25% waliofaulu Dar wakosa nafasi sekondari
WANAFUNZI 34,852 waliofaulu mtihani wa darasa la saba wa mwaka 2013 katika Mkoa wa Dar es Salaam wamechaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza katika shule mbalimbali huku wanafunzi 11,796 sawa na asilimia 25 wakikosa nafasi kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ya uchache wa vyumba vya madarasa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi01 Jul
Wanafunzi 18,751 wakosa nafasi kidato cha tano
Wanafunzi 18,751 waliofaulu mtihani wa kidato cha nne mwaka 2014, wamekosa nafasi ya kujiunga na shule za kidato cha tano kwa sababu mbalimbali ikiwamo ufinyu wa nafasi.
10 years ago
Vijimambo12 Nov
TANGAZO NAFASI ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA SHULE YA SEKONDARI YA WAMA - NAKAYAMA
![t29](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/t29.jpg)
TANGAZO- NAFASI ZA KIDATO CHA KWANZA SHULE YA WAMA NAKAYAMA NOVEMBER 05 2014.doc by moblog
10 years ago
Dewji Blog11 Nov
TANGAZO: Nafasi za kujiunga na kidato cha kwanza shule ya sekondari ya WAMA — Nakayama
TANGAZO- NAFASI ZA KIDATO CHA KWANZA SHULE YA WAMA NAKAYAMA NOVEMBER 05 2014.doc by moblog
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bZFzlr4os4k/VPR4DrIrjDI/AAAAAAAHHJA/4NS9D_t0osA/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-03-02%2Bat%2B5.41.37%2BPM.png)
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/t29.jpg?width=640)
TANGAZO NAFASI ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA SHULE YA SEKONDARI YA WAMA - NAKAYAMA
TANGAZO Â NAFASI ZA KIDATO CHA KWANZA KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA WAMA- NAKAYAMA KWA MWAKA 2015 Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) inatangaza nafasi za kidato cha kwanza kwa wasichana katika Shule ya Sekondari ya WAMA- Nakayama iliyopo Nyamisati Wilaya ya Rufiji, Mkoa wa Pwani. WAMA ni Taasisi isiyo ya kiserikali iliyoanzishwa na Mhe. Mama Salma Kikwete ili kusaidia maendeleo ya wanawake na watoto. WAMA inamiliki na...
10 years ago
Michuzi12 Nov
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HVBebG1pzFE/VUth3OffLlI/AAAAAAAHV_A/_l8cspxbrBk/s72-c/IMG_8042.jpg)
DAR YAFUNIKWA NA MAJI KUTOKANA NA MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA, WANANCHI WAKOSA MAKAZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-HVBebG1pzFE/VUth3OffLlI/AAAAAAAHV_A/_l8cspxbrBk/s640/IMG_8042.jpg)
MAFURIKO,Mafuriko,Mafuriko .! Jiji la Dar limejaa maji kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha na kusababisha wengine kukosa makazi.
Maeneo yaliyokumbwa kwa mafuriko ni Mnyamani (Ilala),Bonde la Mpunga (Kinondoni) ,Kigogo (Kinondoni),Mikocheni ( Kinondoni),Vingunguti (Ilala) Tabata Kisiwani (Ilala)na Kurasini (Temeke) na maeneo mengine ambayo hayajawahi kupata mafuriko yamefika.
Mvua hizo zimeharibu miundombinu katika barabara ya Morogoro kwa kujaa...
9 years ago
Dewji Blog30 Oct
TANGAZO- Nafasi za kujiunga na kidato cha Kwanza- Shule za Sekondari WAMA NAKAYAMA na WAMA SHARAF
TANGAZO NAFASI ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2016.doc
11 years ago
Mwananchi18 Jun
Robo tatu ya waliofaulu wachaguliwa kidato cha V
Robo tatu ya wanafunzi waliofaulu kidato cha nne kwa kupata daraja la kwanza hadi la tatu (Division I – III), wamechaguliwa kujiunga na kidato cha tano.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania