‘TUNAWEZA’ YACHANGISHA FEDHA KUSOMESHA WATOTO MASKINI WALIOFAULU
  Staa wa filamu nchini, Jacquline Wolper, akipozi.    Wolper akiwa na Zeynat Mohamed aliyeandaa sherehe hiyo.  …
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog24 Mar
Tigo yachangisha fedha kwa ajili ya makundi ya wasiojiweza kanda ya ziwa
![i82 (1)](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/i82-1.jpg)
![shangwe.](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/shangwe..jpg)
![audience (1)](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/audience-1.jpg)
![david twininge akiburudisha (1)](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/david-twininge-akiburudisha-1.jpg)
11 years ago
Mwananchi18 Jan
Watakiwa kusomesha zaidi watoto wao
10 years ago
Dewji Blog17 Jul
Kampeni ya Shamiri kusomesha watoto 112
Meneja Mahusiano shirika la The Foundation For Tomorrow, Anton Asukile (katikati) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari jijini Arusha juu ya Kampeni ya SHAMIRI inayolenga kuchangisha milioni 50 kwa ajili ya kusaidia watoto wanaoishi kwenye mazingira hatarishi, kulia ni Meneja Programu wa masuala ya kijamii na afya, Hedwiga Mchaki na kushoto ni Hilda Lema, Mfanyakazi wa shirika hilo.(Habari Picha na Pamela Mollel wa jamiiblog).
Meneja Programu wa masuala ya kijamii na afya wa shirika la...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kvgGPmiSRqM/Xp826PybKmI/AAAAAAALnwQ/Fi8uIkLezvIAvtABMgd908dD-TKUUKwjQCLcBGAsYHQ/s72-c/FB_IMG_1587468006148.jpg)
MHE SIMAI MOHAMED SAID AHAMASISHA WAZAZI KUSOMESHA WATOTO NYUMBANI WAKATI HUU WA KORONA
Akizungumza wakati alipozindua picha maalum inayohamasisha Wazazi kuwasomesha watoto, huko katika jengo la Wizara hiyo Mazizini Mjini Unguja, Mhe Simai amesema pamoja na kuwa wazazi wanatoka kwenda katika shughuli zao za kila siku, lakini bado wana jukumu la...
11 years ago
Mwananchi15 Apr
Watoto wa maskini ‘weupe’ shuleni
11 years ago
Habarileo29 Dec
25% waliofaulu Dar wakosa nafasi sekondari
WANAFUNZI 34,852 waliofaulu mtihani wa darasa la saba wa mwaka 2013 katika Mkoa wa Dar es Salaam wamechaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza katika shule mbalimbali huku wanafunzi 11,796 sawa na asilimia 25 wakikosa nafasi kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ya uchache wa vyumba vya madarasa.
11 years ago
Mwananchi18 Jun
Robo tatu ya waliofaulu wachaguliwa kidato cha V
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yfrR6KD4V_I/VYhKKm7B1bI/AAAAAAAAVNk/o6xM1bVxPCI/s72-c/ACACIA_KILIMANJARO.jpg)
ACACIA KUKUSANYA DOLA 200,000 KWA AJILI YA UFADHILI WA ELIMU KWA WATOTO MASKINI, NI KUPITIA KUPANDA MLIMA KILIMANJARO
![](http://2.bp.blogspot.com/-yfrR6KD4V_I/VYhKKm7B1bI/AAAAAAAAVNk/o6xM1bVxPCI/s640/ACACIA_KILIMANJARO.jpg)
Akizungumza muda mfupi kabla ya kuanza kwa safari ya kupanda mlima Kilimanjaro kwenye lango la Machame,iliyo shirikisha watu 21, Afisa Mtendaji Mkuu wa kampuni...
10 years ago
Michuzi14 Aug
Mahabusu ya watoto Tanga kupatiwa fedha
Serikali imetenga fedha zitagawiwa kwenye vituo vyote vinavyotoa ushauri nasaha na kurekebisha watoto walio chini ya umri wa miaka 18 vilivyo chini ya Idara ya Ustawi wa jamii nchini.
Kauli hiyo imetolewa na Msemaji wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Nsachris Mwamwaja kufuatia habari iliyochapishwa na gazeti la Majira toleo Na. 7524 Vol.II/5624 la Jumatano Agosti 13, mwaka huu yenye kichwa cha habari “Mahabusu ya watoto yadaiwa mil. 1/=”.
“Ni kweli tatizo hilo lipo...