Meneja Ewura ajiua hotelini baada ya kuhojiwa na Bunge
>Meneja Biashara wa Petroli wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (Ewura) amekutwa amekufa hotelini katika mazingira ya kutatanisha muda mfupi baada ya kuwasili jijini Dar es Salaam akitoka Dodoma ambako alihojiwa na Kamati ya Bunge ya Bajeti.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru Newspaper01 Jul
Meneja EWURA alijinyonga-Polisi
NA MWANDISHI WETU
JESHI la Polisi limesema hakuna anayetiliwa shaka kuhusiana na kifo cha aliyekuwa Meneja Udhibiti wa Biashara ya Petroli wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA), Julius Gashaza kwani alijinyonga.
Gashaza alikutwa amekufa kwa kile kilichodaiwa kujinyonga kwa kutumia tai katika nyumba ya kulala wageni ya Mwanga, eneo la Yombo Vituka, mjini Dar es Salaam.
Meneja huyo alikuwa amefariki dunia siku moja baada ya kurejea kutoka Dodoma kikazi Mei 18, mwaka huu.
Kamanda wa...
11 years ago
Mwananchi23 May
Simanzi zatawala mazishi ya meneja wa Ewura
Simanzi, majonzi na kila aina ya huzuni vilitawala makaburini pamoja na minong’ono ya hapa na pale kuhusu mazingira ya kifo cha aliyekuwa meneja wa biashara ya petroli wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (Ewura), Julius Gashaza.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*x4RtjZ2BFUBdFBjMCTvWE7Z3eVZBAZkpLAa4PPpGrWA0ReWL1dudZA82N7ZgvZOmSJdLkKHVOw6a8BOaWlRlT7AiRJOHb36/meneja.jpg?width=650)
MASWALI 5 KIFO CHA MENEJA EWURA
Na Haruni Sanchawa
JAMBO limezua jambo! Maswali matano ya msingi yameibuka kufuatia kifo cha aliyekuwa Meneja Biashara ya Petroli wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (Ewura), Julius Gashaza kilichotokea hotelini katika mazingira ya kutatanisha muda mfupi baada ya kuwasili jijini Dar akitoka Dodoma ambako alihojiwa na Kamati ya Bunge ya Bajeti, Amani limeyanasa. Meneja Biashara ya Petroli wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati...
11 years ago
Mwananchi20 May
Kifo cha meneja wa Ewura utata mtupu
>Wakati kukiwa na utata wa kifo cha Meneja wa Biashara ya Petroli wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (Ewura), imebainika kuwa tofauti ya takwimu kati ya mamlaka hiyo na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), iliyotolewa kwenye Kamati ya Bunge ya Bajeti ni Sh25 bilioni.
11 years ago
GPLEWURA YAMLILIA MENEJA WAO JULIUS GASHAZA
Jeneza lenye mwili wa marehemu Julius N. Gashanza.
Mke wa marehemu Gashanza, Mama Baraka (mwenye miwani) akiwa na simanzi nzito.…
11 years ago
Mwananchi22 May
Familia yamwachia Mungu kifo cha Meneja Ewura
Aliyekuwa Meneja wa Biashara ya Petroli wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (Ewura), Julius Gashaza anazikwa leo katika Kijiji cha Mulukulazo, Ngara mkoani Kagera huku familia yake ikisema haina cha kusema kuhusu kifo hicho, bali inamwachia Mungu.
11 years ago
GPL21 May
VIDEO: EWURA YAMLILIA MENEJA WAO JULIUS GASHAZA
MWILI wa Meneja Biashara wa Petroli wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (Ewura), Julius Gashaza umeagwa siku ya jana nyumbani kwake Yombo, Vituka jijini Dar es Salaam. Marehemu alikutwa amekufa hotelini katika mazingira ya kutatanisha muda mfupi baada ya kuwasili jijini Dar es Salaam akitoka Dodoma ambako alikuwa akihojiwa na Kamati ya Bunge la Bajeti akimwakilisha Mkurugenzi Mkuu wa Ewura, Felix Ngamlagosi. ...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aX2yEHaS8JlR-oQs*9laPx3PkGQZ-*wW*IKuAo4wjAWmrOMStoPrjZn*2J1Uy0zRdjqlOPl5KrsOr1-jBo4vLNdh4Z6Nxuqw/vlcsnap256469001.jpg?width=600)
SIKU CHACHE BAADA YA KUHOJIWA: MEMBE ANENA MAZITO!
Mh. Benard Kamilius Membe. WAZIRI wa Mambo ya Nje ya Nchi na Ushirikiano wa Kimataifa, Mh. Benard Kamilius Membe amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimefanya jambo la msingi kuwaita na kuwaonya makada wake (akiwemo yeye) wanaotuhumiwa kukivuruga chama kwa kuendesha kampeni za kuwania nafasi ya urais katika uchaguzi ujao unaotarajiwa kufanyika mwakani kwa mujibu wa katiba ya nchi. Waziri wa Mambo ya Nje ya Nchi na Ushirikiano...
11 years ago
Michuzi18 Feb
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania