MHE SIMAI MOHAMED SAID AHAMASISHA WAZAZI KUSOMESHA WATOTO NYUMBANI WAKATI HUU WA KORONA
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe, Simai Mohammed Said amewaomba Wazazi na Walezi kushiriki kikamilifu katika kuwasaidia watoto kuwasomesha wakiwa nyumbani kwao hasa katika wakati huu wa mlipuko wa maradhi ya Korona.
Akizungumza wakati alipozindua picha maalum inayohamasisha Wazazi kuwasomesha watoto, huko katika jengo la Wizara hiyo Mazizini Mjini Unguja, Mhe Simai amesema pamoja na kuwa wazazi wanatoka kwenda katika shughuli zao za kila siku, lakini bado wana jukumu la...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog18 Aug
Simai Mohamed Said akanusha kwamba amehama CCM
Pichani ni Ndugu Simai Mohammed Said katika moja ya mikutano yake ya Kichama kama alivyoweka kupitia ukurasa wake wa facebook mapema jana baada ya taarifa za uzushi dhidi yake zilizokuwa zikitolewa na watu wasiomtakia mema.
Kada wa Chama cha Mapinduzi Visiwani Zanzibar, Simai Mohammed Said, ambaye anatarajia kugombea nafasi ya Uwakili wa jimbo la Tunguu amekanusha vikali taarifa zilizokuwa zinasambazwa kuwa amekihama chama hicho.
Kupitia ukurasa wake huo, Simai aliweka sawa na kuwataka...
5 years ago
MichuziWAZAZI WENYE WATOTO MAHITAJI MAALUM WAASWA KUWAPELEKA SHULE WATOTO WAO BADALA YA KUKAA NAO NYUMBANI
Ameyasema hayo wakati akitoa vifaa mbalimbali vilivyotolewa na wanawake viongozi wa Elimu Wilaya ya Tandahimba kwenye shule maalum mjimpya
Mwinuka ameeleza kuwa shule hiyo ni bweni hivyo wanapokea watoto wakike na wakiume wananchi waache kuwafungia ndani badala yake wawapeleke wakapate elimu mbalimbali...
10 years ago
GPLMHE. JAMES MBATIA ATEMBELEA MAKABURI YA WAZAZI WAKE NYUMBANI KWAO KILUA VUNJO
10 years ago
MichuziMHE. JAMES MBATIA ATEMBELEA MAKABURI YA WAZAZI WAKE NYUMBANI KWAO KILUA VUNJO
9 years ago
Michuzi9 years ago
Vijimambo10 years ago
Vijimambo13 Nov
Mhe.Balozi Liberata Mulamula akutana na Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana CCM Taifa Mhe.Mboni Mohamed Mhita Ubalozini Tanzania House Wsshington DC
11 years ago
Mwananchi18 Jan
Watakiwa kusomesha zaidi watoto wao
10 years ago
Dewji Blog17 Jul
Kampeni ya Shamiri kusomesha watoto 112
Meneja Mahusiano shirika la The Foundation For Tomorrow, Anton Asukile (katikati) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari jijini Arusha juu ya Kampeni ya SHAMIRI inayolenga kuchangisha milioni 50 kwa ajili ya kusaidia watoto wanaoishi kwenye mazingira hatarishi, kulia ni Meneja Programu wa masuala ya kijamii na afya, Hedwiga Mchaki na kushoto ni Hilda Lema, Mfanyakazi wa shirika hilo.(Habari Picha na Pamela Mollel wa jamiiblog).
Meneja Programu wa masuala ya kijamii na afya wa shirika la...