Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RAIS MUGABE ATIMIZA MIAKA 90 LEO

Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe. Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ametimiza miaka 91 leo.
Mugabe amekuwa ni kiongozi mzee kabisa duniani kwa kuwa madarakani kwa miaka 35.
Sherehe ya siku yake ya kuzaliwa inategemewa kufanyika wiki ijayo katika Uwanja wa Golf, Victoria Falls. Sherehe hiyo ambayo itakuwa kubwa na kuhudhuriwa na maelfu ya watu, inaelezwa kugharimu kiasi cha dola milioni… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mugabe atimiza umri wa miaka 90

Rais mkongwe wa Zimbabwe, Robert Mugabe ambaye ameiongoza nchi hiyo tangu mwaka 1980, ametimiza miaka 90.

 

10 years ago

Vijimambo

DJ GULU RAMADHANI NANJI ATIMIZA MIAKA 19 YA NDOA YAKE, VIJIMAMBO BLOG INAKUTAKIA MIAKA AMANI NAFURAHA ZAIDI KATIKA NDOA YAKO.

· 
Oooh Allah Naona Kama Naota Vile Kama Siamini Vile...Asante Sana Mungu Kwa Pumzi Unayotupa Hadi Leo Tarehe 10 May Twafikisha Miaka 19 Ya Ndoa Yetu Mimi Na Mke Wangu Kipenzi Bi Khadija Gulu...Asante Sana Bi Wife Kwa Kustahmili Mengi Kutwa Nipo Katika Mihangaiko,Safarini Kikazi Lakini Mungu Amekujaalia Upendo,Subra,imani Na Moyo Wa Kipekee Wa Kijasiri Sijapata Kuona Wa Kuweza Kukaa Na Familia Kama Mume Nipo Nyumbani Wakati Wote,Wewe Kweli Ni Mke Bora...Wakati Twafunga Ndoa Wengi Walidiriki...

 

11 years ago

GPL

OPRAH WINFREY ATIMIZA MIAKA 60

Oprah Gail Winfrey. MWIGIZAJI, mmiliki wa vyombo vya habari, mtangazaji, prodyuza kutoka nchini Marekani, Oprah Gail Winfrey leo ametimiza umri wa miaka 60. Oprah ambaye amejishindia tuzo mbalimbali kupitia kipindi chake cha 'The Oprah Winfrey Show' alizaliwa Januari 29, 1954 Mississipi nchini Marekani. Oprah ni bilionea namba moja ambaye ni Mmarekani mweusi wa karne ya 20. ...

 

5 years ago

BBCSwahili

Bob atimiza miaka 112

Mkongwe mwenye umri mkubwa zaidi duniani,Bob Weighton, afikisha miaka 112

 

10 years ago

Tanzania Daima

Insp. Haroun atimiza miaka 10 ya ndoa yake

MKONGWE wa muziki wa kizazi kipya nchini, Haruna Kahena ‘Inspector Haroun’ au ‘Babu’ anatarajiwa kufanya shoo ya kuadhimisha miaka kumi ya ndoa yake, itakayofanyika Octoba 25 katika ukumbi wa Mpoafrika...

 

10 years ago

Michuzi

RAIS WA ZIMBABWE ROBERT MUGABE AWASILI JIJINI ARUSHA LEO,KUFUNGUA KONGAMANO LA 3 LA VIONGOZI VIJANA WA AFRIKA NA CHINA

 Makamu wa Rais Dk Gharib Bilal akizungumza jambo na Rais wa Zimbambwe,Mh.Robert Mugabe mara mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa KIA,mapema leo mchaa.Rais Mugabe anatarajiwa kufungua  Kongamano la Viongozi Vijana wa Afrika na China litakaloanza leo mjini Arusha. Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiteta jambo  na Rais wa Zimbabwe,Mh.Robert Mugabe mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa KIA mapema leo mchana.Rais Mugabe anatarajiwa kufungua  Kongamano la...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS WA ZIMBABWE,ROBERT MUGABE AWASILI JIJINI ARUSHA,KUFUNGUA KOGAMAO LA 3 LA VIONGOZI VIJANA WA AFRIKA NA CHINA LEO

 Makamu wa Rais Dk Gharib Bilal akizungumza jambo na Rais wa Zimbabwe,Mh.Robert Mugabe mara mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa KIA,mapema leo mchaa.Rais Mugabe anatarajiwa kufungua  Kongamano la Viongozi Vijana wa Afrika na China litakaloanza leo mjini Arusha. Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiteta jambo  na Rais wa Zimbabwe,Mh.Robert Mugabe mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa KIA mapema leo mchana.Rais Mugabe anatarajiwa kufungua  Kongamano la...

 

9 years ago

Michuzi

MWANALIBENEKE YUSKISS KISIBA ATIMIZA MIAKA KADHAA YA KUZALIWA KWAKE.

Anaitwa Yusuph Kisiba a.k.a Yuskiss Kisiba ambae ni Blogger @Lake Zone Media & Kisibasharesky Media, Graphics Desiner & Video Editor @Shafineys Film Production Jijini Mwanza.

Na:George Binagi-GB Pazzo wa Binagi Media GroupTarehe kama ya leo (Nevemba 19) miaka kadhaa iliyopita alizaliwa hivyo hii leo anafurahia siku yake ya kuzaliwa na ndugu, jamaa na Marafiki. Nasi tunamtakia maisha mema katika kuzaliwa kwake.
"Novemba 19 ni tarehe ambayo Mwenyezi Mungu aliweza kuniruhusu kutoka katika tumbo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Exclusive gossip!! Elizabeth Michael ‘Lulu’ atimiza miaka 20, akutwa na majanga makubwa tena?

11141247_829399100430296_1991739193983155009_n

Lulu akiwa kwenye pozi..

  ..Afunga ‘akaunti’ yake ya Instagram kwa siku zisizojulikana  ..Wema Sepetu ampongeza, amuonea huruma kifo cha Seki

 Na Andrw Chale wa Modewji blog

Habari maalum hadi tunakuwekea hapa,  Leo Aprili 16.2015, ni siku ya kipekee kwa muigizaji na Msanii wa filamu na ‘modo’ kwenye matangazo mbalimbali ya Bongo, Elizabeth Michael maalufu kama Lulu ambaye ametimiza miaka 20.

Hata hivyo hadi hivi sasa Lulu ambaye  pia amekuwa na wafuasi wengi kwenye mitandao yake ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani