Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kampeni ya Shamiri kusomesha watoto 112

unnamed

Meneja Mahusiano shirika la The Foundation For Tomorrow, Anton Asukile (katikati) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari jijini Arusha juu ya Kampeni ya SHAMIRI inayolenga kuchangisha milioni 50 kwa ajili ya kusaidia watoto wanaoishi kwenye mazingira hatarishi, kulia ni Meneja Programu wa masuala ya kijamii na afya, Hedwiga Mchaki na kushoto ni Hilda Lema, Mfanyakazi wa shirika hilo.(Habari Picha na Pamela Mollel wa jamiiblog).

unnamed (1)

Meneja Programu wa masuala ya kijamii na afya  wa shirika la...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Watakiwa kusomesha zaidi watoto wao

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa, Abdallah Ulega, amewataka wazazi na walezi wilayani humo kutumia rasilimali zao, ili kuwasomesha watoto.

 

11 years ago

GPL

‘TUNAWEZA’ YACHANGISHA FEDHA KUSOMESHA WATOTO MASKINI WALIOFAULU

   Staa wa filamu nchini, Jacquline Wolper, akipozi.      Wolper akiwa na Zeynat Mohamed aliyeandaa sherehe hiyo.  …

 

5 years ago

Michuzi

MHE SIMAI MOHAMED SAID AHAMASISHA WAZAZI KUSOMESHA WATOTO NYUMBANI WAKATI HUU WA KORONA

Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe, Simai Mohammed Said amewaomba Wazazi na Walezi kushiriki kikamilifu katika kuwasaidia watoto kuwasomesha wakiwa nyumbani kwao hasa katika wakati huu wa mlipuko wa maradhi ya Korona.
Akizungumza wakati alipozindua picha maalum inayohamasisha Wazazi kuwasomesha watoto, huko katika jengo la Wizara hiyo Mazizini Mjini Unguja, Mhe Simai amesema pamoja na kuwa  wazazi wanatoka kwenda katika shughuli zao za kila siku, lakini bado wana jukumu la...

 

10 years ago

Habarileo

112 wakamatwa kwa ugaidi

KWA mwaka 2014, serikali imefanikiwa kutambua mtandao wa viongozi na washirika wao, wanaotuhumiwa kupanga na kufanya mashambulizi ya kigaidi kwa kutumia mabomu na kumwagia watu tindikali Tanzania Bara na Zanzibar.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Cloud 112: Mimi siigizi

STAA wa filamu za Bongo, Issa Mussa ‘Cloud 112’, amesema muonekano wake katika filamu nyingi huwa haigizi ndivyo alivyo. Kauli hiyo imekuja baada ya msanii huyo kuonekana mtata katika filamu...

 

9 years ago

Mwananchi

Mahujaji 112 warejea nchini

Wakati kundi la kwanza la mahujaji 112 wa Tanzania likiwasili nchini jana kutoka Makka nchini Saudia Arabia walikokwenda kwenye Hijja, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa imetoa majina ya mahujaji 18 ambao hawajulikani walipo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Bob atimiza miaka 112

Mkongwe mwenye umri mkubwa zaidi duniani,Bob Weighton, afikisha miaka 112

 

10 years ago

Habarileo

Watoto milioni 21 kuchanjwa kampeni ya surua, rubella

SERIKALI imesema inatarajia kuchanja watoto milioni 21 katika kampeni shirikishi ya chanjo ya surua na rubella kwa watoto wenye umri wa miezi tisa hadi 15 inayotarajiwa kuanza kesho hadi Ijumaa ijayo. Lengo la kampeni hiyo ni kupunguza vifo na madhara yatokanayo na magonjwa hayo.

 

11 years ago

GPL

CLOUD 112 : NJOONI MSHUHUDIE NITAKAVYOMTWANGA JB

Staa wa filamu nchini, Issa Musa 'Cloud 112' amesema atamtwanga msanii mwenzake Jacob Steven 'JB' katika raundi ya kwanza kwenye mpambano wao wa ndondi utakaopigwa kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar, Agosti 8, 2014!

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani