Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bob atimiza miaka 112

Mkongwe mwenye umri mkubwa zaidi duniani,Bob Weighton, afikisha miaka 112

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

DJ GULU RAMADHANI NANJI ATIMIZA MIAKA 19 YA NDOA YAKE, VIJIMAMBO BLOG INAKUTAKIA MIAKA AMANI NAFURAHA ZAIDI KATIKA NDOA YAKO.

· 
Oooh Allah Naona Kama Naota Vile Kama Siamini Vile...Asante Sana Mungu Kwa Pumzi Unayotupa Hadi Leo Tarehe 10 May Twafikisha Miaka 19 Ya Ndoa Yetu Mimi Na Mke Wangu Kipenzi Bi Khadija Gulu...Asante Sana Bi Wife Kwa Kustahmili Mengi Kutwa Nipo Katika Mihangaiko,Safarini Kikazi Lakini Mungu Amekujaalia Upendo,Subra,imani Na Moyo Wa Kipekee Wa Kijasiri Sijapata Kuona Wa Kuweza Kukaa Na Familia Kama Mume Nipo Nyumbani Wakati Wote,Wewe Kweli Ni Mke Bora...Wakati Twafunga Ndoa Wengi Walidiriki...

 

11 years ago

GPL

OPRAH WINFREY ATIMIZA MIAKA 60

Oprah Gail Winfrey. MWIGIZAJI, mmiliki wa vyombo vya habari, mtangazaji, prodyuza kutoka nchini Marekani, Oprah Gail Winfrey leo ametimiza umri wa miaka 60. Oprah ambaye amejishindia tuzo mbalimbali kupitia kipindi chake cha 'The Oprah Winfrey Show' alizaliwa Januari 29, 1954 Mississipi nchini Marekani. Oprah ni bilionea namba moja ambaye ni Mmarekani mweusi wa karne ya 20. ...

 

11 years ago

Mwananchi

Mugabe atimiza umri wa miaka 90

Rais mkongwe wa Zimbabwe, Robert Mugabe ambaye ameiongoza nchi hiyo tangu mwaka 1980, ametimiza miaka 90.

 

10 years ago

GPL

RAIS MUGABE ATIMIZA MIAKA 90 LEO

Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe. Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ametimiza miaka 91 leo.
Mugabe amekuwa ni kiongozi mzee kabisa duniani kwa kuwa madarakani kwa miaka 35.
Sherehe ya siku yake ya kuzaliwa inategemewa kufanyika wiki ijayo katika Uwanja wa Golf, Victoria Falls. Sherehe hiyo ambayo itakuwa kubwa na kuhudhuriwa na maelfu ya watu, inaelezwa kugharimu kiasi cha dola milioni… ...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Insp. Haroun atimiza miaka 10 ya ndoa yake

MKONGWE wa muziki wa kizazi kipya nchini, Haruna Kahena ‘Inspector Haroun’ au ‘Babu’ anatarajiwa kufanya shoo ya kuadhimisha miaka kumi ya ndoa yake, itakayofanyika Octoba 25 katika ukumbi wa Mpoafrika...

 

9 years ago

Michuzi

MWANALIBENEKE YUSKISS KISIBA ATIMIZA MIAKA KADHAA YA KUZALIWA KWAKE.

Anaitwa Yusuph Kisiba a.k.a Yuskiss Kisiba ambae ni Blogger @Lake Zone Media & Kisibasharesky Media, Graphics Desiner & Video Editor @Shafineys Film Production Jijini Mwanza.

Na:George Binagi-GB Pazzo wa Binagi Media GroupTarehe kama ya leo (Nevemba 19) miaka kadhaa iliyopita alizaliwa hivyo hii leo anafurahia siku yake ya kuzaliwa na ndugu, jamaa na Marafiki. Nasi tunamtakia maisha mema katika kuzaliwa kwake.
"Novemba 19 ni tarehe ambayo Mwenyezi Mungu aliweza kuniruhusu kutoka katika tumbo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Exclusive gossip!! Elizabeth Michael ‘Lulu’ atimiza miaka 20, akutwa na majanga makubwa tena?

11141247_829399100430296_1991739193983155009_n

Lulu akiwa kwenye pozi..

  ..Afunga ‘akaunti’ yake ya Instagram kwa siku zisizojulikana  ..Wema Sepetu ampongeza, amuonea huruma kifo cha Seki

 Na Andrw Chale wa Modewji blog

Habari maalum hadi tunakuwekea hapa,  Leo Aprili 16.2015, ni siku ya kipekee kwa muigizaji na Msanii wa filamu na ‘modo’ kwenye matangazo mbalimbali ya Bongo, Elizabeth Michael maalufu kama Lulu ambaye ametimiza miaka 20.

Hata hivyo hadi hivi sasa Lulu ambaye  pia amekuwa na wafuasi wengi kwenye mitandao yake ya...

 

11 years ago

CloudsFM

DULLY SYKES ATIMIZA MIAKA KUMI NA TANO TANGU AINGIE KWENYE MUZIKI WA BONGO FLEVA

STAA wa Bongo Fleva,Dully Sykes mwaka huu ametimiza miaka 15 tangu aingie kwenye muziki wa Bongo Fleva na ngoma yake ya Julieta ambayo ilihit kwenye redio station zote za hapa nchin,baadaye zikaja Salome,Nyambizi na nyinginezo mpaka leo msanii huyo ameweza kuendelea kuwepo kwenye game ukizingatia ni msanii wa mwanzo wa muziki huo wa bongo fleva.Ndani ya miaka hiyo kumi na tano Dully ana miliki mijengo, ana watoto watatu, ana album mbili za Historia ya kweli 2002, pamoja na Handsome 2003,...

 

10 years ago

GPL

STAA WA ZAMANI WA TENNIS, BOB HEWITT AHUKUMIWA MIAKA 6 KWA UBAKAJI

Bob Hewitt. STAA wa zamani wa tennis, Bob Hewitt amehukumiwa kwenda jela miaka sita kwa kosa la ubakaji nchini Afrika Kusini. Bob Hewitt enzi zake. Hewitt alikutwa na hatia Mwezi Machi jijini Johannesburg kwa makosa mawili la ubakaji na udhalilishaji wa kijinsia kwa watoto wa kike. Akizungumza wakati wa kutolewa hukumu hiyo, mke wa Hewitt aliiomba mahakama kuonyesha huruma kwa mumewe huyo mwenye umri wa miaka 75. Makosa hayo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani