Wafanyakazi wa TIGO washiriki matembezi ya kuchangia fedha kwa ajili ya Saratani ya matiti jijini Dar
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid akisalimiana na Meneja wa huduma za Jamii wa kampuni ya simu ya Tigo, Woinde Shisael (kulia) kabla ya kuanza kwa matembezi ya kuchangia fedha kwa ajili ya Saratani ya matiti jijini Dar es Salam jana yaliyodhaminiwa na kampuni hiyo. Wanaoshuhudia ni Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya saratani ya Ocean Road, Diwani Msemwa (kushoto kwake) na Mkurugenzi wa Wellworth Tanzania, Saul Basckin.
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog11 Oct
Tigo yashiriki matembezi ya kuchangia saratani ya matiti
Afisa huduma kwa jamii wa Kampuni ya Tigo, May Thomas (kulia) akishiriki matembezi ya kuchangia fedha kwa ajili ya Saratani ya matiti kwa akinamama yaliyodhaminiwa na kampuni hiyo Dar es Salam jana.
Washiriki wa matembezi ya hisani ya kuchangia fedha kwa ajili ya Saratani ya matiti kwa akinamama yaliyodhaminiwa na kampuni ya Tigo jijini Dar es Salam jana.
9 years ago
Dewji Blog01 Dec
Wafanyakazi wa TBL Group washiriki matembezi ya kuchangia ununuzi wa madawati
Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi akiongoza matembezi hayo yaliyoandaliwa kwa ajili ya kununua madawati.
Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya TBL Group wakisikiliza hotuba ya mgeni rasmi Rais mstaafu wa Tanzania Mh.Ali Hassan Mwinyi , baada ya kumalizika kwa matembezi ya hisani yalioandaliwa na taasisi ya Hassan Maajar Trust kwa ajili ya kuchangisha fedha za kununulia madawati kwa wanafunzi wa shule za msingi Maji Matitu iliyopo Mbagala wilayani Temeke,Matembezi hayo yalifanyika jijini Dar es...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/isNMz4V9paQ/default.jpg)
10 years ago
MichuziDAKTARI BINGWA WA MAGONJWA YA SARATANI YA MATITI KUTOKA INDIA ATOA SEMINA YA UGONJWA HUO JIJINI DAR
ULAJI wa nyama nyekundu imeelezwa uchangia kwa kiasi kikubwa kupatwa na ugonjwa wa saratani ya matiti ambao umekuwa ni tishio duniani.
Hayo yalibainishwa na Daktari bingwa wa ugonjwa wa saratani ya matiti Profesa Anthony Pais kutoka Bangarole India katika semina ya siku moja kwa madaktari wa Tanzania na wadau wa sekta ya afya iliyofanyika Dar es Salaam juzi.
“Ulaji wa nyama nyekundu na vyakula vyenye mafuta unachangia kwa kiasi kikubwa kupata ugonjwa huo ambao umekuwa tishio...
10 years ago
Dewji Blog24 Mar
Tigo yachangisha fedha kwa ajili ya makundi ya wasiojiweza kanda ya ziwa
![i82 (1)](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/i82-1.jpg)
![shangwe.](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/shangwe..jpg)
![audience (1)](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/audience-1.jpg)
![david twininge akiburudisha (1)](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/david-twininge-akiburudisha-1.jpg)
10 years ago
Dewji Blog10 Oct
Dkt. Bilal ashiriki hafla ya chakula cha jioni cha hisani kuchangia mfuko wa kampeni wa jitolee kwa ajili ya kinamama wa Afrika, Jijini Dar
Makamua wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati wa hafla ya Chakula cha Hisani kwa ajili ya kuchangia Mfuko wa Kampeni ya Jitolee kwa ajili ya Akinamama wa Afrika, iliyofanyika kwenye Hoteli ya Serena jana usiku Oktoba 9, 2014 jijini Dar es Salaam. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi Cheti, Mkurugenzi Mtendaji wa Push Mobile, Freddie Manento, wakati wa hafla ya Chakula...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-lU-1SyXaH_c/VDe1Y0KFftI/AAAAAAADJPk/tvBZvbqdfL0/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI HAFLA YA CHAKULA CHA JIONI CHA HISANI KUCHANGIA MFUKO WA KAMPENI WA JITOLEE KWA AJILI YA KINAMAMA WA AFRIKA, JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-lU-1SyXaH_c/VDe1Y0KFftI/AAAAAAADJPk/tvBZvbqdfL0/s1600/01.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CcL3X1rcI-A/VDe1n9ur4AI/AAAAAAADJQM/dCTsGfv2gt8/s1600/1.jpg)
11 years ago
MichuziWafanyakazi Airtel wachangisha fedha kwa ajili ya wanawake wanaougua kansa
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-tU8BVDQQruc/VYjlPWYVrtI/AAAAAAAARaI/VyUTibHHkAE/s72-c/IMG_2177%2B%25281280x853%2529.jpg)
WAFANYAKAZI 21 WA KAMPUNI YA KUCHIMBA DHAHABU YA ACACIA WAPANDA MLIMA KILIMANJARO KUCHANGISHA FEDHA KWA AJILI YA KUSAIDIA SEKTA YA ELIMU.
![](http://4.bp.blogspot.com/-tU8BVDQQruc/VYjlPWYVrtI/AAAAAAAARaI/VyUTibHHkAE/s640/IMG_2177%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2lCKfAIwYj0/VYjlSvLgF0I/AAAAAAAARaQ/nogF8I7UKlc/s640/IMG_2182%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-yb7xg6iZgrw/VYjlVL7-cwI/AAAAAAAARag/tj6IN7g_v34/s640/IMG_2184%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-CdOZt5LH4iY/VYjlYU5sZnI/AAAAAAAARas/Lm4coaebRFw/s640/IMG_2187%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BHR0Y4N4KV8/VYjlH4afiEI/AAAAAAAARZo/w8FySszIGPw/s640/IMG_2131%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6fEyV_-4Bz0/VYjlHDbiY0I/AAAAAAAARZg/bdHy2ZuldBY/s640/IMG_2132%2B%25281280x853%2529.jpg)