CLOUD 112 : NJOONI MSHUHUDIE NITAKAVYOMTWANGA JB
Staa wa filamu nchini, Issa Musa 'Cloud 112' amesema atamtwanga msanii mwenzake Jacob Steven 'JB' katika raundi ya kwanza kwenye mpambano wao wa ndondi utakaopigwa kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar, Agosti 8, 2014!
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima22 Jun
Cloud 112: Mimi siigizi
STAA wa filamu za Bongo, Issa Mussa ‘Cloud 112’, amesema muonekano wake katika filamu nyingi huwa haigizi ndivyo alivyo. Kauli hiyo imekuja baada ya msanii huyo kuonekana mtata katika filamu...
11 years ago
GPLISSA MUSSA 'CLOUD 112' ATINGA GLOBAL TV ONLINE, AFANYIWA MAHOJIANO
5 years ago
BBCSwahili30 Mar
9 years ago
Mwananchi30 Sep
Mahujaji 112 warejea nchini
10 years ago
Habarileo01 Jan
112 wakamatwa kwa ugaidi
KWA mwaka 2014, serikali imefanikiwa kutambua mtandao wa viongozi na washirika wao, wanaotuhumiwa kupanga na kufanya mashambulizi ya kigaidi kwa kutumia mabomu na kumwagia watu tindikali Tanzania Bara na Zanzibar.
10 years ago
Dewji Blog17 Jul
Kampeni ya Shamiri kusomesha watoto 112
Meneja Mahusiano shirika la The Foundation For Tomorrow, Anton Asukile (katikati) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari jijini Arusha juu ya Kampeni ya SHAMIRI inayolenga kuchangisha milioni 50 kwa ajili ya kusaidia watoto wanaoishi kwenye mazingira hatarishi, kulia ni Meneja Programu wa masuala ya kijamii na afya, Hedwiga Mchaki na kushoto ni Hilda Lema, Mfanyakazi wa shirika hilo.(Habari Picha na Pamela Mollel wa jamiiblog).
Meneja Programu wa masuala ya kijamii na afya wa shirika la...
9 years ago
Vijimambo28 Aug
Mbowe: Njooni Jangwani kesho
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Mbowe-28August2015.jpg)
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amefuta mzizi wa fitina kuhusiana na tishio la kuzuiwa kufanya mkutano wa uzinduzi wa kampeni za Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kesho kwa kuwataka wajitokeze siyo kwa maelfu bali kwa mamilioni.
Akizungumza katika kongamano la kina mama lililoandaliwa na Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha) jijini Dar es Salaam jana, Mbowe alisema mgombea wao, Edward Lowassa na mgombea mwenza, Juma Dunia Haji, watahutubia mkutano...
11 years ago
Mwananchi09 Dec
Sumaye: Njooni muwekeze nyumbani
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6A05RJELsODdanfIL8jvr0Xdh9hcysXxfyyFoNKa6htsM4X4RM-LS7TjFo61a2kpe9zNgGZ0Spd1*Gwguh1ug7b3w1SQkKm3/Tambwecopy.jpg?width=650)
Tambwe: Yanga njooni tuzungumze