Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


25% waliofaulu Dar wakosa nafasi sekondari

WANAFUNZI 34,852 waliofaulu mtihani wa darasa la saba wa mwaka 2013 katika Mkoa wa Dar es Salaam wamechaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza katika shule mbalimbali huku wanafunzi 11,796 sawa na asilimia 25 wakikosa nafasi kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ya uchache wa vyumba vya madarasa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wanafunzi 18,751 wakosa nafasi kidato cha tano

Wanafunzi 18,751 waliofaulu mtihani wa kidato cha nne mwaka 2014, wamekosa nafasi ya kujiunga na shule za kidato cha tano kwa sababu mbalimbali ikiwamo ufinyu wa nafasi.

 

10 years ago

Vijimambo

TANGAZO NAFASI ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA SHULE YA SEKONDARI YA WAMA - NAKAYAMA

t29
TANGAZO- NAFASI ZA KIDATO CHA KWANZA SHULE YA WAMA NAKAYAMA NOVEMBER 05 2014.doc by moblog

 

10 years ago

Dewji Blog

TANGAZO: Nafasi za kujiunga na kidato cha kwanza shule ya sekondari ya WAMA — Nakayama

t29

TANGAZO- NAFASI ZA KIDATO CHA KWANZA SHULE YA WAMA NAKAYAMA NOVEMBER 05 2014.doc by moblog

 

10 years ago

GPL

TANGAZO NAFASI ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA SHULE YA SEKONDARI YA WAMA - NAKAYAMA‏

TANGAZO  NAFASI ZA KIDATO CHA KWANZA KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA WAMA- NAKAYAMA KWA MWAKA 2015 Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) inatangaza nafasi za kidato cha kwanza kwa wasichana katika Shule ya Sekondari ya WAMA- Nakayama iliyopo Nyamisati Wilaya ya Rufiji, Mkoa wa Pwani. WAMA ni Taasisi isiyo ya kiserikali iliyoanzishwa na Mhe. Mama Salma Kikwete ili kusaidia maendeleo ya wanawake na watoto. WAMA inamiliki na...

 

10 years ago

Michuzi

DAR YAFUNIKWA NA MAJI KUTOKANA NA MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA, WANANCHI WAKOSA MAKAZI


 Na Chalila Kibuda ,Globu ya Jamii.


MAFURIKO,Mafuriko,Mafuriko .! Jiji la Dar limejaa maji kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha na kusababisha wengine kukosa makazi.


Maeneo yaliyokumbwa kwa mafuriko ni Mnyamani (Ilala),Bonde la Mpunga (Kinondoni) ,Kigogo (Kinondoni),Mikocheni ( Kinondoni),Vingunguti (Ilala) Tabata Kisiwani (Ilala)na Kurasini (Temeke) na maeneo mengine ambayo hayajawahi kupata mafuriko yamefika.


Mvua hizo zimeharibu miundombinu katika barabara ya Morogoro kwa kujaa...

 

9 years ago

Dewji Blog

11 years ago

Mwananchi

Robo tatu ya waliofaulu wachaguliwa kidato cha V

Robo tatu ya wanafunzi waliofaulu kidato cha nne kwa kupata daraja la kwanza hadi la tatu (Division I – III), wamechaguliwa kujiunga na kidato cha tano.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani