Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyota watatu kuiua Nigeria watajwa

Wakati timu ya Taifa ya Tanzania, ‘Taifa Stars’ ikijiandaa kuikabili Nigeria, wachezaji watatu au wanne wameonekana ndiyo watakaoamua mechi hiyo mapema endapo watacheza katika ubora wao. Wachezaji hao, Mbwana Samatta, John Bocco na Thomas Ulimwengu ndiyo pekee wameshikilia mkononi roho za Watanzania ili kuhakikisha wanaipa ushindi wa mapema Stars.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Nyota Chelsea atumia dakika 9 kuiua Stars

pICHANA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
NYOTA wa Chelsea anayecheza kwa mkopo Fiorentina, Mohamed Salah, alitumia dakika tisa juzi usiku kuiongoza timu yake ya Taifa ya Misri kuiua Taifa Stars mabao 3-0.
Stars iliweza kuhimili vishindo vya Misri kwa takribani dakika 60 za mwanzo za mchezo huo wa Kundi G, kuwania kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon) 2017 nchini Gabon.
Lakini Salah, aliyekuwa nyota wa mchezo huo, aliweza kupiga kona safi dakika ya 60 iliyozaa bao la kwanza lililofungwa na...

 

10 years ago

Habarileo

Stars yapata makali kuiua Nigeria J’mosi

TIMU ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro chini ya Kocha wake Mkuu Charles Boniface Mkwasa imekamilisha kambi nchini Uturuki na inatarajia kurejea leo nchini.

 

10 years ago

Mtanzania

Nyota watatu kung’oka Simba

SimbaNA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM

TIMU ya Simba imepanga kuwatema nyota wake watatu na kusajili wachezaji wenye uzoefu ili kuimarisha kikosi hicho ambacho kinaundwa na chipukizi wengi.

Simba imeanza mikakati ya usajili kwa ajili ya msimu ujao baada ya kumaliza Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu ikiwa nafasi ya tatu huku ubingwa ukinyakuliwa na watani wao wa jadi Yanga na Azam kushika nafasi ya pili.

Akizungumza jijini Dar es Salaam juzi Ofisa Habari wa timu hiyo, Haji Manara, alisema uongozi...

 

10 years ago

Mwananchi

Nyota watatu kuiacha Yanga karibuni

Huenda klabu ya Yanga ikawapoteza wachezaji wake watatu, Haruna Niyonzima, Mbuyu Twite na Juma Kaseja raundi ya pili ya Ligi Kuu Tanzania Bara.

 

11 years ago

Mwananchi

Simba yaanza timuatimua, yatimua nyota watatu kambini

Uongozi wa Simba, umewatimua kambini nyota wake watatu, Shaaban Kisiga, Amri Kiemba na Harun Chanongo baada ya wachezaji hao kucheza chini ya kiwango katika mechi za Ligi Kuu Bara.

 

9 years ago

Bongo5

Diamond na Vanessa watajwa kuwania tuzo za ‘TooXclusive Awards 2015’ za Nigeria

Diamond Platnumz na Vanessa Mdee

Mtandao wa ku-download muziki tooXclusive.com wa Nigeria ambao ndio waandaaji wa tuzo za ‘TooXclusive Awards 2015’ wametangaza majina ya nominees wa mwaka huu.

Diamond Platnumz na Vanessa Mdee

Kuna jumla ya vipengele 18 vinavyoshindaniwa, na kipengele cha ‘African Artiste Of The Year’ ndio kinachowahusu wasanii wa nje ya Nigeria ikiwemo Tanzania.

Diamond Platnumz na Vanessa Mdee ndio wasanii wa Tanzania wanaoshindana na Sauti Sol (Kenya), Sarkodie (Ghana), Cassper Nyovest na AKA (South Africa).

AFRICAN ARTISTE OF THE...

 

11 years ago

BBCSwahili

WizKid Kijana nyota wa Nigeria

Wiki hii yote BBC itakuwa na kipindi kinachoitwa Nigeria Xtra kikiongozwa na DJ Edu, ambaye ametembelea jiji la Lagos na kugundua wasanii mahiri na midundo motomoto ya Nigeria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nyota mwingine wa Nigeria ajitoa Super Eagles

Nyota wa timu ya taifa ya Nigeria Super Eagles Emmanuel Emenike ametangaza kwamba amestaafu kutoka kwa timu hiyo ya taifa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Miguu ya nyota wa Nigeria, Ghana ilivyoongea Brazil

BAADA ya Cameroon kuanza vibaya faina za Kombe la Dunia 2014 kuchapwa bao 1-0 ilipoumana na Mexico katika siku ya pili ya fainali hizo, hofu ilitanda mioyoni mwa Waafrika wengi,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani