Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafanyakazi wa TIGO washiriki matembezi ya kuchangia fedha kwa ajili ya Saratani ya matiti jijini Dar

3

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid akisalimiana na Meneja wa huduma za Jamii wa kampuni ya simu ya Tigo, Woinde Shisael (kulia) kabla ya kuanza kwa matembezi ya kuchangia fedha kwa ajili ya Saratani ya matiti jijini Dar es Salam jana yaliyodhaminiwa na kampuni hiyo. Wanaoshuhudia ni Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya saratani ya Ocean Road, Diwani Msemwa (kushoto kwake) na Mkurugenzi wa Wellworth Tanzania, Saul Basckin.

1

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Tigo yashiriki matembezi ya kuchangia saratani ya matiti

DANDERSON

Afisa huduma kwa jamii wa Kampuni ya Tigo, May Thomas (kulia) akishiriki matembezi ya kuchangia fedha kwa ajili ya Saratani ya matiti kwa akinamama yaliyodhaminiwa na kampuni hiyo Dar es Salam jana.

DANDERSON

DANDERSON

Washiriki wa matembezi ya hisani ya kuchangia fedha kwa ajili ya Saratani ya matiti kwa akinamama yaliyodhaminiwa na kampuni ya Tigo jijini Dar es Salam jana.

DANDERSON

 

 

 

9 years ago

Dewji Blog

Wafanyakazi wa TBL Group washiriki matembezi ya kuchangia ununuzi wa madawati

tbl pix 5

Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi akiongoza matembezi hayo yaliyoandaliwa kwa ajili ya kununua madawati.

tbl pix 3

Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya TBL Group  wakisikiliza hotuba ya mgeni rasmi Rais mstaafu wa Tanzania Mh.Ali Hassan Mwinyi , baada ya kumalizika kwa matembezi ya hisani yalioandaliwa na taasisi ya Hassan Maajar Trust kwa ajili ya kuchangisha fedha za kununulia madawati kwa wanafunzi wa shule za msingi Maji Matitu iliyopo Mbagala wilayani Temeke,Matembezi hayo yalifanyika jijini Dar es...

 

10 years ago

Michuzi

DAKTARI BINGWA WA MAGONJWA YA SARATANI YA MATITI KUTOKA INDIA ATOA SEMINA YA UGONJWA HUO JIJINI DAR

Na Dotto Mwaibale
ULAJI wa nyama nyekundu imeelezwa uchangia kwa kiasi kikubwa kupatwa na ugonjwa wa saratani ya matiti ambao umekuwa ni tishio duniani.
Hayo yalibainishwa na Daktari  bingwa wa ugonjwa wa saratani ya matiti Profesa Anthony Pais kutoka Bangarole India katika semina ya siku moja kwa madaktari wa Tanzania na wadau wa sekta ya afya iliyofanyika Dar es Salaam juzi.
“Ulaji wa nyama nyekundu na vyakula vyenye mafuta unachangia kwa kiasi kikubwa kupata ugonjwa huo ambao umekuwa tishio...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tigo yachangisha fedha kwa ajili ya makundi ya wasiojiweza kanda ya ziwa

i82 (3)

Kikundi cha muziki cha i82 kutoka Shule ya Kimataifa ya Isamilo jijini Mwanza,wakiimba juzi usiku wakati wa hafla ya kuchangisha pesa kwa ajili ya watoto wenye kansa Mkoani Mwanza mpango huo ulifadhiliwa na Kampuni ya simu za Mkononi Tigo. i82 (1) shangwe. Mashabiki wa kikundi cha muziki cha i82 cha Shule ya Kimataifa Isamilo ya jijini Mwanza, wakifurahia nyimbo mbalimbali juzi usiku,wakati wa hafla ya kuchangisha pesa kwa ajili ya watoto wenye kansa. audience (1) david twininge akiburudisha (1) Mwanafunzi wa Kidato cha Tano katika Shule ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Dkt. Bilal ashiriki hafla ya chakula cha jioni cha hisani kuchangia mfuko wa kampeni wa jitolee kwa ajili ya kinamama wa Afrika, Jijini Dar

01

Makamua wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati wa hafla ya Chakula cha Hisani kwa ajili ya kuchangia Mfuko wa Kampeni ya Jitolee kwa ajili ya Akinamama wa Afrika, iliyofanyika kwenye Hoteli ya Serena jana usiku Oktoba 9, 2014 jijini Dar es Salaam. (Picha na OMR).

03

1

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi Cheti, Mkurugenzi Mtendaji wa Push Mobile, Freddie Manento, wakati wa hafla ya Chakula...

 

10 years ago

Vijimambo

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI HAFLA YA CHAKULA CHA JIONI CHA HISANI KUCHANGIA MFUKO WA KAMPENI WA JITOLEE KWA AJILI YA KINAMAMA WA AFRIKA, JIJINI DAR

 Makamua wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati wa hafla ya Chakula cha Hisani kwa ajili ya kuchangia Mfuko wa Kampeni ya Jitolee kwa ajili ya Akinamama wa Afrika, iliyofanyika kwenye Hoteli ya Serena jana usiku Oktoba 9, 2014 jijini Dar es Salaam. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi Cheti, Mkurugenzi Mtendaji wa Push Mobile, Freddie Manento, wakati wa hafla ya Chakula cha Hisani kwa...

 

11 years ago

Michuzi

Wafanyakazi Airtel wachangisha fedha kwa ajili ya wanawake wanaougua kansa

Wafanyakazi wanawake wa Airtel wakitoa huduma ya chakula kwa wafanyakazi wenzao wakati wa tafrija fupi waliyoiandaa kwa dhumuni la kukusanya fedha ili kuwachangia wagonjwa wa kansa waliopo hospitali ya ocean road jijini Dar es salaam. jana Mkurugenzi mtendaji wa Airtel Tanzania, Bw. Sunil Colaso akichangia fedha kwa huduma ya Airtel Money kupitia simu wakati wa tafrija fupi iliyoandaliwa na umoja wa wanawake wa Airtel Tanzania kwa dhumuni la kuwachangia wanawake wanaosumbuliwa na maradhi...

 

10 years ago

Vijimambo

WAFANYAKAZI 21 WA KAMPUNI YA KUCHIMBA DHAHABU YA ACACIA WAPANDA MLIMA KILIMANJARO KUCHANGISHA FEDHA KWA AJILI YA KUSAIDIA SEKTA YA ELIMU.

Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya kuchimba Dhahabu ya Acacia,wanafamilia pamoja na marafiki wa kampuni hiyo wakishuka kutoka katika gari tayari kuanza safari ya kupanda Mlima Kilimanjaro .Afisa Mtendaji mkuu wa Kampuni ya Acacia,Brad Gordon akitelemka kuanza changamoto ya kupanda mlima Kilimanjaro kama njia ya kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia sekta ya elimu nchini.
Meneja wa kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Umma wa Kampuni ya Acacia,Necta .P.Foya akifunga vizuri mizigo yake...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani