RAIS WA ZIMBABWE,ROBERT MUGABE AWASILI JIJINI ARUSHA,KUFUNGUA KOGAMAO LA 3 LA VIONGOZI VIJANA WA AFRIKA NA CHINA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-6T7xWAddA2U/VRalgzxi1JI/AAAAAAAC2a4/wtK2JE7qjso/s72-c/1.jpg)
Makamu wa Rais Dk Gharib Bilal akizungumza jambo na Rais wa Zimbabwe,Mh.Robert Mugabe mara mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa KIA,mapema leo mchaa.Rais Mugabe anatarajiwa kufungua Kongamano la Viongozi Vijana wa Afrika na China litakaloanza leo mjini Arusha.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiteta jambo na Rais wa Zimbabwe,Mh.Robert Mugabe mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa KIA mapema leo mchana.Rais Mugabe anatarajiwa kufungua Kongamano la...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6T7xWAddA2U/VRalgzxi1JI/AAAAAAAC2a4/wtK2JE7qjso/s72-c/1.jpg)
RAIS WA ZIMBABWE ROBERT MUGABE AWASILI JIJINI ARUSHA LEO,KUFUNGUA KONGAMANO LA 3 LA VIONGOZI VIJANA WA AFRIKA NA CHINA
![](http://2.bp.blogspot.com/-6T7xWAddA2U/VRalgzxi1JI/AAAAAAAC2a4/wtK2JE7qjso/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BX4U1G7np8U/VRapZV7QOqI/AAAAAAAC2cE/Bf2TKWTHgXs/s1600/2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog28 Mar
Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe awasili Arusha tayari kwa kufungua mkutano wa vijana viongozi wa China na Afrika Ngurudoto
Rais wa Zimbabwe Mh. Robert Mugabe akishuka kwenye Ndege wakati alipowasili kwenye uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro International Airport (KIA) tayari kwa kufungua mkutano wa Vijana Viongozi wa Afrika na China (African- China Young Leaders Forum) unaofanyika kwenye hoteli ya Ngurudoto Mkoani Arusha kwa siku 4 ukijumuisha vijana kutoka mataifa mbalimbali ya Afrika na China, Mzee Robert Mugabe amepokelewa na Makamu wa Rais Mh. Dr. Gharib Bilal kulia na Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-hSHVlrIwNLM/VRbgQs3ydgI/AAAAAAAHN5o/O8AJPefRrLo/s72-c/_MG_6315.jpg)
RAIS WA ZIMBABWE ROBERTY MUGABE AFUNGUA KONGAMANO LA VIJANA AFRIKA NA CHINA,RAIS KIKWETE ATUNUKIWA TUZO YA HESHIMA .
![](http://4.bp.blogspot.com/-hSHVlrIwNLM/VRbgQs3ydgI/AAAAAAAHN5o/O8AJPefRrLo/s1600/_MG_6315.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-w_qQH8e8P1E/VRbgPh0cAvI/AAAAAAAHN5g/1Zv8BQkIGFc/s1600/_MG_6291.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-BjbF-KM_Q-4/VRbVSuxesGI/AAAAAAAC2eM/l86bvXxpXAk/s1600/_MG_6213.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RbYsQKeTGC8/U-JSpLYST_I/AAAAAAACm6Y/kpwDAWUm-S0/s72-c/w1.jpg)
RAIS KIKWETE AJIUNGA NA VIONGOZI WENGINE WA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA VIONGOZI WA AFRIKA NA MAREKANI JIJINI WASHINGTON DC LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-RbYsQKeTGC8/U-JSpLYST_I/AAAAAAACm6Y/kpwDAWUm-S0/s1600/w1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--99HsdIinyU/U-JSpsBc8zI/AAAAAAACm6c/WRZHxk6HhCQ/s1600/w2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DzOJdcH2t3Q/U-JSzBmSTzI/AAAAAAACm64/qIQOvCLbufI/s1600/w4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YPY62IRGZGM/U-JSwO_f7GI/AAAAAAACm6w/Zq2FHZgvBbQ/s1600/w5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jUW7OXuce9k/U-JS1Ohnr9I/AAAAAAACm7A/KnShrBQRpyA/s1600/w6.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-nvZOifQExRY/UvvVaGRulFI/AAAAAAAFMq0/KB0pUVmsFUk/s72-c/MMG20566.jpg)
MAKAMU WA RAIS,DKT. BILAL AWASILI JIJINI MWANZA JIONI YA LEO,KUFUNGUA KONGAMANO LA UWEKEZAJI KANDA YA ZIWA KESHO
![](http://3.bp.blogspot.com/-nvZOifQExRY/UvvVaGRulFI/AAAAAAAFMq0/KB0pUVmsFUk/s1600/MMG20566.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-B6CBjujsJqg/UvvVbdKbUeI/AAAAAAAFMrE/SnGp-dP5sNI/s1600/MMG20575.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-n7SktOMAx9E/VRk7e8eRlyI/AAAAAAAHOW0/nRmZXfONmgs/s72-c/3A.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGA KONGAMANO LA 3 LA VIJANA WA TANZANIA NA CHINA, JIJINI ARUSHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-n7SktOMAx9E/VRk7e8eRlyI/AAAAAAAHOW0/nRmZXfONmgs/s1600/3A.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-12zku_tzIr0/VRk7exWXzbI/AAAAAAAHOW4/P181GHsfJXQ/s1600/3B.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-uU1oc0cLqNk/VRk7fgnwIAI/AAAAAAAHOW8/bwGjbWafVqI/s1600/4.jpg)
9 years ago
TheCitizen22 Oct
Zimbabwe’s Robert Mugabe wins Confucius Peace Prize
9 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AWASILI MKOANI ARUSHA KUFUNGUA MKUTANO WA SEKTA YA BARABARA
10 years ago
Dewji Blog24 Mar
Vijana kutanua wigo wa kibiashara Afrika na China kupitia mkutano wa jukwaa la viongozi vijana
Balozi wa China nchini Tanzania Mheshimiwa Dr.Lu Youqing akiongea na kushoto ni Naibu waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) Mhe. Stephen Masele walipokutana kwenye ukumbi wa ubalozi huo kuzungumzia mkutano wa kimataifa wa viongozi vijana wa Afrika na China unatorajiwa kufanyika kuanzia Machi 27 na kumalizika Machi 31 katika Ukumbi wa Hoteli ya Ngurdoto, mkoani Arusha.
Balozi wa China hapa nchini Mheshimiwa Dr.Lu Youqing akijibu swali aliloulizwa na mwandishi wa habari (Hayupo...