Kumi wakamatwa Tanzania kwa ugaidi.
Watu 10 wanashikiliwa mkoani Morogoro baada ya kukamatwa msikitini wakiwa na milipuko 30, sare za jeshi na bendera nyeusi .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Apr
Kumi wakamatwa tishio la ugaidi
10 years ago
Habarileo01 Jan
112 wakamatwa kwa ugaidi
KWA mwaka 2014, serikali imefanikiwa kutambua mtandao wa viongozi na washirika wao, wanaotuhumiwa kupanga na kufanya mashambulizi ya kigaidi kwa kutumia mabomu na kumwagia watu tindikali Tanzania Bara na Zanzibar.
9 years ago
StarTV06 Nov
Kumi wakamatwa mkoani Shinyanga kwa uhamiaji haramu.
Zaidi ya wahamiaji haramu kumi wamekamatwa mkoani Shinyanga kwa tuhuma za kuingia nchini kinyume cha sheria.
Wahamiaji hao wamekamatwa katika msako unaoendeshwa na idara ya uhamiaji mkoani humo. Msako huo ulianza katika kipindi cha uandikishwaji wa daftari la kudumu la wapiga kura na hivyo kupatikana kwa wahamiaji 13 kutokea Burundi, kenya, Rwanda na Jamuhuri ya kidmokrasia ya Congo.
Hayo yamezungumzwa na afisa uhamiaji wa mkoa wa Shinyanga bi Annamaria Yondani wakati akitoa takwimu katika...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5_3_qwbjeGs/U865fdvjaII/AAAAAAAF4zI/IWz3vZtKBp4/s72-c/mngulujuly152014.jpg)
watuhumiwa 25 wakamatwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za ugaidi nchini
![](http://4.bp.blogspot.com/-5_3_qwbjeGs/U865fdvjaII/AAAAAAAF4zI/IWz3vZtKBp4/s1600/mngulujuly152014.jpg)
Jinai nchini, (DCI) Kamishna Isaya Mngulu.Kufuatia tukio la mlipuko wa bomu siku ya tarehe 7/7/2014 majira ya saa 22.15 usiku katika mgahawa wa VAMA, eneo la Uzunguni Jijini Arusha, ambapo watu wanane walijeruhiwa, Jeshi la Polisi limewakamata watuhumiwa 25 kwa uchunguzi.Kufuatia uchunguzi huo kati yao watu sita watafikishwa mahakamani mapema iwezakanavyo. Watuhumiwa watakaofikishwa Mahakamani kwa tukio hilo ni: SHAABAN MUSSA MMASA @ JAMAL, Umri miaka 26...
9 years ago
BBCSwahili01 Sep
Washukiwa 38 wa ugaidi wakamatwa TZ
10 years ago
BBCSwahili16 Jan
Washukiwa wa ugaidi wakamatwa Ulaya
10 years ago
BBCSwahili24 Apr
Washukiwa wa ugaidi wakamatwa Italia
10 years ago
BBCSwahili18 Apr
Washukiwa wa ugaidi wakamatwa Australia
9 years ago
GPLWATU 38 WANAOJIHUSISHA NA UGAIDI WAKAMATWA NA SILAHA