Simba, Mwadui kucheza Dar
SIMBA watacheza mchezo wa kirafiki na Mwadui FC ya Shinyanga Jumatatu kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo28 Aug
JKT Ruvu, Mwadui kucheza Karume leo
TIMU ya JKT Ruvu ya Pwani leo itacheza mechi ya kirafiki dhidi ya Mwadui FC ya Shinyanga kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume, Dar es Salaam.
10 years ago
Vijimambo
SIMBA DAY 2015 SIMBA KUCHEZA NA AFC LEOPARDS, KIINGILIO BURE


10 years ago
Dewji Blog17 Jul
Simba Day 2015 Simba kucheza na Leopards, kiingilio bure!

Afisa Mtendaji Mkuu wa EAG Group, Imani Kajula akiwa Pamoja na Rais wa Simba Sport Club, Evans Aveva, wakati wa uzinduzi wa Simba Day.
Dhima ya Simba Sports Club ya kuendeleza mabadiliko ndani ya Simba bado inaendelea kushika kasi, Katika kipindi cha miezi mitatu sasa, mmekuwa mashuhuda wa Simba inayolenga kuleta mapinduzi makubwa katika jinsi mpira unavyoendeshwa, kujali wanachama, wapenzi wake na kukuza vyanzo vya mapato.
Akizungumza wakati wa kutangaza rasmi Simba Week 2015 Rais wa...
10 years ago
Mwananchi23 Aug
Tegete aibukia Mwadui FC, huenda akaivaa Simba kesho
10 years ago
StarTV20 Aug
Simba Sc kukipiga na Mwadui kabla ya kurudi kambini Zanzibar
Mchezo huo unatarajiwa kuwapa fursa wapenzi wa Simba SC kumuona kwa mara nyingine mshambuliaji wao mpya,...
10 years ago
StarTV25 Aug
Tazama taswira za mechi ya kirafiki kati ya Simba na Mwadui ya Julio
9 years ago
Habarileo07 Jan
Simba kucheza na Burkinafaso FA
TIMU ya Simba itacheza na Burkinafaso na Yanga itacheza na Friends Rangers kwenye Michuano ya Kombe la Shirikisho (FA), mzunguko wa tatu unaotarajiwa kuendelea Januari 12 na Januari 23-27 kwa timu 32 kuchuana kuwania kufuzu kwa hatua ya 16 bora.
11 years ago
Mwananchi08 Sep
Okwi huru kucheza Simba
11 years ago
Mwananchi12 Dec
KMKM kucheza na Yanga, Simba