Tegete aibukia Mwadui FC, huenda akaivaa Simba kesho
Mshambuliaji wa zamani wa Yanga na Taifa Stars, Jerry Tegete ataitumikia rasmi timu ya Mwadui ya Shinyanga kwa mkataba wa miaka miwili kwenye msimu huu wa Ligi Kuu baada ya kukamilisha taratibu zote za uhamisho akiwa mchezaji huru.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo28 Oct
Tegete ajipanga kuipaisha Mwadui
MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga, Jerry Tegete amesema kwa sasa yupo fiti kwa ajili ya kuitumikia timu yake mpya ya Mwadui FC, na kuhakikisha inamaliza msimu ikiwa nafasi tatu za juu.
10 years ago
Mwananchi20 Feb
Julio awaita Tegete, Nizar wasaini Mwadui
9 years ago
Habarileo21 Aug
Simba, Mwadui kucheza Dar
SIMBA watacheza mchezo wa kirafiki na Mwadui FC ya Shinyanga Jumatatu kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
9 years ago
StarTV20 Aug
Simba Sc kukipiga na Mwadui kabla ya kurudi kambini Zanzibar
Mchezo huo unatarajiwa kuwapa fursa wapenzi wa Simba SC kumuona kwa mara nyingine mshambuliaji wao mpya,...
9 years ago
StarTV25 Aug
Tazama taswira za mechi ya kirafiki kati ya Simba na Mwadui ya Julio
11 years ago
Tanzania Daima03 Jan
Wanachama Simba kukamilisha akidi kesho
WENYEVITI wa matawi ya klabu ya Simba nchini wanatarajia kukutana kesho Jumamosi kukamilisha akidi ya wanachama kwa ajili ya kufanya Mkutano Mkuu wa Dharura, kama katiba ya klabu yao inavyosema....
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nAMEBdNZbuQ/VViC9ANZTpI/AAAAAAAHXwY/QRMqy7tNnDE/s72-c/unnamed%2B(5).jpg)
SIMBA NA YANGA KUKIPIGA DUBAI KESHO
![](http://1.bp.blogspot.com/-nAMEBdNZbuQ/VViC9ANZTpI/AAAAAAAHXwY/QRMqy7tNnDE/s640/unnamed%2B(5).jpg)