Nyota Chelsea atumia dakika 9 kuiua Stars
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
NYOTA wa Chelsea anayecheza kwa mkopo Fiorentina, Mohamed Salah, alitumia dakika tisa juzi usiku kuiongoza timu yake ya Taifa ya Misri kuiua Taifa Stars mabao 3-0.
Stars iliweza kuhimili vishindo vya Misri kwa takribani dakika 60 za mwanzo za mchezo huo wa Kundi G, kuwania kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon) 2017 nchini Gabon.
Lakini Salah, aliyekuwa nyota wa mchezo huo, aliweza kupiga kona safi dakika ya 60 iliyozaa bao la kwanza lililofungwa na...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi03 Sep
Nyota watatu kuiua Nigeria watajwa
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p5H7N8Ot6oMIaJoXDUKSmnu9FXHVZML6BcGMF6L*LvZ5HTjOWCiHDn3Qq3w9OGtqX0GUD0FZyx1Ej4O*KPfQMEL7bxHVj9P3/wema.jpg)
JK ATUMIA DAKIKA 15 KUMFAGILIA DIAMOND
10 years ago
VijimamboMECHI YA STARS UNITED NA ALL AFRICAN STARS MPAKA DAKIKA 90 MAMBO NI 5-5
Kutoka kushoto ni Dallah , Mundo na Ediga wachezaji wa Stars United wakitafakali jambo kabla ya mechi
9 years ago
Habarileo29 Oct
‘Maguri ataisaidia Stars kuiua Algeria’
KOCHA Msaidizi wa Stand United, Athuman Bilali ‘Billo’ amesema Elias Maguri anaweza kuifunga Algeria endapo kocha Boniface Mkwasa atamtumia.
9 years ago
Habarileo01 Sep
Stars yapata makali kuiua Nigeria J’mosi
TIMU ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro chini ya Kocha wake Mkuu Charles Boniface Mkwasa imekamilisha kambi nchini Uturuki na inatarajia kurejea leo nchini.
9 years ago
MillardAyo17 Dec
Kutana na video ya dakika 1 ya mkusanyiko wa matukio ya Mourinho ambayo hana furaha Chelsea …
December 16 stori zilizopo kwenye mitandao mingi ya soka barani Ulaya ni kuhusu uamuzi wa uongozi wa klabu ya Chelsea kuhitisha mkutano wa dharura na kujadili mwenendo wa timu yao sambamba na kumjadili kocha Jose Mourinho. Nimekutana na video hii kutoka BBC ambayo wamekusanya matukio kadhaa ya Jose Mourinho akiwa hana furaha ndani ya Chelsea […]
The post Kutana na video ya dakika 1 ya mkusanyiko wa matukio ya Mourinho ambayo hana furaha Chelsea … appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Mwananchi20 Dec
Abramovich atoa onyo kali kwa nyota Chelsea
9 years ago
MillardAyo19 Dec
Dakika 7 za Kumwembe na Saleh Ally wakichambua kuhusu Chelsea kumtimua Mourinho, ni sahihi? kosa lake … (+Audio)
Headlines za soka la kimataifa kwa sasa ni kuhusu uongozi wa klabu ya Chelsea kuamua kumuachisha kazi Jose Mourinho, taarifa ambazo zilitoka mchana wa December 17. Kila mtu kaongea lake ila AMPLIFAYA ya Clouds FM iliwatafuta wachambuzi na waandishi wa habari za michezo Edo Kumwembe na Saleh Ally kuhusu uamuzi wa Chelsea kumfuta kazi ni uamuzi […]
The post Dakika 7 za Kumwembe na Saleh Ally wakichambua kuhusu Chelsea kumtimua Mourinho, ni sahihi? kosa lake … (+Audio) appeared first on...
9 years ago
MillardAyo19 Dec
Enjoy dakika nne za ushindi wa kwanza wa Chelsea bila Mourinho na kipigo cha Man United Old Trafford (+Video)
Jumamosi ya December 19 zimechezwa mechi saba za Ligi Kuu Uingereza, michezo ambayo ilikuwa inatajwa kuwa na mvuto zaidi ni mchezo kati ya Chelsea dhidi ya Sunderland. Huu ulikuwa na mvuto kwa sababu ndio mchezo wa kwanza wa Chelsea kucheza bila kuwepo kwa aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo Jose Mourinho.Chelsea imefanikiwa kuifunga Sunderland kwa jumla […]
The post Enjoy dakika nne za ushindi wa kwanza wa Chelsea bila Mourinho na kipigo cha Man United Old Trafford (+Video) appeared first on...