Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CLOUD 112 : NJOONI MSHUHUDIE NITAKAVYOMTWANGA JB

Staa wa filamu nchini, Issa Musa 'Cloud 112' amesema atamtwanga msanii mwenzake Jacob Steven 'JB' katika raundi ya kwanza kwenye mpambano wao wa ndondi utakaopigwa kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar, Agosti 8, 2014!

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Cloud 112: Mimi siigizi

STAA wa filamu za Bongo, Issa Mussa ‘Cloud 112’, amesema muonekano wake katika filamu nyingi huwa haigizi ndivyo alivyo. Kauli hiyo imekuja baada ya msanii huyo kuonekana mtata katika filamu...

 

11 years ago

GPL

ISSA MUSSA 'CLOUD 112' ATINGA GLOBAL TV ONLINE, AFANYIWA MAHOJIANO

Issa Mussa 'Cloud 112' akipozi ndani ya studio za Global TV Online. Clouds 112 akipozi na wahariri wa Magazeti ya Global Publishers, Sifael Paul (kushoto) na Joseph Shaluwa (kulia).…

 

5 years ago

BBCSwahili

Bob atimiza miaka 112

Mkongwe mwenye umri mkubwa zaidi duniani,Bob Weighton, afikisha miaka 112

 

9 years ago

Mwananchi

Mahujaji 112 warejea nchini

Wakati kundi la kwanza la mahujaji 112 wa Tanzania likiwasili nchini jana kutoka Makka nchini Saudia Arabia walikokwenda kwenye Hijja, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa imetoa majina ya mahujaji 18 ambao hawajulikani walipo.

 

10 years ago

Habarileo

112 wakamatwa kwa ugaidi

KWA mwaka 2014, serikali imefanikiwa kutambua mtandao wa viongozi na washirika wao, wanaotuhumiwa kupanga na kufanya mashambulizi ya kigaidi kwa kutumia mabomu na kumwagia watu tindikali Tanzania Bara na Zanzibar.

 

10 years ago

Dewji Blog

Kampeni ya Shamiri kusomesha watoto 112

unnamed

Meneja Mahusiano shirika la The Foundation For Tomorrow, Anton Asukile (katikati) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari jijini Arusha juu ya Kampeni ya SHAMIRI inayolenga kuchangisha milioni 50 kwa ajili ya kusaidia watoto wanaoishi kwenye mazingira hatarishi, kulia ni Meneja Programu wa masuala ya kijamii na afya, Hedwiga Mchaki na kushoto ni Hilda Lema, Mfanyakazi wa shirika hilo.(Habari Picha na Pamela Mollel wa jamiiblog).

unnamed (1)

Meneja Programu wa masuala ya kijamii na afya  wa shirika la...

 

9 years ago

Vijimambo

Mbowe: Njooni Jangwani kesho



Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amefuta mzizi wa fitina kuhusiana na tishio la kuzuiwa kufanya mkutano wa uzinduzi wa kampeni za Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kesho kwa kuwataka wajitokeze siyo kwa maelfu bali kwa mamilioni.

Akizungumza katika kongamano la kina mama lililoandaliwa na Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha) jijini Dar es Salaam jana, Mbowe alisema mgombea wao, Edward Lowassa na mgombea mwenza, Juma Dunia Haji, watahutubia mkutano...

 

11 years ago

Mwananchi

Sumaye: Njooni muwekeze nyumbani

Uingereza.Waziri mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye amesema Tanzania inazo fursa nyingi za uwekezaji, mazingira yanayovutia, uchumi imara na sera nzuri na kuwataka Watanzania

 

11 years ago

GPL

Tambwe: Yanga njooni tuzungumze

Mshambuliaji wa Simba kinara wa mabao Ligi Kuu Bara, Amissi Tambwe(kushoto). Na Hans Mloli
MSHAMBULIAJI wa Simba kinara wa mabao Ligi Kuu Bara, Amissi Tambwe, amesema yupo tayari kukaa chini na kufanya mazungumzo na klabu yoyote inayokubali kazi yake uwanjani, ikiwemo Yanga.
Tambwe, raia wa Burundi ambaye mpaka sasa anaongoza kwa kufumania nyavu mara 19 kwenye Ligi Kuu ya Tanzania Bara, anazitoa udenda timu nyingi za ligi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani