Simba Sc kukipiga na Mwadui kabla ya kurudi kambini Zanzibar
SIMBA SC watacheza mchezo wa kirafiki na Mwadui FC ya Shinyanga Jumatatu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kabla ya kwenda Zanzibar kuweka kambi ya kujiandaa na Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.
Awali, mchezo huo ilikuwa ufanyike Jumapili, lakini Ofisa Habari wa Simba SC, Hajji Sunday Manara amesema kwamba umeahirishwa kupisha uzinduzi wa kampeni za vyama vya siasa kuelekea uchaguzi Mkuu.
Mchezo huo unatarajiwa kuwapa fursa wapenzi wa Simba SC kumuona kwa mara nyingine mshambuliaji wao mpya,...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JXijcC_9_uk/VIW1xZFa-uI/AAAAAAAG2DM/bA5_jIxqy6k/s72-c/Omar%2BMboob.jpg)
SIMBA SC YAINGIA KAMBINI ZANZIBAR HUKU IKIMTEMA MSHAMBULIAJI WAKE KUTOKA GAMBIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-JXijcC_9_uk/VIW1xZFa-uI/AAAAAAAG2DM/bA5_jIxqy6k/s1600/Omar%2BMboob.jpg)
Katibu mkuu wa Simba Steven Ally alidhibitisha kuwa mchezaji huyo ameenguliwa kwenye kikosi cha Simba kwa vile ameshindwa kuonyesha kiwango cha kumshawishi kocha Patrick Phiri ili aweze kusajiliwa.
"Mboob kwa sasa tunamfanyia taratibu ili aweze kurudi nchini kwao, kesho (leo) au kesho kutwa ataondoka, ameshindwa kuonyesha makali."alisema
Wakati Ally akisema hayo, Mwenyekiti wa kamati...
11 years ago
BBCSwahili26 Mar
Wakimbizi Kenya waagizwa kurudi kambini
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nAMEBdNZbuQ/VViC9ANZTpI/AAAAAAAHXwY/QRMqy7tNnDE/s72-c/unnamed%2B(5).jpg)
SIMBA NA YANGA KUKIPIGA DUBAI KESHO
![](http://1.bp.blogspot.com/-nAMEBdNZbuQ/VViC9ANZTpI/AAAAAAAHXwY/QRMqy7tNnDE/s640/unnamed%2B(5).jpg)
9 years ago
Habarileo21 Aug
Simba, Mwadui kucheza Dar
SIMBA watacheza mchezo wa kirafiki na Mwadui FC ya Shinyanga Jumatatu kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
10 years ago
Vijimambo25 Oct
NESI WA EBOLA APONA NA AKUTANA NA KUMPA HAGI RAIS OBAMA KABLA YA KURUDI NYUMBANI
![](https://lh4.googleusercontent.com/-M9s0XN4mSJE/VEq_Qi_75ZI/AAAAAAACmu4/25yh5qsqVPg/w878-h585-no/P102414PS-0253.jpg)
9 years ago
Mwananchi23 Aug
Tegete aibukia Mwadui FC, huenda akaivaa Simba kesho
9 years ago
StarTV25 Aug
Tazama taswira za mechi ya kirafiki kati ya Simba na Mwadui ya Julio
10 years ago
Mwananchi27 Oct
Simba yaanza timuatimua, yatimua nyota watatu kambini
10 years ago
Habarileo06 Aug
Twiga Stars kuingia kambini Zanzibar leo
TIMU ya Taifa Tanzania ya Wanawake (Twiga Stars) inatarajiwa kuingia kambini leo kisiwani Zanzibar kujiandaa na Michezo ya Afrika (All Africa Games) itakayofanyika mwezi ujao nchini Congo Brazzaville.