Wanafunzi 18,751 wakosa nafasi kidato cha tano
Wanafunzi 18,751 waliofaulu mtihani wa kidato cha nne mwaka 2014, wamekosa nafasi ya kujiunga na shule za kidato cha tano kwa sababu mbalimbali ikiwamo ufinyu wa nafasi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi26 Jun
10 years ago
PMORALG01 Jul
11 years ago
Michuzi18 Jun
Uchaguzi wa wanafunzi wa kuingia Kidato cha Tano
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bZFzlr4os4k/VPR4DrIrjDI/AAAAAAAHHJA/4NS9D_t0osA/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-03-02%2Bat%2B5.41.37%2BPM.png)
11 years ago
PMORALG21 Jun
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZR9F1HA_eJg/XuouaT4OsHI/AAAAAAALuQo/Ja_0t6rYdegvAkYecva3zeMKaiHXt3elwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B5.50.26%2BPM.jpeg)
WAZIRI JAFO AWATAKA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA TANO KURIPOTI KWA WAKATI
Waziri Jafo ameyasema hayo wakati akitoa taarifa kuhusu uchaguzi wa wanafunzi wa kujiunga na kidato cha tano, vyuo vya ualimu na vyuo vya ufundi mwaka 2020 mapema leo katika Ofisi za TAMISEMI, Jijini Dodoma.
Amesema wanafunzi ambao hawataripoti wiki...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Bvt5RuTSCtA/XteoeoMG5tI/AAAAAAALsgo/Kc9AmjZD1os5AeYP2aivaoEJl9BQCgevgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-03%2Bat%2B4.10.13%2BPM.jpeg)
ASILIMIA 90 YA WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA WAREJEA SHULENI, HAKUNA MAAMBUKIZI YA CORONA KWA WANAFUNZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Bvt5RuTSCtA/XteoeoMG5tI/AAAAAAALsgo/Kc9AmjZD1os5AeYP2aivaoEJl9BQCgevgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-03%2Bat%2B4.10.13%2BPM.jpeg)
NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Gerald Mweli amesema asilimia 90 ya wanafunzi wa kidato cha sita wameripoti shuleni katika halmashauri zote nchini.
Mweli amesema mpaka sasa hakuna taarifa yoyote ya kuwapo kwa maambuziki ya ugonjwa wa Corona kwa wanafunzi wa kidato cha sita walioripoti shuleni.
Akitoa tathimini ya uripotiji wa...
10 years ago
Habarileo01 Jul
Asilimia 75 wajiunga kidato cha tano
JUMLA ya wanafunzi 55,003 wakiwemo wasichana 23,303 na wavulana 31,700 sawa na asilimia 74.58 ya waafunzi 73,754 waliostahili kuingia kidato cha Tano Tanzania Bara kwa mwaka 2015 wamechaguliwa kujiunga na kidato cha tano na vyuo vya ufundi kwenye shule za bweni na kutwa.
11 years ago
Habarileo15 Apr
Daraja la 1-3 kwenda kidato cha tano
SERIKALI imesema sifa za mwanafunzi atakayeendelea na masomo ya kidato cha tano kwa mwaka huu ni waliopata daraja la kwanza hadi la tatu pointi 31.