Hatimaye Filamu ya "Mateso Yangu Ughaibuni” Kuingia Sokoni
Baada ya kutokea figisufigisu kwa muda sasa kati ya baadhi ya waigizaji na muaandaaji, hatimaye filamu ya Mateso Yangu Ughaibuni itaingia sokoni hivi karibuni. Na hili ndio bandiko lililobandikwa mtandaoni na Didas Entertainment ambao ndio watengenezaji wa filamu hiyo.
“Shukrani kwanza ziende kwa Muumba pili kwa mama yangu mzazi. Kila jambo lenye kheri ukilifanyia subira huwa lina zaa kheri kubwa. Baada ya kushindwana Bei na ma distributors wa bongo, Kampuni moja ya waghana wameamua...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLDC AZINDUA FILAMU YA 'MATESO YANGU UGHAIBUNI', UZINDUZI WAFANA
10 years ago
Bongo Movies16 Mar
Uzinduzi wa MATESO YANGU UGHAIBUNI Huko Uingereza
Uzinduzi wa filamu ya Mteso yangu ughaibuni umefanyika siku ya jumamosi tarehe 14, mwezi 3 mwaka huu Northampton, The Academy inchini uingereza kupitia kampuni ya Didas entertainment huku wageni rasmi wakiwa ni wasanii wawili kutoka bongo Yusuph Mlela na Esha buheti
Filamu hiyo iliyochezwa na mastaa Wastara Juma,Cloud 112,Riyama na waigizaji wengine kutoka London inasambazwa na kampuni moja ya usambazaji nchini Ghana na hii ni baada ya wasambazaji wa Tanzania kushindwa kuinunua. Kupitia...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Gp5r1JlQKRc/VAY8bPAOFQI/AAAAAAABBdI/MjWGzusSANw/s72-c/IMG_5525.jpg)
FILAMU YA ‘MATESO YA UGHAIBUNI’ KUZINDULIWA JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-Gp5r1JlQKRc/VAY8bPAOFQI/AAAAAAABBdI/MjWGzusSANw/s1600/IMG_5525.jpg)
Na Cathbert Kajuna wa Kajunason Blog.FILAMU ya ‘Mateso Ughaibuni’ ambayo imerekodiwa Uingereza na wasanii Issa Musa ‘Cloud 112’, Riyama Ally, Wastara Juma ...
10 years ago
GPLIDD AZZAN, MAMA TUNU PINDA KUSHUHUDIA UZINDUZI WA ‘MATESO YANGU UGHAIBUNI’
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo6F*wHeg8e7U2wgTHJpURyRb0adM*epGO7EjNIDQFyP97lhZlvSKqf79ZBKT9CWG1PGwaO9RCfSlgRttRB6oUut/pishu.jpg?width=650)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A1Qs8*3Ts4y0rrWKNCf0ILW9Zc0Gs0kV7cCAoU1aJsh9tmUlm5z9yv66tFC8g1rkWNGtmrsFMfSc7NEUD*edcOjfSGtB8YG0/AishaBuiakiwanaGabokatikamojayascenezafilamuyaMshalewaKifoiliyorekodiwaMorogoro.jpg?width=650)
FILAMU YA MSHALE WA KIFO KUINGIA SOKONI LEO
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2zOJi84y3aM/VA0CJOQKK7I/AAAAAAAGhaA/EZ7Gw03vumI/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
FILAMU YA MSHALE WA KIFO KUINGIA SOKONI LEO JUMATATU
![](http://1.bp.blogspot.com/-2zOJi84y3aM/VA0CJOQKK7I/AAAAAAAGhaA/EZ7Gw03vumI/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-T3ZJBrdq948/VA0CJhbcUjI/AAAAAAAGhaM/g8CwehNY6YA/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-ZuEdMJJJ-po/VDvRfLENGoI/AAAAAAAAcVY/OCOyh4iUVCk/s1600/mapenzi%2Bya%2Bmungu.jpg)
FILAMU YA MAPENZI YA MUNGU KUINGIA SOKONI WIKI HII
10 years ago
Bongo Movies08 Jan
KALEKWA:Filamu Mpya ya Richie na Rose Ndauka Tayari Kuingia Sokoni
Ile filamu iliyokuwa ikusubiliwa kwa hamu kubwa na mashabiki wengi,sasa ipo tayari imeshakamilika na inatarajiwa kuingia sokoni hivi karibuni.
Filamu hiyo inayokwenda kwa jina la KALEKWA imefanyika chini ya kampuni ya Bulls Entertainment, na inawajumuisha waigiza Single Mtambalike ‘Richie’ na Rose Ndauka ambao kwa pamoja wamekuwa wakitengeneza mvuto mkumbwa kwa mashabika na wapenzi wa filamu hapa inchini.
Jana kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram, Richie ambaye ndio...