Watoto milioni 21 kuchanjwa kampeni ya surua, rubella
SERIKALI imesema inatarajia kuchanja watoto milioni 21 katika kampeni shirikishi ya chanjo ya surua na rubella kwa watoto wenye umri wa miezi tisa hadi 15 inayotarajiwa kuanza kesho hadi Ijumaa ijayo. Lengo la kampeni hiyo ni kupunguza vifo na madhara yatokanayo na magonjwa hayo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo19 Oct
Kampeni ya chanjo ya surua, rubella yaanza kwa kishindo
SERIKALI imesema haitasita kuagiza chanjo zilizopo na zitakazogunduliwa baadaye ili kuwakinga Watanzania na maradhi yanayozuilika kwa chanjo. Kauli hiyo ilitolewa jana na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashidi.
10 years ago
Tanzania Daima30 Oct
Lions International na mchango wake kampeni ya Surua-Rubella
OCTOBA 18, mwaka huu ilizinduliwa kampeni kubwa ya chanjo dhidi ya magonjwa ya Surua na Rubella kitaifa mkoani Dodoma na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashidi....
10 years ago
Tanzania Daima18 Oct
Kampeni ya chanjo dhidi ya surua, rubella kuzinduliwa leo
KAMPENI ya chanjo dhidi ya ugonjwa surua na rubella kwa watoto wenye umri wa miezi tisa hadi miaka 15 inatarajia kuzinduliwa leo. Katika kampeni hiyo itakayodumu kwa siku saba, watoto...
10 years ago
Tanzania Daima24 Oct
Asilimia 95 ya watoto kupewa chanjo ya surua na rubella
HALMASHAURI ya Wilaya ya Iringa inatarajia kutoa chanjo ya surua na rubella kwa watoto 111,711 na dawa za matende na mabusha kwa watu wazima 264,076 katika kampeni inayoendelea nchini. Akizungumza...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-03U-J-5snvU/VDPe4mANeSI/AAAAAAAAX3c/-3WhD-pfBOE/s72-c/Mroki-Mporojost.jpg)
TUWAPELEKE WATOTO WETU KATIKA CHANJO YA SURUA NA RUBELLA OKTOBA 18-24
![](http://4.bp.blogspot.com/-03U-J-5snvU/VDPe4mANeSI/AAAAAAAAX3c/-3WhD-pfBOE/s1600/Mroki-Mporojost.jpg)
Wataalamu wa afya wanaeleza kuwa dalili za magonjwa haya mawili zinafanana, hivyo ni vigumu kutofautisha. Wataalamu hao wanasema dalili kuu ni homa na vipele vidogovidogo.
Chanjo ya surua-rubella hutoa kinga kamili dhidi ya magonjwa haya. Dozi ya kwanza hutolewa kwa mtoto anapofikia umri wa miezi 9 na dozi ya pili akiwa na mwaka mmoja na nusu (miezi 18)....
10 years ago
Mwananchi17 Oct
Watoto milioni 21 kupewa chanjo ya surua
10 years ago
Tanzania Daima17 Oct
Wizara kutoa chanjo ya Surua, Rubella
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii ikishirikiana na wadau wa maendeleo imeandaa kampeni shirikishi ya kutoa chanjo ya ugonjwa wa Surua na Rubella kwa watoto wenye kuanzia miezi tisa...
10 years ago
Tanzania Daima18 Oct
RC Mahiza ahimiza chanjo ya surua na rubella
MKUU wa Mkoa wa Pwani, Mwantum Mahiza, amewataka wananchi kushiriki kikamilifu kwenye zoezi la chanjo ya surua na rubella inayoanza leo hadi Oktoba 24 mwaka huu na kwamba hazina madhara....
10 years ago
Tanzania Daima26 Oct
Msisitizo uwekwe kwenye chanjo za surua, rubella
MARADHI ni moja ya maadui wakuu ambao Mwalimu Julius Nyerere alitangaza kupambana nao mara baada ya nchi kupata uhuru. Ni dhahiri kuwa Mwalimu Nyerere aliyataja maradhi kama moja ya maadui wakubwa...