RC MAKONDA ATOA SHEHENA YA FUTARI KWA MAKUNDI YA WATU WASIOJIWEZA.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda ametoa shehena ya Futari ikiwemo Sukari, Mchele, Unga, Maharage na Mafuta kwa zaidi ya Watu 350 kutoka Makundi mbalimbali ikiwemo Yatima, Walemavu wa Viungo, Wasioona, Watu wenye ulemavu wa Ngozi Albino na Watu wasiojiweza kama sehemu ya sadaka ya Mwezi mtukufu wa Ramadhan.
Katika Shehena hiyo aliyotoa RC Makonda kila Mwananchi amepata vifurushi vyenye Mchele Kilo 5, Unga kilo 5, Sukari, kiroba cha Maharage na Mafuta ya kupikia.
Msaada huo wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWaziri Membe atoa wito kwa Watanzania kuwasaidia watu wasiojiweza kwenye jamii
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-aEbXn77xLKs/Vfq8vbr6JuI/AAAAAAABH88/nbrJ8x6Di7E/s72-c/855.jpg)
BALOZI SEIF ATOA ONYO KUIBUKA KWA MAKUNDI YA KUSHAMBULIA WATU
![](http://4.bp.blogspot.com/-aEbXn77xLKs/Vfq8vbr6JuI/AAAAAAABH88/nbrJ8x6Di7E/s640/855.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-VPduHeZCRFU/Vfq8vmbN4oI/AAAAAAABH9E/QIAGYO34sfc/s640/857.jpg)
10 years ago
Dewji Blog24 Mar
Tigo yachangisha fedha kwa ajili ya makundi ya wasiojiweza kanda ya ziwa
![i82 (1)](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/i82-1.jpg)
![shangwe.](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/shangwe..jpg)
![audience (1)](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/audience-1.jpg)
![david twininge akiburudisha (1)](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/david-twininge-akiburudisha-1.jpg)
10 years ago
GPLWOLPER ATOA MSAADA KWA WAZEE WASIOJIWEZA JIJINI DAR
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/z7xKGPrSF9AC*W0n4AYc4SUn2ZHJ3ISiJYQ9TV8fvuRhTXwkLhE12lQado7T0PxxerwhfcKL*j1*3UQl0RKcljLVZu-kc7wV/makonda.jpg?width=650)
MAKONDA; MAKUNDI KATIKA VYAMA NI HATARI KWA TAIFA
5 years ago
MichuziRC SINGIDA ATOA FUTARI YA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN KWA WAISLAMU
Katibu wa Mkuu wa Mkoa wa Singida, Mbwana Mtingule (kulia) akimkabidhi viazi vitamu Katibu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) Mkoa wa Singida, Alhaj Burhan Mlau vilivyotolewa na Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dkt. Rehema Nchimbi kwa ajili ya futari ya mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa Waislamu wa mkoa huo leo.
Viazi vya futari vikishushwa kwenye gari.
Viazi vya futari vikiingizwa ndani ya stoo ya ofisi ya Bakwata Mkoa wa Singida.
Viazi vya futari vikiingizwa ndani ya stoo ya ofisi...
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE ATOA MKONO WA EID EL FITR KWA WATOTO YATIMA ,MAHABUSU YA WATOTO PAMOJA NA WAZEE WASIOJIWEZA
9 years ago
Mwananchi04 Oct
Makonda atoa saa 24 kwa mwekezaji kutoa mikataba ya ajira
9 years ago
Mwananchi04 Oct
Makonda atoa saa 48 kwa mwekezaji kutoa mikataba ya ajira