Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ESHA AJIPANGA KUMUOMBA RADHI CLOUD

Na Hamida Hassan
Staa wa filamu za Kibongo, Esha Buheti amesema anajipanga kumtafuta msanii mwenzake Issa Musa ‘Cloud’ ili amuombe msamaha akiamini bila kufanya hivyo mambo hayawezi kumnyookea.Esha alisema yeye na Cloud ni kama mtu na kaka yake lakini kwa hali ilivyo inaonekana kama msanii mwenzake huyo ana kinyongo naye hivyo atakwenda kumuomba radhi ili tofauti zao ziondoke. Staa wa filamu za Kibongo, Esha...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Mwananchi

Faida tatu za kumuomba mwanao msamaha

Wengi wetu tumewahi kuwatamkia watoto wetu maneno makali ambayo baadaye tukiyatafakari, hatuamini kuwa maneno hayo yametoka kinywani mwetu. Baadhi ya wazazi huvuka mipaka na kuwatamkia watoto wao maneno kama, “Wewe ni hasara tupu!”, “Mbwa kabisa wewe!”, “Huna akili hata kidogo!” na mengine kadha wa kadha. Inakuwaje maneno haya ambayo sisi hatukupenda kuyasikia kutoka kwa wazazi wetu sasa yanatutoka kinywani kirahisi pale watoto wetu wanapokosea?

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kidato cha nne watakiwa kumuomba Mungu

WANAFUNZI walioanza mitihani yao ya kuhitimu kidato cha nne hapa nchini wametakiwa kumtanguliza Mungu kuliko kutegemea njia mbadala zisizo kuwa na msingi. Kauli hiyo imetolewa mwishoni mwa wiki na Mchungaji...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sam wa Ukweli ajipanga upya

p>MKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Salim Mohamed ‘Sam wa Ukweli’ amejipanga kurudi upya katika tasnia ya muziki huo baada ya kuwa kimya muda mrefu. Akizungumza na Tanznia Daima...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Samir ajipanga kutoka na Nyororo

BAADA ya kufanya vizuri na kibao chake cha  ‘Nyororo’, Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Samir Kassim ‘Samir’, anatarajiwa kuachia kazi yake mpya inayokwenda kwa jina la Fitina hivi...

 

11 years ago

Mwananchi

Kalama ajipanga Mei Mosi

Bondia Kalama Nyilawila amesaini mkataba kwa ajili ya kupanda ulingoni Mei Mosi kumkabili mshindi baina ya Thomas Mashali na Japhet Kaseba.

 

9 years ago

Habarileo

Tegete ajipanga kuipaisha Mwadui

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga, Jerry Tegete amesema kwa sasa yupo fiti kwa ajili ya kuitumikia timu yake mpya ya Mwadui FC, na kuhakikisha inamaliza msimu ikiwa nafasi tatu za juu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtangazaji ajipanga kufyatua albamu

MTANGAZAJI wa Radio Ushindi iliyopo mkoani Mbeya, Calvin Nyorobi, amejitosa katika huduma ya uimbaji wa muziki wa injili na yupo hatua za mwisho kukamilisha albamu yake ya audio na video....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bob Junior ajipanga upya

BAADA ya kimya cha muda mrefu, mkali wa muziki wa kizazi kipya na muandaaji wa muziki huo, Rahim Rummy ‘Bob Junior’, amesema anatarajia kurudi upya akiwa na kazi yake ya ‘Bolingo’. Akizungumza Dar es Salaam jana,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kayala ajipanga kufanya makubwa

MUIMBAJI wa nyimbo za injili anayetamba na wimbo ‘Siwema’, George Kayala, ameahidi kuweka rekodi katika uzinduzi wa albamu yake ya ‘Siwema’ utakaofanyika katika Kanisa la WRM, Matembele ya Pili Kivule...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani