Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CLOUD NA WENZAKE KUZINDUA ‘MATESO YA UGHAIBUNI’ ILIYOREKODIWA UINGEREZA

Issa Mussa 'Cloud 112' akipozi ndani ya studio za Global TV Online. Mkongwe wa filamu za Kibongo, Yvonney Cherry ‘Monalisa’. Mastaa wa filamu za Kibongo, Riyama Ali na Wastara Juma. FILAMU ya ‘Mateso Ughaibuni’ ambayo imerekodiwa Uingereza  na wasanii  Issa Musa ‘Cloud 112’,  Riyama Ally, Wastara Juma  na Monalisa itazinduliwa Alhamisi hii katika viwanja vya Leaders, jijini...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Uzinduzi wa MATESO YANGU UGHAIBUNI Huko Uingereza

Uzinduzi wa filamu ya Mteso yangu ughaibuni umefanyika siku ya jumamosi tarehe 14, mwezi 3 mwaka huu Northampton, The Academy  inchini uingereza  kupitia kampuni ya Didas entertainment huku wageni rasmi wakiwa ni wasanii wawili kutoka bongo Yusuph Mlela na Esha buheti

Filamu hiyo iliyochezwa na mastaa Wastara Juma,Cloud 112,Riyama na waigizaji wengine kutoka London inasambazwa na kampuni moja ya usambazaji nchini Ghana na hii ni baada ya wasambazaji wa Tanzania kushindwa kuinunua. Kupitia...

 

10 years ago

Michuzi

FILAMU YA ‘MATESO YA UGHAIBUNI’ KUZINDULIWA JIJINI DAR

Mkurugenzi wa Didas Fashion, Khadija Ayoub Seif, (Wa pili toka Kushoto) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuelezea uzinduzi wa Filamu ya Mateso Ughaibuni inayotarajiwa kuzinduliwa siku ya Alhamis Septemba 4, 2014 katika viwanja vya Leadrs Club. Pembeni yake ni Rais Wa Bongo Movie Steve Nyerere na wasanii wengine.

Na Cathbert Kajuna wa Kajunason Blog.FILAMU ya ‘Mateso Ughaibuni’ ambayo imerekodiwa Uingereza na wasanii Issa Musa ‘Cloud 112’, Riyama Ally, Wastara Juma ...

 

10 years ago

Bongo Movies

Hatimaye Filamu ya "Mateso Yangu Ughaibuni” Kuingia Sokoni

Baada ya kutokea figisufigisu kwa muda sasa kati ya baadhi ya waigizaji na muaandaaji, hatimaye filamu ya Mateso Yangu Ughaibuni itaingia sokoni hivi karibuni. Na hili ndio bandiko lililobandikwa mtandaoni na Didas Entertainment ambao ndio watengenezaji wa filamu hiyo.

“Shukrani kwanza ziende kwa Muumba pili kwa mama yangu mzazi. Kila jambo lenye kheri ukilifanyia subira huwa lina zaa kheri kubwa. Baada ya kushindwana Bei na ma distributors wa bongo, Kampuni moja ya waghana wameamua...

 

10 years ago

GPL

IDD AZZAN, MAMA TUNU PINDA KUSHUHUDIA UZINDUZI WA ‘MATESO YANGU UGHAIBUNI’

Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, Mheshimiwa Idd Azzan. Mke wa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Mizengo Pinda, Mama Tunu Pinda. MBUNGE wa Jimbo la Kinondoni, Mheshimiwa Idd Azzan,  na mke wa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Mizengo Pinda, Mama Tunu Pinda, ni miongoni mwa wageni…

 

10 years ago

GPL

DC AZINDUA FILAMU YA 'MATESO YANGU UGHAIBUNI', UZINDUZI WAFANA

Mkuu wa Wilaya (DC)  Temeke, Mheshimiwa Sophia Mjema akihutubia kwa niaba ya mke wa waziri mkuu, Tunu Pinda, aliyetarajiwa kuwa mgeni rasmi, (hakufika) wakati wa uzinduzi wa filamu  hiyo. Muigizaji Esha Buheti akiwa katika zulia jekundu 'red carpet' kwa ajili ya kupiga picha kwenye uzinduzi wa filamu…

 

10 years ago

Bongo Movies

KIMENUKA! Cloud Amfanyia Fitna Frank Mwikongi Deal La Kwenda Kufanya Filamu Uingereza, Ushahidi Wasambaa.

Mambo hadharani !...Haya ni mapya yameibuka leo bila chenga. muigizaji wa filamu nchini Issa Musa "Cloud 112" anadaiwa kumfanyia fitna na majungu star mwenzake wa filamu nchini Frank Mohamed Mwikongi katika deal la kucheza filamu lililotokea nchini Uingereza hivi karibuni.
Kwa ,mujibu wa Didas Fashions ambaye ndiye mtengenezaji wa filamu hiyo ya Mateso Yangu Ughaibuni chaguo la kwanza la filamu hiyo alikuwa ni Frank Mwikongi na walizungumza mwanzo na kuafikiana Frank alipwe mil.2 kama...

 

11 years ago

GPL

MATESO JUU YA MATESO

Stori: Erick Evarist na Mitandao Dunia haina huruma! Meriam Ibrahim, raia wa Sudan aliyetakiwa kuhukumiwa adhabu ya kifo kufuatia kuolewa na mwanaume Mkristo, Daniel Wani, raia wa  Marekani, amezidi kuteseka baada ya kuachiwa huru kisha kudaiwa kukamatwa tena hivyo kumuongezea mateso juu ya mateso. Meriam Ibrahim, raia wa Sudan akiwa na mume wake (Daniel Wani ) ambaye ni mkristo.
Mwanamke huyo aliachiwa huru Jumatatu...

 

11 years ago

GPL

CLOUD: NITAMSHUSHIA ZA CHEMBE JB

Na Erick Evarist MWIGIZAJI na prodyuza wa filamu Bongo, Issa Musa ‘Cloud 112’ amefunguka kuwa atamtandika ngumi kali za chembe mpinzani wake, Jacob Steven ‘JB’ katika pambano litakalopigwa kesho kwenye Tamasha la Matumaini, Uwanja wa Taifa, Dar. Mwigizaji na prodyuza wa filamu Bongo, Issa Musa ‘Cloud 112’ Akipiga stori na Amani mara baada ya… ...

 

9 years ago

BDlive

Tanzania elections under a cloud


BDlive
Tanzania elections under a cloud
BDlive
THREAT: Seif Sharif Hamad, opposition presidential candidate and secretary-general of the Civic United Front, speaks on Wednesday after Zanzibar annulled elections held at the weekend. Picture: AFP PHOTO/TONY KARUMBA ...
Why Next Election Will Be DifferentThe Star
Election was well-contested; organised, say observer teamDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)
Ukawa furious over Union presidential election resultsIPPmedia
Voice of...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani