Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CLOUD: NITAMSHUSHIA ZA CHEMBE JB

Na Erick Evarist MWIGIZAJI na prodyuza wa filamu Bongo, Issa Musa ‘Cloud 112’ amefunguka kuwa atamtandika ngumi kali za chembe mpinzani wake, Jacob Steven ‘JB’ katika pambano litakalopigwa kesho kwenye Tamasha la Matumaini, Uwanja wa Taifa, Dar. Mwigizaji na prodyuza wa filamu Bongo, Issa Musa ‘Cloud 112’ Akipiga stori na Amani mara baada ya… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Kama iko hata chembe ya mabadiliko, chembe hiyo itakuwa Ukawa

KICHWA cha makala ya wiki hii nimekiteua kwa makusudi kabisa kwa sababu kadhaa.

Jenerali Ulimwengu

 

9 years ago

Vijimambo

MGAO WA UMEME HAUNA CHEMBE ZA KISIASA NI MASWALA YA KIUFUNDI

Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco, Mhandisi FelchesmiMkurugenzi Mkuu wa Tanesco, Mhandisi Felchesmi Mramba
Dar es Salaam. Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limesema mgawo wa umeme kwa sasa hauzuiliki nchini kutokana na mabwawa yanayotumika kuzalisha nishati hiyo nchini kukumbwa na ukame.

Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco, Mhandisi Felchesmi Mramba aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa uzalishaji wa umeme wa maji kwenye mabwawa hayo umeshuka hadi kufikia megawati 105 kutoka 561 kutokana na ukame unaoendelea majira haya ya kiangazi.

Mramba alisema...

 

10 years ago

GPL

ZA CHEMBE LAZIMA UKAE: TOP IN DAR INAKUWAJE TENA MZAZI?

KHALEED Mohamed, ni msanii wa muziki wa kizazi kipya mwenye uwezo usiotia shaka, kama utahitaji kujua kuhusu anachofanya. Na kama utasema utaje orodha ya wakongwe ambao bado wanatikisa katika ulimwengu wa Bongo Fleva ambao umetekwa na vijana, huwezi kumkosa katika watu wako Kumi Bora. Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Top In Dar au kifupi TID. Top In Dar au kifupi TID ndilo jina lake maarufu la kisaniii, ingawa pia anafahamika...

 

11 years ago

GPL

ZA CHEMBE LAZIMA UKAE: MAMA WEMA HEBU KUWA MZAZI BASI!

NIANZE kwa kumuomba radhi sana mama mzazi wa msanii mwenye jina kubwa Bongo, Wema Abraham Sepetu, aitwaye Mariam Sepetu. Ninafanya hivi kwa sababu ya jadi yetu waafrika, kwamba huwa siyo jambo la heshima, mwenye umri mdogo, kumweleza maneno ya ‘kuudhi’ mtu aliyemzidi umri. Wema Abraham Sepetu. Lakini inabidi nimweleze kidogo maneno ambayo ingawa siyo mabaya, nina uhakika hata hivyo, hatayapenda kwa sababu nyingi,...

 

10 years ago

GPL

ZA CHEMBE LAZIMA UKAE: ASHA BARAKA, CHOKI HIVI MNAJUA MNA DENI KUBWA?

Asha na Choki wakishow love ndani ya studio za Global TV Online baada ya upatanisho. NINAWAFAHAMU vizuri sana hawa watu wawili, dada Asha Baraka ‘Iron Lady’ na mdogo wake, Ally Choki mwenye majina mengi ya kisanii, lakini mimi nikilipenda zaidi la Mzee wa Kizigo, kwa vile kwangu lina kumbukumbu ya mambo mengi. Hakuna utata kuwa Asha Baraka ni mmoja wa wanawake wapambanaji katika zama za sasa ambao taifa linaweza...

 

10 years ago

Dewji Blog

Zitto Kabwe asema ACT Wazalendo haina hata chembe ya ufisadi, yawataka wananchi kukichagua

ZITO

Kiongozi Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe akizungumza na wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika jana kwenye viwanja vya Peoples Club Mjini Singida.

MGHWIRA

Mgombea Ubunge Jimbo la Singida Mjini kupitia ACT, Anna Mghwira.

MKUU MSAFARA

Mratibu wa ziara za viongozi wa ACT nchini Karama Kaila.

MKITI

Mwenyekiti wa ACT Mkoa wa Singida.

KATIBU

Katibu wa ACT Wazalendo Mkoa wa Singida akizungumza kwenye mkutano huo.

BABA

Zitto Kabwe akisalimiana na baba mzazi wa Mgombea Ubunge Jimbo la Singida Mjini Mzee Mghwira.

WANANCHI

 

9 years ago

BDlive

Tanzania elections under a cloud


BDlive
Tanzania elections under a cloud
BDlive
THREAT: Seif Sharif Hamad, opposition presidential candidate and secretary-general of the Civic United Front, speaks on Wednesday after Zanzibar annulled elections held at the weekend. Picture: AFP PHOTO/TONY KARUMBA ...
Why Next Election Will Be DifferentThe Star
Election was well-contested; organised, say observer teamDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)
Ukawa furious over Union presidential election resultsIPPmedia
Voice of...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Cloud 112: Mimi siigizi

STAA wa filamu za Bongo, Issa Mussa ‘Cloud 112’, amesema muonekano wake katika filamu nyingi huwa haigizi ndivyo alivyo. Kauli hiyo imekuja baada ya msanii huyo kuonekana mtata katika filamu...

 

10 years ago

GPL

CLOUD AKANA KUMFITINI FRANK

Stori: Mayasa Mariwata na Chande Abdallah
MSANII mkongwe wa filamu Bongo Issa Musa ‘Cloud’ amekana tuhuma zinazosambazwa mtandaoni kuwa alimfitini muigizaji mwenzake, Mohammed Mwikongi ‘Frank’ ili kumzuia asisafiri kuelekea Uingereza miezi michache iliyopita. Msanii mkongwe wa filamu Bongo Issa Musa ‘Cloud’. “Mimi sikumfitini Frank, yule mtu alinifuata mwenyewe kwa makubaliano ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani