Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kumi wakamatwa mkoani Shinyanga kwa uhamiaji haramu.

Zaidi ya wahamiaji haramu kumi wamekamatwa mkoani Shinyanga kwa tuhuma za kuingia nchini kinyume cha sheria.

Wahamiaji hao wamekamatwa katika msako unaoendeshwa na idara ya uhamiaji mkoani humo. Msako huo ulianza katika kipindi cha uandikishwaji wa daftari la kudumu la wapiga kura na hivyo kupatikana kwa wahamiaji 13 kutokea Burundi, kenya, Rwanda na Jamuhuri ya kidmokrasia ya Congo.

Hayo yamezungumzwa na afisa uhamiaji wa mkoa wa Shinyanga bi Annamaria Yondani wakati akitoa takwimu katika...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

WAHAMIAJI HARAMU 46 WAKAMATWA NA JESHI LA POLISI MKOANI RINGA

Wahamiaji Haramu hao walikamatwa juzi katika kitongoji cha Gezaurole katika kata ya Ruaha Mbuyuni tarafa ya Mahenge wakati jeshi la polisi likiwa katika doria ya kawaida na kulitilia mashaka gari hilo lililokuwa limebeba matenga ya Nyanya.  Kiongozi wa Wahamiaji Haramu,akiwagawia wenzake mikate  ilionunuliwa na wanahabari waliokuwepo kwenye tukio hilo kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi mkoani humo.  Kiongozi wa Wahamiaji Haramu,akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana na sakata lao...

 

10 years ago

Michuzi

WAHAMIAJI HARAMU 64 RAIA WA ETHIOPIA WAKAMATWA MKOANI DODOMA

Na. Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma kwa kushirikiana na Wananchi limewakamata Wahamiaji haramu 64  raia wa nchi ya ETHIOPIA (Wahabeshi) katika Kijiji cha KIDOKA, Kata ya KIDOKA, Tarafa ya GOIMA, Wilaya ya na CHEMBA na Mkoa wa DODOMA, mmoja kati yao alikutwa akiwa amefariki dunia aliyetambuliwa kwa jina moja la TAJIRU anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 25 – 30. Watu hao walikuwa wakisafirishwa kwa Lori lenye namba za usajili T.353 AYW Mitsubishi...

 

10 years ago

Michuzi

Idara ya Uhamiaji yaendelea kupambana na uhamiaji haramu nchini

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
IDARA ya Uhamiaji nchini,Imesema inaendelea kupambana na uhamiaji haramu nchini na kuwataka wananchi waendelee kutoa taarifa za wahamiaji haramu na hatua zinachukuliwa dhidi ya wahamiaji hao.
Hayo ameyasema,Naibu Kamishina wa Idara ya Uhamiaji na Msemaji wa Mkuu wa Idara hiyo,Abbas Irovya ,amesema idara ya uhamiaji inaendelea kupambana na wahamiaji haramu na kufanya uhamiaji haramu kupungua.
Irovya amesema kuwa kuna gazeti moja la wiki jina tunalihifadhi...

 

10 years ago

Habarileo

22 ‘watupwa’ jela kwa uhamiaji haramu

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi ya Mkoa wa Morogoro imewahukumu wahamiaji haramu 22 kutoka nchini Ethiopia kifungo cha kwenda jela miaka miwili kila mmoja ama kulipa faini ya Sh 50,000 baada ya kupatikana na hatia ya kuingia nchini bila kuwa na kibali cha Seriakali au hati ya kusafiria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kumi wakamatwa Tanzania kwa ugaidi.

Watu 10 wanashikiliwa mkoani Morogoro baada ya kukamatwa msikitini wakiwa na milipuko 30, sare za jeshi na bendera nyeusi .

 

9 years ago

BBCSwahili

Uingereza na uhamiaji haramu

Serikali ya Uingereza itatangaza leo Jumanne mapendekezo mapya ya kukabiliana na suala tata la uhamiaji.

 

9 years ago

BBCSwahili

Tatizo la Uhamiaji haramu barani Ulaya

Idadi kubwa ya wahamiaji haramu wanaosafiri katika mazingira magumu katika bahari ya mediterenia kunatia wasiwasi nchi za Ulaya.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wahamiaji haramu 21 wakamatwa

IDARA ya Uhamiaji mkoani hapa, imewakamata wahamiaji haramu 21 kutoka nchi ya Ethiopia walioingia nchini kwa kutumia roli la kubebea saruji katika eneo Mashujaa mjini Makambako. Naibu Kamishna wa Idara...

 

11 years ago

Habarileo

Uhamiaji wanasa kinara wa uvushaji wahamiaji haramu

IDARA ya uhamiaji mkoani Kilimanjaro, imefanikiwa kumkamata kinara wa biashara ya binadamu, Abdul Ndaishimiye (33) raia wa Burundi anayedaiwa kuvusha wahamiaji haramu kuingia nchini kwa wastani wa Sh milioni 2 kwa kila mtu mmoja.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani