Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CLOUD AKANA KUMFITINI FRANK

Stori: Mayasa Mariwata na Chande Abdallah
MSANII mkongwe wa filamu Bongo Issa Musa ‘Cloud’ amekana tuhuma zinazosambazwa mtandaoni kuwa alimfitini muigizaji mwenzake, Mohammed Mwikongi ‘Frank’ ili kumzuia asisafiri kuelekea Uingereza miezi michache iliyopita. Msanii mkongwe wa filamu Bongo Issa Musa ‘Cloud’. “Mimi sikumfitini Frank, yule mtu alinifuata mwenyewe kwa makubaliano ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

KIMENUKA! Cloud Amfanyia Fitna Frank Mwikongi Deal La Kwenda Kufanya Filamu Uingereza, Ushahidi Wasambaa.

Mambo hadharani !...Haya ni mapya yameibuka leo bila chenga. muigizaji wa filamu nchini Issa Musa "Cloud 112" anadaiwa kumfanyia fitna na majungu star mwenzake wa filamu nchini Frank Mohamed Mwikongi katika deal la kucheza filamu lililotokea nchini Uingereza hivi karibuni.
Kwa ,mujibu wa Didas Fashions ambaye ndiye mtengenezaji wa filamu hiyo ya Mateso Yangu Ughaibuni chaguo la kwanza la filamu hiyo alikuwa ni Frank Mwikongi na walizungumza mwanzo na kuafikiana Frank alipwe mil.2 kama...

 

11 years ago

GPL

CLOUD: NITAMSHUSHIA ZA CHEMBE JB

Na Erick Evarist MWIGIZAJI na prodyuza wa filamu Bongo, Issa Musa ‘Cloud 112’ amefunguka kuwa atamtandika ngumi kali za chembe mpinzani wake, Jacob Steven ‘JB’ katika pambano litakalopigwa kesho kwenye Tamasha la Matumaini, Uwanja wa Taifa, Dar. Mwigizaji na prodyuza wa filamu Bongo, Issa Musa ‘Cloud 112’ Akipiga stori na Amani mara baada ya… ...

 

9 years ago

BDlive

Tanzania elections under a cloud


BDlive
Tanzania elections under a cloud
BDlive
THREAT: Seif Sharif Hamad, opposition presidential candidate and secretary-general of the Civic United Front, speaks on Wednesday after Zanzibar annulled elections held at the weekend. Picture: AFP PHOTO/TONY KARUMBA ...
Why Next Election Will Be DifferentThe Star
Election was well-contested; organised, say observer teamDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)
Ukawa furious over Union presidential election resultsIPPmedia
Voice of...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Cloud 112: Mimi siigizi

STAA wa filamu za Bongo, Issa Mussa ‘Cloud 112’, amesema muonekano wake katika filamu nyingi huwa haigizi ndivyo alivyo. Kauli hiyo imekuja baada ya msanii huyo kuonekana mtata katika filamu...

 

10 years ago

GPL

ESHA AJIPANGA KUMUOMBA RADHI CLOUD

Na Hamida Hassan
Staa wa filamu za Kibongo, Esha Buheti amesema anajipanga kumtafuta msanii mwenzake Issa Musa ‘Cloud’ ili amuombe msamaha akiamini bila kufanya hivyo mambo hayawezi kumnyookea.Esha alisema yeye na Cloud ni kama mtu na kaka yake lakini kwa hali ilivyo inaonekana kama msanii mwenzake huyo ana kinyongo naye hivyo atakwenda kumuomba radhi ili tofauti zao ziondoke. Staa wa filamu za Kibongo, Esha...

 

11 years ago

GPL

CLOUD: WEZI WA FILAMU WAFUNGWE MIAKA 10

Na Elvan Stambuli    
MSANII wa filamu za Kibongo, Issa Mussa ‘Cloud’ amesema wasanii wa filamu nchini wanaibiwa sana kazi zao kutokana na sheria kuhusu sanaa hiyo kuwa dhaifu. Issa Mussa 'Cloud 112' akipozi ndani ya studio za Global TV Online. Akizungumza na safu hii, huku akirekodiwa na ‘kruu’ ya Global TV Online, Cloud alisema ingefaa serikali ikabadili sheria ili wezi wa kazi za filamu...

 

11 years ago

GPL

CLOUD 112 : NJOONI MSHUHUDIE NITAKAVYOMTWANGA JB

Staa wa filamu nchini, Issa Musa 'Cloud 112' amesema atamtwanga msanii mwenzake Jacob Steven 'JB' katika raundi ya kwanza kwenye mpambano wao wa ndondi utakaopigwa kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar, Agosti 8, 2014!

 

11 years ago

GPL

WASTARA, CLOUD WAZURU MAKABURI YA WASANII WENZAO

Cloud, Mtitu, Wastara, Steve Nyerere, Barafu na Chiki katika kaburi la Adam Kuambiana.…

 

10 years ago

TheCitizen

Dark cloud hangs over Eala sitting in Nairobi

Nairobi could provide a defining moment for the months-long crises which have haunted the East African Legislative Assembly (Eala) since early this year as it reconvenes in Nairobi today, with chairpersons of its vital committees and six commission members having resigned.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani