112 wakamatwa kwa ugaidi
KWA mwaka 2014, serikali imefanikiwa kutambua mtandao wa viongozi na washirika wao, wanaotuhumiwa kupanga na kufanya mashambulizi ya kigaidi kwa kutumia mabomu na kumwagia watu tindikali Tanzania Bara na Zanzibar.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili15 Apr
Kumi wakamatwa Tanzania kwa ugaidi.
Watu 10 wanashikiliwa mkoani Morogoro baada ya kukamatwa msikitini wakiwa na milipuko 30, sare za jeshi na bendera nyeusi .
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5_3_qwbjeGs/U865fdvjaII/AAAAAAAF4zI/IWz3vZtKBp4/s72-c/mngulujuly152014.jpg)
watuhumiwa 25 wakamatwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za ugaidi nchini
![](http://4.bp.blogspot.com/-5_3_qwbjeGs/U865fdvjaII/AAAAAAAF4zI/IWz3vZtKBp4/s1600/mngulujuly152014.jpg)
Jinai nchini, (DCI) Kamishna Isaya Mngulu.Kufuatia tukio la mlipuko wa bomu siku ya tarehe 7/7/2014 majira ya saa 22.15 usiku katika mgahawa wa VAMA, eneo la Uzunguni Jijini Arusha, ambapo watu wanane walijeruhiwa, Jeshi la Polisi limewakamata watuhumiwa 25 kwa uchunguzi.Kufuatia uchunguzi huo kati yao watu sita watafikishwa mahakamani mapema iwezakanavyo. Watuhumiwa watakaofikishwa Mahakamani kwa tukio hilo ni: SHAABAN MUSSA MMASA @ JAMAL, Umri miaka 26...
9 years ago
BBCSwahili01 Sep
Washukiwa 38 wa ugaidi wakamatwa TZ
Polisi nchini Tanzania wanasema wamewakamata washukiwa 38 wa ugaidi na kunasa shehena ya silaha baada ya operesheni kali
10 years ago
BBCSwahili16 Jan
Washukiwa wa ugaidi wakamatwa Ulaya
Polisi katika nchi kadhaa barani Ulaya wamewakamata washukiwa kadhaa wenye itikadi kali za kidini katika misako iliyofanywa usiku kucha.
10 years ago
Mwananchi16 Apr
Kumi wakamatwa tishio la ugaidi
Tishio la ugaidi linazidi kuongezeka baada ya polisi mkoani hapa kuwakamata watu kumi kwenye msikiti wakiwa na vifaa vinavyosadikiwa kuwa vinatumika kwenye mashambulizi ya kigaidi, ikiwamo bendera nyeusi, milipuko na sare za jeshi.
10 years ago
BBCSwahili18 Apr
Washukiwa wa ugaidi wakamatwa Australia
Polisi nchini Australia wamewakamata wanaume watano kufuatia oparesheni ya kupambana na ugaidi kwenye mji wa Melbourne.
10 years ago
BBCSwahili24 Apr
Washukiwa wa ugaidi wakamatwa Italia
Polisi nchini Italia wanasema kuwa wamewakamata watu 18 wanaoshukiwa kuwa wanachama wa Islamic State
9 years ago
GPLWATU 38 WANAOJIHUSISHA NA UGAIDI WAKAMATWA NA SILAHA
Kova akionesha msisitizo wa jambo fulani. Kamanda Kova akionyesha baadhi ya silaha zilizokamatwa wakati wa oparesheni inayoendelea.…
10 years ago
MichuziSABA WAKAMATWA KWA KUJIHUSISHA NA UTENGENEZAJI WA NOTI BANDIA ZA DOLA ZA KIMAREKANI WAKAMATWA
Watuhumiwa hao walikamatwa mnamo tarehe 04/8/2014 wakiwa na noti bandia zipatazo 10,640 za dola mia (100) ambazo ni sawa na dola 1,064,000 ambazo ni zaidi ya shilingi za Kitanzania...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania