodaiwa kujinyonga kwa kutumia tai katika nyumba ya kulala wageni ya Mwanga, eneo la Yombo Vituka, mjini Dar es Salaam.
Meneja huyo alikuwa amefariki dunia siku moja baada ya kurejea kutoka Dodoma kikazi Mei 18, mwaka huu.
Kamanda wa...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi23 May
Simanzi zatawala mazishi ya meneja wa Ewura
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*x4RtjZ2BFUBdFBjMCTvWE7Z3eVZBAZkpLAa4PPpGrWA0ReWL1dudZA82N7ZgvZOmSJdLkKHVOw6a8BOaWlRlT7AiRJOHb36/meneja.jpg?width=650)
MASWALI 5 KIFO CHA MENEJA EWURA
11 years ago
Mwananchi20 May
Kifo cha meneja wa Ewura utata mtupu
11 years ago
GPLEWURA YAMLILIA MENEJA WAO JULIUS GASHAZA
11 years ago
Mwananchi19 May
Meneja Ewura ajiua hotelini baada ya kuhojiwa na Bunge
11 years ago
Mwananchi22 May
Familia yamwachia Mungu kifo cha Meneja Ewura
11 years ago
GPL21 May
VIDEO: EWURA YAMLILIA MENEJA WAO JULIUS GASHAZA
11 years ago
Tanzania Daima29 Apr
Polisi: Meneja Barclays alipanga wizi
MENEJA wa Benki ya Barclays Tawi la Kinondoni, Alune Kasililika (28), anadaiwa kuchonga mpango wa majambazi kuvamia na kisha kupora kiasi kikubwa cha fedha katika tawi hilo. Katika tukio hilo...
11 years ago
Mwananchi21 May
Polisi Dar yaunda jopo kuchunguza kifo cha bosi Ewura