Tigo yachangisha fedha kwa ajili ya makundi ya wasiojiweza kanda ya ziwa
![i82 (1)](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/i82-1.jpg)
![shangwe.](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/shangwe..jpg)
![audience (1)](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/audience-1.jpg)
![david twininge akiburudisha (1)](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/david-twininge-akiburudisha-1.jpg)
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog13 May
Tigo yazindua usajiri wa kuzaliwa kupitia simu za mkononi kwa kanda ya Ziwa
Naibu Waziri wa Sheria na Katiba Ummy Mwalimu(kushoto)akionyesha moja kati ya simu 350 zilizotolewa na Kampuni ya Tigo kwa ajili ya mkakati wa usajili wa watoto waliozaliwa wenye umri chini ya miaka mitano kwa njia ya simu kwa kutumia mtandao wa Tigo,wakati wa uzinduzi uliofanyika Mkoani Mwanza jana, kutoka kulia ni Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Ziwa Ali Maswanya,Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Baraka Konisaga, Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa usajili,ufilisi na udhamini(RITA) Emmy...
10 years ago
Dewji Blog14 Oct
Wafanyakazi wa TIGO washiriki matembezi ya kuchangia fedha kwa ajili ya Saratani ya matiti jijini Dar
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid akisalimiana na Meneja wa huduma za Jamii wa kampuni ya simu ya Tigo, Woinde Shisael (kulia) kabla ya kuanza kwa matembezi ya kuchangia fedha kwa ajili ya Saratani ya matiti jijini Dar es Salam jana yaliyodhaminiwa na kampuni hiyo. Wanaoshuhudia ni Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya saratani ya Ocean Road, Diwani Msemwa (kushoto kwake) na Mkurugenzi wa Wellworth Tanzania, Saul Basckin.
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid...
10 years ago
Dewji Blog22 May
Tigo yatenga Shilingi bilioni 12.6 kuunganisha kanda ya Ziwa
Meneja mkuu wa kampuni ya Tigo, Diego Gutierez akifafanua jambo alipozungumza na wahariri wa kanda ya Ziwa jana kuhusiana na jinsi ambavyo Tigo imejipanga kuwekeza zaidi ya Sh2.6 bilioni katika kanda ya ziwa kwa mawaka huu.
Kampuni ya simu nza mkononi ya imetenga jumla ya shilingi bilioni 2.6 kwa ajili ya kuwekeza katika ujenzi wa minara mipya na kuboresha utoaji hudumakwa mikoa ya kanda ya ziwa kwa mwaka 2015.
Akiongea na waandishi wa Habari wa mkoa wa Mwanza leo, Meneja mkuu wa kampuni...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SsbGMnFFOcQ/VXFpwvFt0sI/AAAAAAAC5oQ/zZJNeKXwfkg/s72-c/2.jpg)
KINANA AANZA ZIARA MKOANI KAGERA LEO, AKUTANA NA MAKUNDI YA WAFUGAJI KANDA YA ZIWA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-SsbGMnFFOcQ/VXFpwvFt0sI/AAAAAAAC5oQ/zZJNeKXwfkg/s1600/2.jpg)
Kinana yupo Mkoani humu kwa ziara ya kikazi ya siku kumi ya Kukagua utelekezwaji wa Ilani ya Chama cha CCM ya mwaka 2010 pamoja na kuimarisha chama na kusikiliza matatizo ya wananchi.
![](http://1.bp.blogspot.com/-s1NYXnUEfws/VXFrxlK5B-I/AAAAAAAC5ow/iwW81Su2yy0/s1600/6.jpg)
5 years ago
MichuziRC MAKONDA ATOA SHEHENA YA FUTARI KWA MAKUNDI YA WATU WASIOJIWEZA.
Katika Shehena hiyo aliyotoa RC Makonda kila Mwananchi amepata vifurushi vyenye Mchele Kilo 5, Unga kilo 5, Sukari, kiroba cha Maharage na Mafuta ya kupikia.
Msaada huo wa...
11 years ago
GPL‘TUNAWEZA’ YACHANGISHA FEDHA KUSOMESHA WATOTO MASKINI WALIOFAULU
10 years ago
Dewji Blog06 Feb
JOVAGO yashirikiana na Tigo Pesa kwa ajili ya malipo
Jovago imetangaza leo kwamba imeingia katika ushirikiano na Tigo Tanzania, kampuni ya simu inayoongoza nchini. Katika ushirikiano huu, wateja wa Tigo Pesa sasa wataweza kulipia malazi yao kupitia akaunti zao za Tigo Pesa. Hii inakuja wakati muafaka ambapo muingiliano wa malipo ya pesa kupitia simu za mkononi katika tovuti za intanet umeonekana kama kiungo muhimu katika ukuaji wa sekta ya utalii katika mitandao.
Huu ni ushirikiano wa pili kwa utoaji huduma ya malipo ya mtandao wa simu...
11 years ago
GPLGLOBAL YATOA MEZA KWA WAUZA MAGAZETI KANDA YA ZIWA