Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK ATUMIA DAKIKA 15 KUMFAGILIA DIAMOND

Stori: Mwandishi Wetu Rais Jakaya Kikwete alianza kwa kusema: “Watanzania hawapaswi kumbeza Diamond kwani pamoja na kukosa tuzo ya MTV lakini kuna juhudi kubwa alionyesha kwa kufanya shoo kubwa ya kwanza na ya kimataifa ambayo niliishuhudia mwenyewe na niliona watu walifurahia sana,” Rais Jakaya Kikwete akimpa mkono wa pongezi Msanii mkali katika miondoko ya Bongo Fleva, Abdul Nassib, Diamond kwa hatua aliyofikia. ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Nyota Chelsea atumia dakika 9 kuiua Stars

pICHANA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
NYOTA wa Chelsea anayecheza kwa mkopo Fiorentina, Mohamed Salah, alitumia dakika tisa juzi usiku kuiongoza timu yake ya Taifa ya Misri kuiua Taifa Stars mabao 3-0.
Stars iliweza kuhimili vishindo vya Misri kwa takribani dakika 60 za mwanzo za mchezo huo wa Kundi G, kuwania kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon) 2017 nchini Gabon.
Lakini Salah, aliyekuwa nyota wa mchezo huo, aliweza kupiga kona safi dakika ya 60 iliyozaa bao la kwanza lililofungwa na...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Atumia kamba za viatu kujiua


NA JESSICA KILEO
WATU wawili wamefariki dunia mjini Dar es Salaam katika matukio mawili tofauti, likiwemo la Godfrey Mtenga kukutwa akiwa amejinyonga hadi kufa.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kinondoni, Camilius Wambura, alisema tukio hilo lilitokea juzi saa 4.00 asubuhi katika eneo la Kibangu Makoka, ambapo Mtenga alikutwa akiwa ananing’inia baada ya kujinyonga kwa kutumia kamba za viatu alizozitundika juu ya tawi la mti.
Wambura alisema, walikuta mwili wa mtu huyo ukiwa unaning’inia huku chini...

 

11 years ago

Mwananchi

Atumia shuka kujinyonga mpaka kufa

>Watu watano wamefariki dunia katika matukio tofauti likiwamo la mtu mmoja kujinyonga kwa kutumia shuka yake aliyoifunga kwenye kenchi ya paa la nyumba aliyokuwa anaishi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Daktari atumia pampu kufanya upasuaji

Jimbo moja nchini India limesitisha shughuli za upasuaji baada ya daktari mmoja kupatikana akitumia pampu ya kutia hewa baiskeli.

 

9 years ago

Mtanzania

Nape atumia muda wa kampeni kutukana

IMG_1493Nape atumia muda wa kampeni kutukana

Jonas Mushi na Veronica Romwald, Dar es Salaam

MJUMBE wa Kamati ya Ushindi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye ametumia muda wote aliopewa kumnadi mgombeaa urais wa chama hicho, Dk. John Magufuli kumtukana mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) anayewakilisha Ukawa, Edward Lowassa pamoja na viongozi wenzake.

Katika mkutano huo uliofanyika jana katika viwanja vya Samora mjini Iringa na kurushwa moja kwa moja katika Kituo cha...

 

10 years ago

Mwananchi

Mkulima atumia mabasi kusaka wadhamini

Kada wa CCM, Elidephonce Bilohe (43), mkulima anayeomba kupitishwa na chama chake kuwania urais, amesema anatumia usafiri wa mabasi ya umma kuzunguka mikoani kusaka wadhamini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani