Simba yaanza timuatimua, yatimua nyota watatu kambini
Uongozi wa Simba, umewatimua kambini nyota wake watatu, Shaaban Kisiga, Amri Kiemba na Harun Chanongo baada ya wachezaji hao kucheza chini ya kiwango katika mechi za Ligi Kuu Bara.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania11 May
Nyota watatu kung’oka Simba
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
TIMU ya Simba imepanga kuwatema nyota wake watatu na kusajili wachezaji wenye uzoefu ili kuimarisha kikosi hicho ambacho kinaundwa na chipukizi wengi.
Simba imeanza mikakati ya usajili kwa ajili ya msimu ujao baada ya kumaliza Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu ikiwa nafasi ya tatu huku ubingwa ukinyakuliwa na watani wao wa jadi Yanga na Azam kushika nafasi ya pili.
Akizungumza jijini Dar es Salaam juzi Ofisa Habari wa timu hiyo, Haji Manara, alisema uongozi...
11 years ago
Uhuru NewspaperTEKU yatimua watatu
Na Solomon wansele, mbeya
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Nyota watatu kuiacha Yanga karibuni
9 years ago
Mwananchi03 Sep
Nyota watatu kuiua Nigeria watajwa
9 years ago
StarTV20 Aug
Simba Sc kukipiga na Mwadui kabla ya kurudi kambini Zanzibar
Mchezo huo unatarajiwa kuwapa fursa wapenzi wa Simba SC kumuona kwa mara nyingine mshambuliaji wao mpya,...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JXijcC_9_uk/VIW1xZFa-uI/AAAAAAAG2DM/bA5_jIxqy6k/s72-c/Omar%2BMboob.jpg)
SIMBA SC YAINGIA KAMBINI ZANZIBAR HUKU IKIMTEMA MSHAMBULIAJI WAKE KUTOKA GAMBIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-JXijcC_9_uk/VIW1xZFa-uI/AAAAAAAG2DM/bA5_jIxqy6k/s1600/Omar%2BMboob.jpg)
Katibu mkuu wa Simba Steven Ally alidhibitisha kuwa mchezaji huyo ameenguliwa kwenye kikosi cha Simba kwa vile ameshindwa kuonyesha kiwango cha kumshawishi kocha Patrick Phiri ili aweze kusajiliwa.
"Mboob kwa sasa tunamfanyia taratibu ili aweze kurudi nchini kwao, kesho (leo) au kesho kutwa ataondoka, ameshindwa kuonyesha makali."alisema
Wakati Ally akisema hayo, Mwenyekiti wa kamati...
9 years ago
Mwananchi21 Aug
Nyota Senegal kutua Simba
10 years ago
Mwananchi15 Nov
Nyota 10 Simba, Yanga sokoni
11 years ago
Tanzania Daima01 Aug
Loga awakaribisha nyota wa Simba B
KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Mcroatia Zdravko Logarusic, ametoa ofa kwa nyota wa kikosi B, kupandishwa hadi kikosi cha kwanza kama wataonyesha uwezo mkubwa kisoka. Loga amesema ameamua kufanya...