Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tegete ajipanga kuipaisha Mwadui

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga, Jerry Tegete amesema kwa sasa yupo fiti kwa ajili ya kuitumikia timu yake mpya ya Mwadui FC, na kuhakikisha inamaliza msimu ikiwa nafasi tatu za juu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Julio awaita Tegete, Nizar wasaini Mwadui

>Baada ya kuipandisha Mwadui kushiriki Ligi Kuu msimu ujao, kocha mkuu wa  Mwadui Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ ameweka wazi mpango wa kuwachomoa nyota kadhaa wa Yanga.

 

10 years ago

Mwananchi

Tegete aibukia Mwadui FC, huenda akaivaa Simba kesho

Mshambuliaji wa zamani wa Yanga na Taifa Stars, Jerry Tegete ataitumikia rasmi timu ya Mwadui ya Shinyanga kwa mkataba wa miaka miwili kwenye msimu huu wa Ligi Kuu baada ya kukamilisha taratibu zote za uhamisho akiwa mchezaji huru.

 

10 years ago

Habarileo

JK: Ndoto kuipaisha Kigoma zinatimia

RAIS Jakaya Kikwete amesema ndoto yake ya kuuona mkoa wa Kigoma ukileta mabadiliko makubwa ya kiuchumi nchini imeanza kutimia, kutokana na kuanza kutekelezwa kwa miradi mbalimbali ya kiuchumi.

 

11 years ago

GPL

Morocco atamba kuipaisha Oljoro

Kikosi cha JKT Oljoro. Na Amisa Mmbaga
KOCHA wa JKT Oljoro, Hemed Morocco, amesema atahakikisha anakipika vilivyo kikosi chake na kuwa tishio kwenye mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara. Morocco amejiunga na Oljoro kwa mkataba wa mwaka mmoja mara baada ya ajira yake katika timu ya Coastal Union kufikia tamati hivi karibuni. Morocco ambaye ameanza majukumu mapya katika timu hiyo inayoshika nafasi ya 11 kwenye msimamo wa ligi,...

 

10 years ago

Mtanzania

Dk. Shein aahidi kuipaisha zaidi Zanzibar

2dk-sheinNa Mwandishi Wetu, Zanzibar

MGOMBEA Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Ali Mohammed Shein, amesema amedhamiria kuipaisha Zanzibar kwa kuwa uwezo huo anao.

Amesema kwamba, pamoja na majukumu mengi aliyonayo, kazi hiyo ataifanya katika miaka mitano ijayo kama atafanikiwa kuendelea kukiongoza kisiwa hicho.

Kutokana na hali hiyo, amewatahadharisha Wazanzibari wasiwachague wagombea waongo ambao mara zote wamekuwa wakisema uongo majukwani kwa lengo la kupata madaraka.

Dk....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mradi wa Useme kuipaisha Mtwara kielimu

ELIMU ni mjumuisho wa maarifa na stadi za kujitambua ili kukabiliana na changamoto zilizopo katika mazingira na mabadiliko ya kijamii, kisiasa, kiuchumi, kisayansi na kiteknolojia. Makubaliano na itifaki za kikanda...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Remmy Williams kuipaisha Bongo fleva

MSANII wa muziki wa Bongo fleva, Remmy Williams anayefanya shughuli za muziki nchini Italia, amewasili jijini Dar es Salaam jana kwa ajili ya kufanya kazi na wasanii wenzake hapa nchini....

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Uadilifu katika kodi kuipaisha nchi kiuchumi



NA WILLIAM SHECHAMBOENDAPO kila Mtanzania atalipa kodi kwa uadilifu na serikali ikitumia mapato hayo kama inavyostahili, Tanzania inaweza  kuingia kwenye kundi la nchi zenye uchumi wa kati kwa kipindi kisichozidi mwaka mmoja, imeelezwa. Sababu nyingine, ambayo imetajwa kuchangia kwa kiasi kikubwa kasi ya kukua kwa uchumi wa Tanzania, ni uzalendo wa kununua bidhaa za nyumbani na kudai risiti. Hayo yalisemwa Dar es Salaam jana na Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha, Mwigulu Nchemba, wakati wa...

 

5 years ago

Michuzi

MKWIRU NA USHIRIKA WAKE ONE TEAM KUIPAISHA TIMU YA MWAMBISI SEK KUPATA UZOEFU GERMAN

 NA MWAMVUA MWINYI, PWANI

WADAU wa michezo kutoka German One Team kwa ushirika na Ibrahim Mkwiru ,wameeleza ndoto yao ya kuchukua timu ya mpira wa miguu ya wanafunzi wa kike, katika shule ya sekondari ya Mwambisi kwenda nchini Ujeruman kuchota uzoefu na timu nyingine za shule za sekondari nchini humo ili kuwa na uzoefu.

Aidha ushirika huo,umeeleza mpira wa miguu sio kwa ajili ya watoto wa kiume pekee hivyo watoto wa kike wanapaswa kujiandaa kuucheza kuanzia mashuleni ili kuweza kuchukuliwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani