Uzinduzi wa MATESO YANGU UGHAIBUNI Huko Uingereza
Uzinduzi wa filamu ya Mteso yangu ughaibuni umefanyika siku ya jumamosi tarehe 14, mwezi 3 mwaka huu Northampton, The Academy inchini uingereza kupitia kampuni ya Didas entertainment huku wageni rasmi wakiwa ni wasanii wawili kutoka bongo Yusuph Mlela na Esha buheti
Filamu hiyo iliyochezwa na mastaa Wastara Juma,Cloud 112,Riyama na waigizaji wengine kutoka London inasambazwa na kampuni moja ya usambazaji nchini Ghana na hii ni baada ya wasambazaji wa Tanzania kushindwa kuinunua. Kupitia...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLIDD AZZAN, MAMA TUNU PINDA KUSHUHUDIA UZINDUZI WA ‘MATESO YANGU UGHAIBUNI’
10 years ago
GPLDC AZINDUA FILAMU YA 'MATESO YANGU UGHAIBUNI', UZINDUZI WAFANA
10 years ago
Bongo Movies19 Feb
Hatimaye Filamu ya "Mateso Yangu Ughaibuni” Kuingia Sokoni
Baada ya kutokea figisufigisu kwa muda sasa kati ya baadhi ya waigizaji na muaandaaji, hatimaye filamu ya Mateso Yangu Ughaibuni itaingia sokoni hivi karibuni. Na hili ndio bandiko lililobandikwa mtandaoni na Didas Entertainment ambao ndio watengenezaji wa filamu hiyo.
“Shukrani kwanza ziende kwa Muumba pili kwa mama yangu mzazi. Kila jambo lenye kheri ukilifanyia subira huwa lina zaa kheri kubwa. Baada ya kushindwana Bei na ma distributors wa bongo, Kampuni moja ya waghana wameamua...
10 years ago
GPLCLOUD NA WENZAKE KUZINDUA ‘MATESO YA UGHAIBUNI’ ILIYOREKODIWA UINGEREZA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Gp5r1JlQKRc/VAY8bPAOFQI/AAAAAAABBdI/MjWGzusSANw/s72-c/IMG_5525.jpg)
FILAMU YA ‘MATESO YA UGHAIBUNI’ KUZINDULIWA JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-Gp5r1JlQKRc/VAY8bPAOFQI/AAAAAAABBdI/MjWGzusSANw/s1600/IMG_5525.jpg)
Na Cathbert Kajuna wa Kajunason Blog.FILAMU ya ‘Mateso Ughaibuni’ ambayo imerekodiwa Uingereza na wasanii Issa Musa ‘Cloud 112’, Riyama Ally, Wastara Juma ...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v4Ts6wAJqDqLutU80-ot6p5KLsmQpfVOEhGt9or6PTPxglOvyw66D2oc*43YlqMT7smlJ1OeQ7D0CsYcSxFsyFTrawq2TMNp/mateso.jpg)
JAMANI! 'MATESO YANGU ANAYAJUA MUNGU’
10 years ago
VijimamboUZINDUZI WA SEASON II YA SIRI YA MTUNGI NDANI YA UKUMBI WA CINEMAX HUKO OYSTERBAY
Juu...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3xBkmLXqW8s/VhLqbOdXAPI/AAAAAAAH9O0/g2pddsf9L5U/s72-c/unnamed%2B%25284%2529.jpg)
Sensei Rumadha Fundi aalikwa kushiriki semina ya Okinawa Goju Ryu Karate-Do Jundokan So Honbu huko Leeds, Uingereza
![](http://1.bp.blogspot.com/-3xBkmLXqW8s/VhLqbOdXAPI/AAAAAAAH9O0/g2pddsf9L5U/s640/unnamed%2B%25284%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-FMGmT4R_tU4/VhLqbPk1SWI/AAAAAAAH9O4/vmcsehIxuP0/s320/unnamed%2B%25285%2529.jpg)
Mwakilishi wa Jundokan So Honbu Tanzania, sensei Fundi, 3rd Dan (pichani chini), mwenye makaazi yake Marekani, amealikwa kushiriki moja ya semina ( Gasshuku) ya Karate mtindo wa Okinawa Goju Ryu Karate-Do Jundokan So Honbu.
Semina hii itafanyika nji wa Leeds, Uingereza, kuanzia tarehe 16 hadi 18 Oktoba, 2015. Wakuu wa Jundokan toka visiwa vya Okinawa wakiwemo; Sensei Yoshihiro Miyazato, Kancho ambae ni mtoto wa mwanzilishi wa Jundokan dojo mwaka 1957 master Eiichi Miyazato ( aliyekuwa...
9 years ago
MichuziBALOZI WA UINGEREZA NCHINI AONGOZA UZINDUZI WA FILAMU YA KUPINGA UKEKETAJI YA SIMULIZI HALISI YA GHATI NA RHOBI