Kumi wakamatwa mkoani Shinyanga kwa uhamiaji haramu.
Zaidi ya wahamiaji haramu kumi wamekamatwa mkoani Shinyanga kwa tuhuma za kuingia nchini kinyume cha sheria.
Wahamiaji hao wamekamatwa katika msako unaoendeshwa na idara ya uhamiaji mkoani humo. Msako huo ulianza katika kipindi cha uandikishwaji wa daftari la kudumu la wapiga kura na hivyo kupatikana kwa wahamiaji 13 kutokea Burundi, kenya, Rwanda na Jamuhuri ya kidmokrasia ya Congo.
Hayo yamezungumzwa na afisa uhamiaji wa mkoa wa Shinyanga bi Annamaria Yondani wakati akitoa takwimu katika...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RypELKQJJoY/UxmecHoS_6I/AAAAAAAFRtA/ecw1_Y_y6mw/s72-c/IMG_7354.jpg)
WAHAMIAJI HARAMU 46 WAKAMATWA NA JESHI LA POLISI MKOANI RINGA
![](http://3.bp.blogspot.com/-RypELKQJJoY/UxmecHoS_6I/AAAAAAAFRtA/ecw1_Y_y6mw/s1600/IMG_7354.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-zeQNTX7oMyM/UxmeguzECoI/AAAAAAAFRtI/YYOOsw3KvQc/s1600/IMG_7362.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-VhR_gyHHfKg/Uxmeg4bwV2I/AAAAAAAFRtM/ZCRui4_lWd8/s1600/IMG_7370.jpg)
10 years ago
MichuziWAHAMIAJI HARAMU 64 RAIA WA ETHIOPIA WAKAMATWA MKOANI DODOMA
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma kwa kushirikiana na Wananchi limewakamata Wahamiaji haramu 64 raia wa nchi ya ETHIOPIA (Wahabeshi) katika Kijiji cha KIDOKA, Kata ya KIDOKA, Tarafa ya GOIMA, Wilaya ya na CHEMBA na Mkoa wa DODOMA, mmoja kati yao alikutwa akiwa amefariki dunia aliyetambuliwa kwa jina moja la TAJIRU anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 25 – 30. Watu hao walikuwa wakisafirishwa kwa Lori lenye namba za usajili T.353 AYW Mitsubishi...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xkD01DKzp4U/VQmAnaOP8zI/AAAAAAAHLSM/Tafk-bsZ7ps/s72-c/unnamed.jpg)
Idara ya Uhamiaji yaendelea kupambana na uhamiaji haramu nchini
IDARA ya Uhamiaji nchini,Imesema inaendelea kupambana na uhamiaji haramu nchini na kuwataka wananchi waendelee kutoa taarifa za wahamiaji haramu na hatua zinachukuliwa dhidi ya wahamiaji hao.
Hayo ameyasema,Naibu Kamishina wa Idara ya Uhamiaji na Msemaji wa Mkuu wa Idara hiyo,Abbas Irovya ,amesema idara ya uhamiaji inaendelea kupambana na wahamiaji haramu na kufanya uhamiaji haramu kupungua.
Irovya amesema kuwa kuna gazeti moja la wiki jina tunalihifadhi...
10 years ago
Habarileo11 Feb
22 ‘watupwa’ jela kwa uhamiaji haramu
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi ya Mkoa wa Morogoro imewahukumu wahamiaji haramu 22 kutoka nchini Ethiopia kifungo cha kwenda jela miaka miwili kila mmoja ama kulipa faini ya Sh 50,000 baada ya kupatikana na hatia ya kuingia nchini bila kuwa na kibali cha Seriakali au hati ya kusafiria.
10 years ago
BBCSwahili15 Apr
Kumi wakamatwa Tanzania kwa ugaidi.
9 years ago
BBCSwahili25 Aug
Uingereza na uhamiaji haramu
9 years ago
BBCSwahili11 Nov
Tatizo la Uhamiaji haramu barani Ulaya
10 years ago
Tanzania Daima17 Aug
Wahamiaji haramu 21 wakamatwa
IDARA ya Uhamiaji mkoani hapa, imewakamata wahamiaji haramu 21 kutoka nchi ya Ethiopia walioingia nchini kwa kutumia roli la kubebea saruji katika eneo Mashujaa mjini Makambako. Naibu Kamishna wa Idara...
11 years ago
Habarileo21 Dec
Uhamiaji wanasa kinara wa uvushaji wahamiaji haramu
IDARA ya uhamiaji mkoani Kilimanjaro, imefanikiwa kumkamata kinara wa biashara ya binadamu, Abdul Ndaishimiye (33) raia wa Burundi anayedaiwa kuvusha wahamiaji haramu kuingia nchini kwa wastani wa Sh milioni 2 kwa kila mtu mmoja.