Julio awaita Tegete, Nizar wasaini Mwadui
>Baada ya kuipandisha Mwadui kushiriki Ligi Kuu msimu ujao, kocha mkuu wa Mwadui Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ ameweka wazi mpango wa kuwachomoa nyota kadhaa wa Yanga.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo28 Oct
Tegete ajipanga kuipaisha Mwadui
MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga, Jerry Tegete amesema kwa sasa yupo fiti kwa ajili ya kuitumikia timu yake mpya ya Mwadui FC, na kuhakikisha inamaliza msimu ikiwa nafasi tatu za juu.
9 years ago
Mwananchi24 Oct
Julio: Tegete ifunge Yanga
9 years ago
Mwananchi23 Aug
Tegete aibukia Mwadui FC, huenda akaivaa Simba kesho
9 years ago
Habarileo15 Sep
Julio atamba Mwadui itazinduka
KOCHA Mkuu wa Mwadui FC, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ amezionya timu za Ligi Kuu akizitaka zisiidharau timu yake kwa vile imefungwa mechi ya ufunguzi. Mwadui FC ilifungwa bao 1-0 na Toto African kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza katika ufunguzi wa Ligi Kuu mwishoni mwa wiki iliyopita.
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Julio, Tegete mikononi mwa maafande leo
9 years ago
Habarileo11 Sep
Julio atamba Mwadui kuwamo nne bora
KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Mwadui ya Shinyanga, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ ametamba timu timu yake itamaliza ligi kwenye nafasi nne za juu msimu huu wa 2015-2016 unaoanza kesho.
9 years ago
StarTV25 Aug
Tazama taswira za mechi ya kirafiki kati ya Simba na Mwadui ya Julio
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Bengo awaita Yanga
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Manji awaita wanaompinga