JAMANI! 'MATESO YANGU ANAYAJUA MUNGU’
![](http://api.ning.com:80/files/v4Ts6wAJqDqLutU80-ot6p5KLsmQpfVOEhGt9or6PTPxglOvyw66D2oc*43YlqMT7smlJ1OeQ7D0CsYcSxFsyFTrawq2TMNp/mateso.jpg)
Makala: Deogratius Mongela na Denis Mtima WAKATI wewe unaishi vizuri na kufanya kila aina ya starehe uitakayo, mambo ni tofauti kwa Ili Chacha (40) ambaye hata mahitaji muhimu kwake ni shida kwa kuwa anasumbuliwa na gonjwa hatari la kansa kwa zaidi ya miaka 14 sasa bila matibabu yoyote.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLDC AZINDUA FILAMU YA 'MATESO YANGU UGHAIBUNI', UZINDUZI WAFANA
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-ZuEdMJJJ-po/VDvRfLENGoI/AAAAAAAAcVY/OCOyh4iUVCk/s1600/mapenzi%2Bya%2Bmungu.jpg)
MAMA KANUMBA, LULU NDANI YA FILAMU MPYA IITWAYO 'MAPENZI YA MUNGU'
10 years ago
Bongo Movies16 Mar
Uzinduzi wa MATESO YANGU UGHAIBUNI Huko Uingereza
Uzinduzi wa filamu ya Mteso yangu ughaibuni umefanyika siku ya jumamosi tarehe 14, mwezi 3 mwaka huu Northampton, The Academy inchini uingereza kupitia kampuni ya Didas entertainment huku wageni rasmi wakiwa ni wasanii wawili kutoka bongo Yusuph Mlela na Esha buheti
Filamu hiyo iliyochezwa na mastaa Wastara Juma,Cloud 112,Riyama na waigizaji wengine kutoka London inasambazwa na kampuni moja ya usambazaji nchini Ghana na hii ni baada ya wasambazaji wa Tanzania kushindwa kuinunua. Kupitia...
10 years ago
Bongo Movies19 Feb
Hatimaye Filamu ya "Mateso Yangu Ughaibuni” Kuingia Sokoni
Baada ya kutokea figisufigisu kwa muda sasa kati ya baadhi ya waigizaji na muaandaaji, hatimaye filamu ya Mateso Yangu Ughaibuni itaingia sokoni hivi karibuni. Na hili ndio bandiko lililobandikwa mtandaoni na Didas Entertainment ambao ndio watengenezaji wa filamu hiyo.
“Shukrani kwanza ziende kwa Muumba pili kwa mama yangu mzazi. Kila jambo lenye kheri ukilifanyia subira huwa lina zaa kheri kubwa. Baada ya kushindwana Bei na ma distributors wa bongo, Kampuni moja ya waghana wameamua...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0U8UQjwDEm-2NuhU0L6FUhTrjGugFc*PaN0AvjAvvbBLphxfYeoXzBsmm95eCB*MiK-rZV-Shbu9N3h73iwKPP2rxJlxBnXe/MTOTO...jpg)
KAMA MWANAO MZIMA MSHUKURU MUNGU...MTOTO HUYU ANA MATESO MIAKA 11
10 years ago
GPLIDD AZZAN, MAMA TUNU PINDA KUSHUHUDIA UZINDUZI WA ‘MATESO YANGU UGHAIBUNI’
10 years ago
Bongo Movies09 Apr
Jamani jamani, hii nini tena jamani?? Shilole na Nuh mziwanda wachafua mtandao tena
LEO kupitia kwenye kwenye mtandao ule maarufu wa picha nchini, msanii Nuhu mziwanda a.k.a mume mtarajiwa wa mwanadada Shilole ameweke picha hiyo hapo juu ambayo imezua utata mkubwa sana kwa wadau wachache walioiona picha hiyo kwenye mtandao, kabla haijafutwa. Wengi wao wamehoji,
je kuna umuhimu gani wa kutupia mambo mazito kama hayo kwenye mitandao ya kijamii??
Picha hiyo ilikuwa na maandishi yanayosema
“I’m just hold it tight, my favorite thing on her boy”
Kwanza kabisa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*pFJjdzRt4aZa5TB9VoMWEFjapJ2lDLjqobLjPfGUmTM0h5EsgssdKHDTJd4GBa24Qc1uaHKJj7*ATJGeAwnMxQ/maskini.jpg)
NASUBIRI MUNGU AICHUKUE ROHO YANGU
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Namshukuru Mungu sauti yangu inamtumikia YeYE