BALOZI SEIF ATOA ONYO KUIBUKA KWA MAKUNDI YA KUSHAMBULIA WATU
![](http://4.bp.blogspot.com/-aEbXn77xLKs/Vfq8vbr6JuI/AAAAAAABH88/nbrJ8x6Di7E/s72-c/855.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akikaribishwa na Daktari Mkuu wa Hospitali ya Jeshi Bububu Luteni Kanali Haroub Yussuf Mwalimu kwenda kumkagua Mwanachama wa CCM Marjan Suleiman Pandu aliyelazwa katika Hospitali hiyo. Marjan alishambuliwa na Vijana juzi usiku wakati akibandika picha za Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi Dr. Ali mohammed Shein katika maeneo ya Mlandege.
Balozi Seif Ali Iddi akimfariji Kijana wa Chama cha Mapinduzi Marjani Suleiman...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziRC MAKONDA ATOA SHEHENA YA FUTARI KWA MAKUNDI YA WATU WASIOJIWEZA.
Katika Shehena hiyo aliyotoa RC Makonda kila Mwananchi amepata vifurushi vyenye Mchele Kilo 5, Unga kilo 5, Sukari, kiroba cha Maharage na Mafuta ya kupikia.
Msaada huo wa...
11 years ago
Dewji Blog02 Jun
Makundi, Majungu, Fitina ni sumu kwa Uongozi wa CCM Zanzibar — Asema Balozi Ali Seif Idd
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Viongozi wa CCM wa Jimbo la Mgogoni katika Tawi la CCM Magogoni akiiongoza Timu ya Wajumbe wa Barza la Wawakilishi kupitia CCM ya kuimarisha nguvu za CCM katika Mikoa mbali mbali ya Zanzibar.
Baadhi ya Viongozi wa Chama cha Mapinduzi Jimbo la Magogoni wakifuatilia hotuba ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Balozi Seif hayupo pichani aliyoitoa wakati wa ziara yake na Wawakilishi wa CCM ndani ya Jimbo hilo.(Picha na...
11 years ago
BBCSwahili13 Mar
Obama atoa onyo kali kwa Urussi
9 years ago
BBCSwahili03 Nov
Nkurunziza atoa onyo kwa wapinzani Burundi
9 years ago
Mtanzania05 Jan
Mwakifwamba atoa onyo kali kwa wasanii
NA GEORGE KAYALA
RAIS wa Shirikisho la Filamu nchini (TAFF), Simon Mwakifwamba, amewaonya wasanii wa filamu na wale wanaounga mkono Shirikisho hilo kutogombana na amewataka waungane kwa ajili ya kufanya kazi.
Akizungumza na MTANZANIA, Mwakifwamba alisema kuwa kwa muda mrefu kumekuwa na hali ya vuta nikuvute baina ya makundi hayo ya wasanii ugomvi uliochangia kuirudisha nyuma tasnia hiyo
“Tunashukuru ugomvi umeisha, sioni sababu ya wasanii kurudia hiyo tabia ya kutupiana vijembe kwani...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TwbgnXl4eNVZlvYLyCKBewLk7wKyCXWASqAvX2NmchP0PmkdJDbGGt6*c*8ITC6zlzgSOKhmv1lpDkwUCxBGLb7Nnc1ZLl2s/141022063029_isisisilmosul__512x288_ap.jpg?width=650)
KIJANA ALIYEJIUNGA NA IS ATOA ONYO KWA MAREKANI
5 years ago
MichuziWAZIRI ZUNGU ATOA ONYO KALI KWA WANAOKIKA SHERIA NA KUTOA MAELEKEZO KWA NEMC
9 years ago
Mwananchi20 Dec
Abramovich atoa onyo kali kwa nyota Chelsea
9 years ago
BBCSwahili06 Nov
Obama atoa onyo kali kwa Afrika Kusini