Julio, Tegete mikononi mwa maafande leo
Makocha maarufu wa soka nchini Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ na John Tegete leo watakua na vibarua vizito watakapokwaana na timu Kanembwa JKT na Polisi Dodoma FC, katika mechi za raundi ya sita ya Kundi B la michuano hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi24 Oct
Julio: Tegete ifunge Yanga
10 years ago
Mwananchi20 Feb
Julio awaita Tegete, Nizar wasaini Mwadui
9 years ago
Mwananchi27 Nov
Sherehe 30 mikononi mwa Magufuli
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Yondani mikononi mwa TFF
BENCHI la ufundi la timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars chini ya kocha wake Mart Nooij, limesema halitambui sababu za beki wa timu hiyo Kelvin Yondani kushindwa kwenda kambini,...
10 years ago
Tanzania Daima18 Sep
Mbowe mikononi mwa polisi
JOPO la Mawakili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), na wanachama wa chama hicho, leo wamepanga kumsindikiza mwenyekiti wao Freeman Mbowe aliyeitwa Makao Makuu ya Polisi kwa ajili ya...
10 years ago
BBCSwahili04 Dec
''Niliponea kifo mikononi mwa Al Shabaab''
11 years ago
Tanzania Daima28 Jan
Wanusurika kifo mikononi mwa sungusungu
WATU watatu wanaotuhumiwa kwa wizi wamenusurika kuuawa na sungusungu katika Kijiji cha Igumo, Kata ya Chabutwa, wilayani Igunga, Tabora. Watuhumiwa hao ni Shija Shija (27), Mathew John (26) na Mathias...
11 years ago
Mtanzania12 Aug
Hatima ya Kibonde mikononi mwa Polisi
![Mtangazji maarufu wa redio nchini, Ephraim Kibonde](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Efraim-Kibonde.jpg)
Mtangazji maarufu wa redio nchini, Ephraim Kibonde
Na Asifiwe George, Dar es Salaam
KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillus Wambura, amesema Jeshi hilo kwa sasa lipo katika uchunguzi dhidi ya mtangazaji wa Kituo cha Redio cha Clouds FM, Ephraim Kibonde na mwenzake, Gadna Habash wa Times FM, ambao wameachiwa huru kwa dhamana.
Kamanda Wambura aliliambia MTANZANIA jana kwamba baada ya uchunguzi huo, iwapo watapatikana na hatia, hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yao, ikiwa ni pamoja na...