Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Cloud 112: Mimi siigizi

STAA wa filamu za Bongo, Issa Mussa ‘Cloud 112’, amesema muonekano wake katika filamu nyingi huwa haigizi ndivyo alivyo. Kauli hiyo imekuja baada ya msanii huyo kuonekana mtata katika filamu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

CLOUD 112 : NJOONI MSHUHUDIE NITAKAVYOMTWANGA JB

Staa wa filamu nchini, Issa Musa 'Cloud 112' amesema atamtwanga msanii mwenzake Jacob Steven 'JB' katika raundi ya kwanza kwenye mpambano wao wa ndondi utakaopigwa kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar, Agosti 8, 2014!

 

11 years ago

GPL

ISSA MUSSA 'CLOUD 112' ATINGA GLOBAL TV ONLINE, AFANYIWA MAHOJIANO

Issa Mussa 'Cloud 112' akipozi ndani ya studio za Global TV Online. Clouds 112 akipozi na wahariri wa Magazeti ya Global Publishers, Sifael Paul (kushoto) na Joseph Shaluwa (kulia).…

 

5 years ago

BBCSwahili

Bob atimiza miaka 112

Mkongwe mwenye umri mkubwa zaidi duniani,Bob Weighton, afikisha miaka 112

 

9 years ago

Mwananchi

Mahujaji 112 warejea nchini

Wakati kundi la kwanza la mahujaji 112 wa Tanzania likiwasili nchini jana kutoka Makka nchini Saudia Arabia walikokwenda kwenye Hijja, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa imetoa majina ya mahujaji 18 ambao hawajulikani walipo.

 

10 years ago

Habarileo

112 wakamatwa kwa ugaidi

KWA mwaka 2014, serikali imefanikiwa kutambua mtandao wa viongozi na washirika wao, wanaotuhumiwa kupanga na kufanya mashambulizi ya kigaidi kwa kutumia mabomu na kumwagia watu tindikali Tanzania Bara na Zanzibar.

 

10 years ago

Dewji Blog

Kampeni ya Shamiri kusomesha watoto 112

unnamed

Meneja Mahusiano shirika la The Foundation For Tomorrow, Anton Asukile (katikati) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari jijini Arusha juu ya Kampeni ya SHAMIRI inayolenga kuchangisha milioni 50 kwa ajili ya kusaidia watoto wanaoishi kwenye mazingira hatarishi, kulia ni Meneja Programu wa masuala ya kijamii na afya, Hedwiga Mchaki na kushoto ni Hilda Lema, Mfanyakazi wa shirika hilo.(Habari Picha na Pamela Mollel wa jamiiblog).

unnamed (1)

Meneja Programu wa masuala ya kijamii na afya  wa shirika la...

 

5 years ago

Michuzi

Wanahisa Benki ya CRDB kupata ongezeko la asilimia 112.5 la Gawio, Shilingi bilioni 44.4 kutolewa

Wanahisa wa Benki ya CRDB wameidhinisha gawio la shilingi 17 kwa hisa lililopendekezwa na Bodi ya Wakurugenzi ya benki hiyo katika Mkutano Mkuu wa 25 wa Wanahisa uliofanyika kidijitali siku ya jumamosi tarehe 27 Juni, 2020. Wakichangia maoni ya kupitisha pendekezo hilo la ongezeko la gawio kwa asilimia 112.5, Wanahisa wa Benki ya CRDB wamepongeza uongozi na wafanyakazi wa benki hiyo kwa matokeo mazuri yenye tija kwa Wanahisa. 
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya CRDB, Dkt. Ally Laay...

 

11 years ago

Dewji Blog

112 wafanikiwa kuingia kwenye hatua ya pili shindano la Tanzania Movie Talents jijini Mwanza

Majaji wa Shindano la Kusaka la Vipaji vya Uigizaji Tanzania lijulikanalo kama Tanzania Movie Talents wakijadiliana jambo wakati wa Zoezi la kusaka vipaji vya uigizaji kuingia Hatua ya pili kwa washiriki waliofanikiwa kupita kwenye mchujo.Kulia ni Single Mtambalike (Rich Rich), Ivon Chery (Monalisa) na Roy Sarungi.

Washiriki waliofanikiwa kuingia kwenye hatua ya pili wakifanyiwa usaili kwa ajili ya hatua ya pili sasa.

movie talent

Muongozaji wa Mradi wa Shindano la Kusaka Vipaji vya Kuigiza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani